Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

mwisho wa hizi comment chafu ni pale serikali ya Tanzania itakapopiga marufuku kuuza viroba..
 
Kazi nzuri hongera sana.
Asante kwa kuweka jina la Tanzania katika historia
 
Mkuu Kalyovapiti, asante!. Nini kusoma na mtoto wa malima?!, niliyentaja nimesoma nae darasa moja!. Pia primary nimesoma darasa moja na Mtoto wa Malecela!, sekondari nimesoma darasa moja na Mtoto wa Nyerere, Darasa Moja na mtoto wa Mkapa, shule moja na Mtoto wa Mwinyi!. A-Level nimesoma darasa moja na Mtoto wa Warioba!. Chuo nimesoma na mtoto wa JK japo sio darasa moja!.

Nikiwa mwandishi, nimekaa kuzungumza face to face na Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK, hivyo wote hao ni watu wa kawaida sana!, kwa bahati nzuri, with connections na lobbying, I could have been anyone I wanna be, but very unfortunately, I'n nobody simply because I've decided to be so, mimi ni wale rare type ya ambitionless just to be nobody!. Mpaka hapa ninapoandika sasa, mimi ni jobless, sijaajiriwa na popote na yeyote, situmwi chochote na yeyote, d popote, ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, I justo what I love, I feel or i like, na kith kikubwa zaidi kuliko vyote, I don't work for money!, I just made some, and used it to work for me!.
Nimeoa wake wawili, nina watoto 7!, Naishi nao wote very happly pale nyumba ya kupanga, Tandale nyuma ya kwa Mtogole, jirani na Uwanja wa Fisi, usafiri wangu ni boda boda!.

Thanks.
Pasco.

Mkuu huoni kama wewe ni mtu wa ajabu sana!!!!!!!!!!

Mkuu Mzee wa Data, kwanza asante kutujulisha kuwa "huyu Pasco ni tapeli kama matapeli wengine..!", kiukweli watu matapeli, wanafanikiwa kwa kuwatapeli watu kwa vile wengi hawaujua utapeli wao!. Kwa vile wewe ni Mzee wa Data, utaisaidia sana jamii, kama angalau utamwaga data za utapeli wa huyu Pasco ambaye ni tapeli kama matapeli wengine..ili jamii iujue utapeli wake na kuiepusha jamii kuendelea kutapeliwa na matapeli!.

Thanks.
Pasco.

,,,,,,,,,,mimi ambaesijakutana na wewe unafikiri nikufikirie vipi,, Unaishi kwa maajabu,,
 
Alikuwa mwanafunzi bora wa mwaka huo na si hilo tu pia ndio mwanafunzi bora kutoka africa kupata kutokea.media za uturuki zilimtangaza sana na hapo heshima ya watanzania iliongezeka wakati tunaenda kusoma uturuki kwa sifa alizoziacha.

cok interesan bir sey. ne guzel !!! fazlasin yapsin. Mungu ampe uwezo zaidi. Pamoja na baadhi yetu kukandia na kuona ni jambo dogo ila Jamaa ni Kichwa sana.
 
Ahahahahhhhh, nimechekaje mchana huu
JF never boring The Boss

Khaa!!! Wewe wa wapi?? Sayansi bongo?? Una wazimu wewe. Bongo kila kitu siasa. Wanakesha wakiomba ebola iingie nchini wafanye siasa. Siasa ni kila kitu kuanzia usafi wa mazingira hadi kikombe cha babu. Ndiyo tulivyojichagulia.
 
Last edited by a moderator:
Asikubali kuambiwa rudi na ccm watampoteza ataishia kuwa fisadi tu
 
Mkuu huoni kama wewe ni mtu wa ajabu sana!!!!!!!!!!
,,,,,,,,,,mimi ambaesijakutana na wewe unafikiri nikufikirie vipi,, Unaishi kwa maajabu,,
Mkuu Data, asante!. Mwanzo uliniita tapeli, nilipo kuuliza utapeli wangu ni upi, sasa umekuja na hoja za mimi ni mtu wa ajabu sana!, as if natoka outer space?!. Ninaishi kwa maajabu?!, hapo wala sijakuambia kama mimi ni vegetarian, na unaweza usiamini kuna watu wanaishi kwa kula hewa tuu wanaitwa "breathpetarians" nikikumbia mimi ni mmoja wao si ndio utakimbia kabisa!. Mwanzo nilifikiri una data!, sasa nimeamini kumbe umedata tuu!.

Asante.

Pasco.
 
- Saafi sana hawa ndio wanafaa KUPEWA uraia pacha

Le Big Show

Umeambiwa ana URAIA wa MAREKANI ? au unataka OBAMA ampe Uraia ?? Sababu; Huyu kijana bado ni researcher Doctrate kwahiyo ana VISA ya kumtosha...

c.c
W. J. Malecela
 
Huo ni ukuda kujadili mtanzania na dini yake kama malima kaweka record hyo ni sifa kwa tanzania nzima bila kujali mkristo au muislam ,kama mnakuwa mnakosa cha kuongea ni bora kunyamaza,msilete chuki baina ya watu na watu

Na asilimia kubwa ya hawa ma scientists ni binadamu ambao hawaamini uwepo wa Mungu sina uhakika sana kama kuna mtu anamjua huyu jamaa fika katika masuala ya imani yake, huwezi jua kuwa alikuwa muislamu/mkristo na sasa kaamua kuwa atheist, satanist n.k
 
Nitaifuatilia hii device inaonekana ni nzuri kama itafanikiwa
 
Mkuu The Boss, asante. Kumbe ulisoma Azania?, mimi nilikuwa hiyo shule ya jirani yako, ile ya Walume Ndago!, vipi jamaa class alikuwa kichwa?. Ilikuwa ni miaka ipi?. Mimi nimesoma darasa moja primary na mtoto wa Malima ambaye sasa ni medical doctor Dr. Amani, by then Malima alikuwa na watoto wawili tuu, Amani na kaka yake tuu, ila kwa vile ilikuwa long, usikute dogo alikuwa hajazaliwa!.
Thanks
Pasco
We wa father K pia?grad. 1990!
 
Back
Top Bottom