Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Asanterabi Malima



CEO/President and Co-Founder at Biolom


Greater Boston AreaNanotechnology




Current
  1. Northeastern University,
  2. Biolom
Previous
  1. Northeastern University,
  2. Center for Highrate Nanomanufacturing,
  3. Sabanci University
Education
  1. Northeastern University
Recommendations2 people have recommended Asanterabi
asantemalima.com

Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things he's claimed to have done all by himself through superior individual intellectual prowess and efforts.
 
Kwa hiyo malima alikuwa mmachame? maana asanterabi ni majina ya kichaga tena wamachame
 
Mkuu Kalyovapiti, asante!. Nini kusoma na mtoto wa malima?!, niliyentaja nimesoma nae darasa moja!. Pia primary nimesoma darasa moja na Mtoto wa Malecela!, sekondari nimesoma darasa moja na Mtoto wa Nyerere, Darasa Moja na mtoto wa Mkapa, shule moja na Mtoto wa Mwinyi!. A-Level nimesoma darasa moja na Mtoto wa Warioba!. Chuo nimesoma na mtoto wa JK japo sio darasa moja!.

Nikiwa mwandishi, nimekaa kuzungumza face to face na Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK, hivyo wote hao ni watu wa kawaida sana!, kwa bahati nzuri, with connections na lobbying, I could have been anyone I wanna be, but very unfortunately, I'n nobody simply because I've decided to be so, mimi ni wale rare type ya ambitionless just to be nobody!. Mpaka hapa ninapoandika sasa, mimi ni jobless, sijaajiriwa na popote na yeyote, situmwi chochote na yeyote, popote, ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, I just do what I love, I feel or i like, na kith kikubwa zaidi kuliko vyote, I don't work for money!, I just made some, and used it to work for me!.
Nimeoa wake wawili, nina watoto 7!, Naishi nao wote very happly pale nyumba ya kupanga, Tandale nyuma ya kwa Mtogole, jirani na Uwanja wa Fisi, usafiri wangu ni boda boda!.

Thanks.
Pasco.

.............True, true broada. Live simple and enjoy the best!
 
Only this media will turn him politician! Who cares in Tanzania if prominent prof runs for politcal positions!
huyo tumkwapue haraka arudi home na tumpe kitengo chenye maslahi bora kwenye hospitali zetu, wamarekani hawachelewi kumbembeleza achukue uraia wao ili awe mmarekani afanye kazi hukohuko atibu watu wa hukohuko. aje atibu watz na afundishe watz wafike alipofikia yeye.
 
Najiuliza sipati jibu hivi inakuwaje Great Thinker anaweza kuhusisha Elimu na Dini ya mtu.
Uzi huu toka ulipoletwa na mleta mada in a smart way alionyesha dalili ambazo kwa tafsiri yangu ni aina fulani ya mchezo [game] ambao unazaa question mark pale alipo mcc faizafoxy.

Tafsiri yangu binafsi ambayo kwa waerevu wanaunga dot.
Kitendo cha mleta mada kumcc Faizafoxy kwa jambo linalo husiana na mtoto wa marehem Malima ni ishara ya mambo makuu mawili.
1: Faizafoxy ni shabiki sana wa mijadala ya udini ambayo inashabiana na siasa za Taifa.
2: Ni mnazi wa kujadili ushindani wa taaluma unaoangalia sana mwenye taaluma husika ni muumini wa dini ipi.


Kijana Malima ni Mtanzania kama watanzania wengine,kitendo cha mafanikio yake kujadiliwa na kuyapa sura za kiushabiki wa udini badala ya mjadala kuangalia changamato za mafanikio yake na kuona mtanzania mwingine atapataje fursa kama aliyopata Asanterabi.

Majadliano ya mafanikio au upeo aliofika Asante yanaweza kwenda mbali kwa kuangalia historia yake, wazazi wake, shule alizosoma, marafiki zake waliomzunguka na mengineyo, lakini pale watu wanapovuka mipaka na kuangalia angle ya dini ni UFANATICISM.

Malima Yes na ndio alikuwa Muumini wa dini ya Kiislam, kama imani yake ya kumcha Mungu wake hapa duniani. Elimu na dini ya mtu vinauhusiano gani kiasi cha kusema dini yake ndio msingi wa mafanikio yake na kuwa kwa mafaniko hayo basi ubora wa dini ndio shina la kujadiliwa kweli na great thinkers hapa jukwaani.

Ukweli wwa wengine tunaumia sana kunapoibuka mijadala ya dini isiyokuwa na A wala BE. Sie wengine tumezaliwa unakuta Baba yako mdogo ni Sheikh wakati Shangazi yako ni Sister na Mjomba wako ni Pastor na wote mnakula na kulala pamoja kama familia moja, tena familia yenye mshikamano wa ajabu.

Mimi kama ni mjadala ajadiliwe kijana Malima kwa angle zenye mashiko ,nani asiyejua kuwa Marehem Malima alikuwa bright na kama alikuwa bright kizazi chake kama ni matokeo ya vipimo vya kisayansi basi hata Asanterabi anauwezo mkubwa tu kuwa bright hata zaidi ya Baba yake [Wanasayansi wanasema 80% ya akili ya mtoto ni ya Kurithi wakati 20% ni akili ya anayopata kutokana na mazingira yanayomzunguka.].Sasa udini hapa na akili ya Asanterabi vinatoka wapi hasa wale wachangiaji wahusudisha udini?


OMBI KWA MODERATORS NA THINKERS WA JF.
Tufike sehemu moderators na Great Thinkers wote kwa umoja wetu tuwe SENSITIVE na swala la UDINI kwenye mada za SIASA, SCIENCE au mada toka angle yoyote isiyoshabiana na kutokana na mjadala DINI kama Mada kwa uzito wa hoja anzishwa.

Mode ni vyema ukaibuka utamaduni wa kupigaban na mpigwaji akionekana kudumu kwenye tabia hiyo basi apigwe TOTAL BAN aludi kwa ID nyingine, na kwa kuwa jasili aachi asili atajitokeza tu ale TENA BAN.Kuna wengine humu wameshakuwa na majina makubwa kula TOTAL BAN na kuja kwa jina jipya UKWELI ITAWACOST MNO hivyo watajiheshimu na kubehave kama GREAT THINKERS.

Jukwaa linawakilishwa kada fulani kubwa ya mchanganyiko wa Watanzania wengi, wenye umri mkubwa, umri mdogo, wanawake, wanaume, vijana, wazee, walioa, ambao awajaoa, Wakristu, Waislam, Hindu, Dini za jadi, na wengineo wengi wakiwemo wasio na dini.

Sasa kuendelea kuendekeza tabia ya kuruhusu majadiliano ya UDINI kwa sura za namna hii, TUNATENGENEZA CHACHU ambayo POLEPOLE inazaa ISHARA MBAYA!!!

Nisivyo na ITIKADI ya vyama vya siasa, ndivyo vivyo vivyo mimi nisivyo penda UTUMIAJI HOJA ZA DINI. Binafsi nina IMANI ya DINI yangu, ambayo kwa malezi nimelelewa na kuzungukwa na dini zingine nikiona ni sehemu ya MAISHA yangu.Ukifika wakati wa kumsujudia MUNGU kila mmoja anamsujudia kwa IMANI YA DINI YAKE , kwenye dhehebu lake, bila bughudha wala kero toka kwa Mwanafamilia, tena wanafamilia wanatoa msaada kuona azima yake ya kumtumikia MUUMBA wake kwa IMANI yake INATIMIA kupitia mikono ya na maombi ya wanafamilia.

Siku moja nilikwenda kwenye nyumba moja ya ibada nikakuta familia moja maalufu kwenye Biashara na Medani ya Soka na Michezo ambayo kiimani ni waumini wa Dini tofauti na eneo husika lakini kwa utamduni wa malezi yao, wako pale kama wanafamilia kujumuika na MDOGO WAO ambae ni muumini wa dhehebu tofauti na wao tena akiwa ni KIONGOZI ambae alikua amekuja toka MKOANI kwa ajili ya SEMINA YA KIDINI kwenye dhehebu moja kubwa Tanzania.

Familia ile iliudhuria IBADA ile aliyokuwa anaendesha MDOGO wao na mwisho wa IBADA familia ile ya WANAMICHEZO NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA walipewa nafasi ya kujitambulisha na kusema machache na moja kubwa ni kuwa KIONGOZI huyo wa KIIMANI wa madhehebu hayo ya Kikiristo amefika pale kwa support ya wanandugu hao ambao binafsi wana DINI na wana sali dhehebu tofauti mdogo wao huyo ambae walikuja kumsupport kiimani wakati huo.

Picha ile ya Familia ya Wanamichezo hao ni Picha ya Familia nyingi sana za Kitanzania ikiwemo yangu pia.Tukikutana kama familia uwezi tambua kuwa yupi ni muumini wa dini au dhehebu fulani.

MODE, SWALA LA UDINI LIWE NA UKOMO TAFUTA JIBU.
Tusitambuane kwa UDINI humu.....
Naona umeandika maneno mengi sana ni kweli mambo ya udini siyo mazuri kwa mustakabali ya nchi yetu.

Wewe ni mkongwe humu jamvini ukiweka ushabiki pembeni utaona watu ambao wanaopewa kashfa na dhiaka humu JF ni Waislam, mpaka FaizaFoxy kuandika hayo siyo kama kakosea amejibu kashfa za Wakirsto humu JF dhidi ya Waislam, mara nyingi Waislam ndiyo uwa wanajibu kashfa hizo na wanaonekana wadini.

Mkuu uwa unakuwa wapi Waislam wanavyofanyiwa vitendo vya udini humu JF kutoa maoni yako.
 
Last edited by a moderator:
Big up Kijana kwa kuitumia fursa.Umesoma,ukaelimika ukaja na kitu chako chenye manufaa kwa jamii nzima.
Sasa kuwa makini na media za wayahudi hawachelewi kusema we ni Myahudi mweusi!!

Religion has nothing to do with one's intelligence'
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things he's claimed to have done all by himself through superior individual intellectual prowess and efforts.

Did they invent or discover?
 
Napingana nawe kuwa wakristo wanawadhihaki waislam. Unafahamu kuna wakristo wangapi katika jukwaa hili? Unafahamu kuna waislam wangapi katika jukwaa hili? Kwa kuzingatia idadi ya waislam na wakristo waliopo katika jukwaa hili, unaweza kukadiria ni waislam na wakristo wangapi walio na akili za kipuuzi ambao mitazamo yao imekaa kidini dini wakati wote?

Mnaoshabikia udini mpo wachache sana kwenye jukwaa hili, na mnaweza kutajwa kwa majina. Tulio wengi tunaamini kuwa binadamu wote huzaliwa wakiwa sawa kwa maana ya kwamba hakuna ambaye huzaliwa na tofauti fulani kutokana na dini yake. Makuzi katika mazingira ovu huwaharibu na kuwabadilisha wanadamu.

Sitashangaa hata watoto wa wadini waliopo hapa jukwaani nao watakuwa hivyo hivyo, lakini hawakuzaliwa hivyo bali wameharibiwa na wazazi wao.

Msimdhalilishe mtalaamu Malima, na kama angepata nafasi ya kuwasikia hawa wadini nadhani hakuna jibu ambalo angewapa zaidi ya kuwadharau na kuwaona wamepungukiwa. Malima siyo mdini, amethamini na kuzingatia maarifa, ameenda popote anapoweza kujifunza maarifa, bila ya kujali kama anajifunza kutoka kwa Myahudi, Singasinga, Mkristo, Muislam au mpagani. Waliopungukiwa kabla hajapeleka mtoto wake shule anaanza kujiuliza kwanza, 'shule inamilikiwa na mtu wa imani gani na ya namna', badala ya kuzingatia ubora.

Tanzania itasonga mbele, na kuwafanya watu wake wawe na maisha mazuri endapo tu kila mmoja (bila ya kujali itikadi yake, imani, kabila au rangi)atapewa nafasi ya kutumia kipaji, elimu na ujuzi wake kulijenga Taifa.

Nalaani wadini wote.

Kwangu mimi anayeongelea suala la dini kama kigezo cha ubinadamu zaidi na haki zaidi, hakuna neno bora limfaalo kumwita. Nchi ni yetu wote, imani ni yako moyoni, uiache humo humo wala usiifanye kuwa ndiyo dira ya Taifa. Mtu unakuwa makini au mnyonge kutokana na uzembe, jitihada au kipaji ulichopewa au kunyimwa na Mungu, na wala siyo kutokana na dini yako.

Naona umeandika maneno mengi sana ni kweli mambo ya udini siyo mazuri kwa mustakabali ya nchi yetu.

Wewe ni mkongwe humu jamvini ukiweka ushabiki pembeni utaona watu ambao wanaopewa kashfa na dhiaka humu JF ni Waislam, mpaka FaizaFoxy kuandika hayo siyo kama kakosea amejibu kashfa za Wakirsto humu JF dhidi ya Waislam, mara nyingi Waislam ndiyo uwa wanajibu kashfa hizo na wanaonekana wadini.

Mkuu uwa unakuwa wapi Waislam wanavyofanyiwa vitendo vya udini humu JF kutoa maoni yako.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kalyovapiti, asante!. Nini kusoma na mtoto wa malima?!, niliyentaja nimesoma nae darasa moja!. Pia primary nimesoma darasa moja na Mtoto wa Malecela!, sekondari nimesoma darasa moja na Mtoto wa Nyerere, Darasa Moja na mtoto wa Mkapa, shule moja na Mtoto wa Mwinyi!. A-Level nimesoma darasa moja na Mtoto wa Warioba!. Chuo nimesoma na mtoto wa JK japo sio darasa moja!.

Nikiwa mwandishi, nimekaa kuzungumza face to face na Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK, hivyo wote hao ni watu wa kawaida sana!, kwa bahati nzuri, with connections na lobbying, I could have been anyone I wanna be, but very unfortunately, I'n nobody simply because I've decided to be so, mimi ni wale rare type ya ambitionless just to be nobody!. Mpaka hapa ninapoandika sasa, mimi ni jobless, sijaajiriwa na popote na yeyote, situmwi chochote na yeyote, popote, ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, I just do what I love, I feel or i like, na kith kikubwa zaidi kuliko vyote, I don't work for money!, I just made some, and used it to work for me!.
Nimeoa wake wawili, nina watoto 7!, Naishi nao wote very happly pale nyumba ya kupanga, Tandale nyuma ya kwa Mtogole, jirani na Uwanja wa Fisi, usafiri wangu ni boda boda!.

Thanks.
Pasco.

Haaaahaaa Kazi ipo...mbona umeamua kucheua nani kabana pumzi mkuu!
 
Wazaramo hawana ukabila na hawana haja ya kuitana kwenye vikao vya kikabila kama wafanyavyo makabila mengine vyuoni na makazini ndio maana wengi hudhani wazaramo hawapo vyuoni wala makazini kumbe tupo na tunawakimbiza kuanzia vyuoni hadi makazini na hakuna sababu ya kujitangaza kama wao na ushamba wao!
Mkuu umesahau,pia Ngomani mnawakimbiza balaa.
 
Napingana nawe kuwa wakristo wanawadhihaki waislam. Unafahamu kuna wakristo wangapi katika jukwaa hili? Unafahamu kuna waislam wangapi katika jukwaa hili? Kwa kuzingatia idadi ya waislam na wakristo waliopo katika jukwaa hili, unaweza kukadiria ni waislam na wakristo wangapi walio na akili za kipuuzi ambao mitazamo yao imekaa kidini dini wakati wote?

Mnaoshabikia udini mpo wachache sana kwenye jukwaa hili, na mnaweza kutajwa kwa majina. Tulio wengi tunaamini kuwa binadamu wote huzaliwa wakiwa sawa kwa maana ya kwamba hakuna ambaye huzaliwa na tofauti fulani kutokana na dini yake. Makuzi katika mazingira ovu huwaharibu na kuwabadilisha wanadamu.

Sitashangaa hata watoto wa wadini waliopo hapa jukwaani nao watakuwa hivyo hivyo, lakini hawakuzaliwa hivyo bali wameharibiwa na wazazi wao.

Msimdhalilishe mtalaamu Malima, na kama angepata nafasi ya kuwasikia hawa wadini nadhani hakuna jibu ambalo angewapa zaidi ya kuwadharau na kuwaona wamepungukiwa. Malima siyo mdini, amethamini na kuzingatia maarifa, ameenda popote anapoweza kujifunza maarifa, bila ya kujali kama anajifunza kutoka kwa Myahudi, Singasinga, Mkristo, Muislam au mpagani. Waliopungukiwa kabla hajapeleka mtoto wake shule anaanza kujiuliza kwanza, 'shule inamilikiwa na mtu wa imani gani na ya namna', badala ya kuzingatia ubora.

Tanzania itasonga mbele, na kuwafanya watu wake wawe na maisha mazuri endapo tu kila mmoja (bila ya kujali itikadi yake, imani, kabila au rangi)atapewa nafasi ya kutumia kipaji, elimu na ujuzi wake kulijenga Taifa.

Nalaani wadini wote.

Kwangu mimi anayeongelea suala la dini kama kigezo cha ubinadamu zaidi na haki zaidi, hakuna neno bora limfaalo kumwita. Nchi ni yetu wote, imani ni yako moyoni, uiache humo humo wala usiifanye kuwa ndiyo dira ya Taifa. Mtu unakuwa makini au mnyonge kutokana na uzembe, jitihada au kipaji ulichopewa au kunyimwa na Mungu, na wala siyo kutokana na dini yako.
Wewe kwako mtu yoyote Muislam ndiyo mdini kwako hakuna Mkirsto mdini umeandika pumba nyingi mno.
 
Mkuu The Boss, asante. Nakubaliana na wewe, ila pia kuna aina mbalimbali za vichwa, na mazingira tofauti ya ukichwa, wengine walikuwa vichwa nursery, wengine tulikuwa vichwa primary, wengine sekondari, wengine chuo!.

Na wengine ni vichwa kwenye mazingira fulani, mfano kichwa wa good learning environment kama za ulaya, kula vizuri, kulala vizuri, vifaa vya kisasa etc, ukimleta Manzese, ni kilaza tuu!.

Thanks.

Pasco

I rarely agree with you but with this one you are right on the money!
 
Hivi kila mvumbuzi dunia hii angejinasibisha kwa kigezo cha dini basi ingekuwa balaa. Watu wazima wanangea upuzi wa dini!!! HONGERA MALIMA
 
The article is grossly misleading in aggrandizing Asanterabi's role as if he single-handely invented the device. Hakuvumbua hiyo makitu pekee yake. The product is a result of collaborative effort with other scholars at North Eastern including his professor. Hata hiyo kampuni waliyoanzisha wapo wasomi wote waliochangia
Usimwonee wivu bwana mpe haki yake kwenye academics mwenye kuanzisha concept ndiyo author wengine wana shiriki tu lakini first author heshima yake inabaki pale pale......

Professor na wengine ni promoters tu otherwise asinge tuzwa yeye!
 
Ahahahaaa daaah! That's classic man.

Kwa hiyo hata mimi nisiye na dini kama ningewapa mshiko wangenipa scholarship?

Aisee njaa bana...

Mbona hawakusifii wewe gwiji wa IT? Ngoja nijitahidi CDM ikiingia madarakani tutakutunuku tuzo maalumu
 
Back
Top Bottom