Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things that he's claimed to have done all by himself through superior intellectual prowess and sheer individual efforts.

Ok thanks for information ila kwenye academics pia kuna siasa zake hasa kwa hawa wenzetu maana ss kwakua tunaendelezwa wakati mwingine tunakosa nafasi ya ku own technology zetu!

Mwingine co-author wa invented bio-technology huyu hapa

Patents by Inventor Gerald Misinzo
CULTURING CIRCULAR ssDNA VIRUSES FOR THE PRODUCTION OF VACCINES
Application number: 20130336927
Abstract: The present invention relates to the use of interferon in the in vitro cultivation of animal circular ssDNA virus such as Porcine Circovirus 2 or human TT virus in an animal cell line. Increased titres of animal circular ssDNA virus are obtained by addition of interferons or agents which ensure the production of endogenous interferons by said cell line and/or by the reduction of endosomal-lysosomal system acidification.
Type: Application
Filed: December 24, 2012
Issued: December 19, 2013
Inventors: Hans NAUWYNCK, Gerald MISINZO, Sven ARNOUTS
 
Nimeskitishwa na tabia za wenzetu wenye tabia za kuongelea udin kwenye masuala muhimu kama hili sina mengi ya kusema zaidi ya wengine wote mlio likemea kwenye huu uz.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
huyu Pasco ni tapeli kama matapeli wengine..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Boss, asante. Kumbe ulisoma Azania?, mimi nilikuwa hiyo shule ya jirani yako, ile ya Walume Ndago!, vipi jamaa class alikuwa kichwa?. Ilikuwa ni miaka ipi?. Mimi nimesoma darasa moja primary na mtoto wa Malima ambaye sasa ni medical doctor Dr. Amani, by then Malima alikuwa na watoto wawili tuu, Amani na kaka yake tuu, ila kwa vile ilikuwa long, usikute dogo alikuwa hajazaliwa!.
Thanks
Pasco

Pasco mbona unatafuta kujizeesha hivyo eti ulisoma kabla hawa hawajazaliwa. Wewe miaka ile unavaa sale za second sch mbona hawa walikuwepo Regent Estate?

Nimekushangaa jinsi ulivyoandika ni kama unajifanya haujui na kutudanganya humu.

Kama unaishi huko sijui wapi, hauna kazi, umeoa wake wawili ni uchaguzi wako wa maisha na akili uliyobarikiwa ya kutoingia kwenye mambo ya juu juu.

Andika yaliyoongelewa sifia sio kuandika kidharau. Mme mwenza wa ndugu yako atawexa kukusaidia upande (waziri wa utalii)
 
Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things he's claimed to have done all by himself through superior individual intellectual prowess and efforts.

WIVU.com

Ungesoma kilichoandikwa basi usingeishia kuandika upuuzi huu.

Nani kakuambia kila mtu anaulazima wa kulinkedin? Si ni choice ya mtu? Mbona profes... Wengi nawajua na hawajirushi mitandaoni?

Rudia kusoma upate mwangaza kama hauelewi lugha uliza. Eti na ku gugo kote wakati kila kitu kimeandikwa juu

Ulijiuliza kama ni yeye kaandika ya juu au ameandikwa?
 
Pasco mbona miaka ile unavaa sale za second sch mbona hawa walikuwepo Regent Estate?

Nimekushangaa jinsi ulivyoandika ni kama unajifanya haujui na kutudanganya humu. Mme mwenza wa ndugu yako atawexa kukusaidia upande (waziri wa utalii)
Mkuu Mzurimie, asante. It seems ....(I reserve my comments!). Hili la kusaidiwa na Mme mwenza nalo neno!, ila pia ili usaidiwe, lazima uutake huo msaada au uombe msaada kusaidiwa!, Kama namfahamu fika huyo aliyenyuma na huyu Mme mwenza, aliyemfanya huyu Mme mwenza kufika hapo alipofika, na sijahitaji kusaidiwa!, leo nije kusaidiwa na aliyesaidiwa?!. Kama ningekuwa mtu wa kutaka kusaidiwa na ma source wa misaada ni access nao, ningesaidiwa siku nyingi!.

Naomba kukikiri, sisi Watanzania ni masikini, na nchi yetu ina suffer lindi la umasikini!, ila pia tunao masikini wa aina mbili, wale masikini wenye kutilisha huruma, ambao wanasubiri huruma za kusaidiwakuondokana na umasikini wao, hawa ni kila siku huishi kwa kuomba misaada wasaidiwe na wakisaidiwa huwa na shukrani kwa waliowapunguzia umasikini!.

Na kuna "masikini jeuri", hawa ni masikini but not beggers and never beg!, hawa wameridhika na umasikini as their destiny!, hawaombi misaada na hawahitaji kusaidiwa kuondokana na umasikini!, they'd rather lala njaa kuliko beg for a bread!, hawa ndio hao ambao mimi nawaida a "rare type!", and its where Pasco wa jf belongs!.

Thanks.
Pasco
 
huyu Pasco ni tapeli kama matapeli wengine..
Mkuu Mzee wa Data, kwanza asante kutujulisha kuwa "huyu Pasco ni tapeli kama matapeli wengine..!", kiukweli watu matapeli, wanafanikiwa kwa kuwatapeli watu kwa vile wengi hawaujua utapeli wao!. Kwa vile wewe ni Mzee wa Data, utaisaidia sana jamii, kama angalau utamwaga data za utapeli wa huyu Pasco ambaye ni tapeli kama matapeli wengine..ili jamii iujue utapeli wake na kuiepusha jamii kuendelea kutapeliwa na matapeli!.

Thanks.
Pasco.
 
Mkuu Mzee wa Data, kwanza asante kutujulisha kuwa "huyu Pasco ni tapeli kama matapeli wengine..!", kiukweli watu matapeli, wanafanikiwa kwa kuwatapeli watu kwa vile wengi hawaujua utapeli wao!. Kwa vile wewe ni Mzee wa Data, utaisaidia sana jamii, kama angalau utamwaga data za utapeli wa huyu Pasco ambaye ni tapeli kama matapeli wengine..ili jamii iujue utapeli wake na kuiepusha jamii kuendelea kutapeliwa na matapeli!.

Thanks.
Pasco.

Mkuu Pasco Kuna WATU wengine kuwajibu unajishushia heshima na kupoteza muda.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania ina watu wengi tu wenye kaliba ya huyu bwana isipokuwa ndoto zao za mafanikio zinafifishwa wangali wadogo...
 
  • Thanks
Reactions: Ame
So, me being me...nime-notice kitu kwenye hii habari.

Alichokifanya huyu dogo na wenzake ni 'discovery'. Sasa basi, 'discovery' na 'invention' ni kitu kile kile ama ni vitu viwili tofauti?

Kwa ufupi tu, ni vitu viwili tofauti, 'discovery' = ni jinsi ya kutambua hayo maradhi mapema kwa kutumia kifaa 'invention' yao. Kwa hiyo wao wamevumbua kifaa ambacho, watu wa maabara (medical) watakitumia kupima hayo maradhi
 
Watanzania!!!!!. Mbona tunajadili udini sana??? Hii research imefanyika Saudia??? Mwalimu mzungu, maabara ya Mzungu, supervisor mzungu.

No wonder Mungu anasita sana kutoa fursa kwa makundi ya watu wasiojitambua, na sijui itakuwaje jamii zenye mawazo finyu na ya kijinga kama hayo ikishika hatamu ya science na teknolojia.....ndio itakuwa silaha ya kudhalilisha makundi mengine.

Mods wampige huyu bibi ban, kichwa chake sio kizima.
 
Mkuu Pasco Kuna WATU wengine kuwajibu unajishushia heshima na kupoteza muda.
Mkuu Peri, asante. Uongo ukisemwa sana, ukaachwa bila kukanushwa, hugeuka kuwa ni ukweli, na lazima tukubali utapeli kwenye jamii yetu ni tatizo, anapojitokeza tapeli, ni muhimu ku alert jamii isike kutapeliwa ndio maana nikampa fursa yule jamaa kuuelezea utapeli wa yule tapeli kama matapeli wengine ili utapeli wake ujulikane, jamii isiendelee kutapeliwa!.
Thanks.
Pasco
 
So, me being me...nime-notice kitu kwenye hii habari.

Alichokifanya huyu dogo na wenzake ni 'discovery'. Sasa basi, 'discovery' na 'invention' ni kitu kile kile ama ni vitu viwili tofauti?
Discovery ni kama kuvumbua hata kwa kuona tu na kuanalyse

Invention ni kugundua na kuunda kitu
 
wewe pia ni tapeli mwingine........
Mkuu Data, asante kuendelea kutuhabarisha kuhusu hawa matapeli humu jf, ila nakuomba usiishie kuwanyooshea tuu vidole huyu ni tapali, na yule ni tapeli, bali mwaga na data za utapeli wao, ili jamii ijue isiendelee kutapeliwa na matapeli hawa!, au hata wewe ni jina lako la Data ni ile data ya ku data na sio ile data ya kumwaga nondo?!,

Nakuuliza tena Mkuu Data, kama una data za utapeli, mwanga humu, vinginevyo utakuwa ume data!.
Thanks.
Pasco
 
Back
Top Bottom