Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

So, me being me...nime-notice kitu kwenye hii habari.

Alichokifanya huyu dogo na wenzake ni 'discovery'. Sasa basi, 'discovery' na 'invention' ni kitu kile kile ama ni vitu viwili tofauti?

tofauti
invention ni kuanzisha kitu upya
discovery unaweza sema hata ku upgrade cha mwingine
 
Wanakupa..unafiki ugonjwa mbaya sana...unafiki na njaa pata picha

Unafiki+njaa ni combo mbaya sana. Mtu naweza hata kumwuza nduguye.

Ila umenichekesha sana aisee.

Unajua watu wako entrepreneurial sana ila kwenye sehemu zisizo....(just to put a positive spin)
 
Umenikumbusha masheikh wa BAKWATA wanajifanya wanatafuta scholarship kwa waislam wakipata wanauza kwa yeyote mwenye pesa.....huku wakiendeleza "siasa za nchii hi waislam wanaonewa"

😛eep: ...............:A S 109:................:hail:
 
..kuhusu kuwa kichwa Azania kulikuwa na vichwa vya ukweli hakuingia hata top 20 unaweza kuona kama wote wangepata nafasi ya kwenda kusoma nje tungekuwa na scientist wangapi huko duniani by now....
Mkuu The Boss, asante. Nakubaliana na wewe, ila pia kuna aina mbalimbali za vichwa, na mazingira tofauti ya ukichwa, wengine walikuwa vichwa nursery, wengine tulikuwa vichwa primary, wengine sekondari, wengine chuo!.

Na wengine ni vichwa kwenye mazingira fulani, mfano kichwa wa good learning environment kama za ulaya, kula vizuri, kulala vizuri, vifaa vya kisasa etc, ukimleta Manzese, ni kilaza tuu!.

Thanks.

Pasco
 
Bongobserikali scholarship kwa majina.

Kuna watu walikuwa wanazikalia scholarships mpaka zina expire.

Kwa sababu tu hawakuwa na "watu wao" wenye majina kuwapa.

Hata scholarship za Urusi,Eastern Europe,Cuba,China zilikuwa inshu pale wizarani...kulikuwa na mzee mmoja anaitwa Kinunda...sijui bado yupo?
 
biolom600.jpg


nuchip
 
headline_bullet.jpg
Creates biolom, nanotechnology detector of cancers at early stages
headline_bullet.jpg
Creates firm, Massachusetts governor awards him entrepreneurship prize
Northestaern.jpg


Engineer Dr Asanterabi Malima


Engineer Dr Asanterabi Malima, son of former cabinet minister and leading economist, the late Prof. Kighoma Malima, is making headlines of his own neither in economics nor in politics.

Dr Malima, a graduate of the Department of Electrical and Computer Engineering and now a postdoctoral researcher in the Northeastern University Center for high rate manufacturing in nanotechnology in the United States, has discovered a disease diagnostic tool that can detect diseases in their early stages.

A report posted at News@ Northeastern that was later shared by the Commission for Science and Technology (COSTECH) to the local media said Dr Malima's passion was always to develop some kind of technology to diagnose diseases earlier.

As he continued with his studies, this vision became a reality when in 2012 together with his fellow Northeastern alumni Cihan Yilmaz, PhD of the 2013 doctoral class and Jaydev Upponi, of the previous year's class, graduates of the Department of Mechanical and Industrial Engineering, and the Department of Pharmaceutical Sciences respectively, designed a device known as Biolom.

Their device is smaller than a pinhead and has the capacity to diagnose a variety of diseases at their earliest stages.

After this, they started a biotechnology firm to commercialize the device they developed at the center under the guidance of the centre's director, Prof. Ahmed Busnaina, the William Lincoln Smith Chair and professor in the College of Engineering.

The biolom device consists of four distinct areas, each optimized to detect a specific biomarker indicating different types of cancer or cardiovascular disease.

"With cervical cancer, a device like this could be invaluable for its ability to quickly and inexpensively improve diagnoses when the cancer is first taking root," the report reads in part.

The team originally developed the device to detect colorectal cancer, but it pivoted to focus on liver cancer after an exhaustive field survey of clinicians, researchers and members of the pharmaceutical industry, it said.

Dr Malima's work has received significant recognition. In June, as part of activities of the Massachusetts Institute of Technology (MIT) activities to mark Africa Week, State Governor Deval Patrick presented the Tanzanian scientist with the state Entrepreneurial Award, honoring his contribution to the state's economic well-​being and vitality.

"Not only does Biolom promise to improve the health and job prospects of the state's residents, but it also has the potential to cure disease in dr Malima's native Tanzania, where cervical cancer is prevalent," the report underlined.

"In more than 50 percent of the patients that have tumors, they are missed," Dr Malima remarked, noting that the reason is that the biomarker that clinicians typically use to monitor for the disease doesn't reach meaningful concentrations until a tumor has grown to significant size. "Usually once somebody develops symptoms, he or she only has about nine to 12 months to live," the scientist was quoted as telling News@ Northeastern.

But, he says, there are other approaches to detecting liver cancer, namely two other less-​​often used biomarkers. The team decided to reconfigure its device to be able to detect all three biomarkers simultaneously. The approach, he said, is expected to bring clinical sensitivity from 50 to 90 percent when the combination of biomarkers is used.

Along the way, Biolom has received support from the Center for Research Innovation, the Health Sciences Entrepreneurs program, and IDEA Northeastern's student-​​run venture accelerator which provided mentoring as well as gap funding to support the clinical validation studies that are now underway.

He said starting a company brought with it its own set of unique challenges, quite distinct from those of any engineering problem that dr Malima had as yet encountered.

"I never thought of myself as an entrepreneur," Dr Malima intoned. He expected to be the brains in the background, quietly tinkering away at large firms like Toshiba, where he worked for several months before pursuing his graduate education at Northeastern.

Instead he's working at the cutting edge of an industry that promises to change the face of disease diagnosis as we know it.

Dr Malima is quoted as having said that everyone in his family was in politics and therefore people who knew him the country expected he would keep with the "family business" (politics) "but my father's early passing set me on a different course."

"My passion was always to develop some kind of technology to diagnose diseases earlier, to come up with something that wouldn't save my father, since he'd already passed away, but may save somebody else's parent," Dr Malima said.

The Guardian on Sunday tried to reach his brother Adam Malima, the Deputy Minister for Finance to get a word from him as to the US exploits of his younger brother and the feeling in the family but in vain.

News@ Northeastern only stated that Asanterabi Malima's father died aged 57 when Asanterabi was 15 years old. The late minister was not named directly in the report but it said that he was "an accomplished scholar and served as minister in the Tanzanian government."

Speaking with The Guardian on Sunday yesterday, Dr. Flora Tibazarwa, the director of Life Science at the Tanzania Commission of Science and Technology (COSTECH) and acting director general said COSTECH was aware of Dr Malima's discovery.

COSTECH was ready to link him with local research institutions for trials after which they will see what can be done at the local level, not that Dr Malima had formed an enterprise in the US for the purpose.

"We have the reports about Dr Malima's success but as of now we cannot say much as the discovery has not gone through trials and publishing of clinical results, but it is really good news," she said.

Any success in discovery is a step ahead in dealing with major diseases like cancer, she said, noting that COSTECH signed a memorandum of understanding (MoU) with the Northeastern Center for High Rate Nanomanufacturing, where Dr Malima is currently attached to.

The MoU would enable COSTECH to assist the researcher if and when he would be carrying out projects in the country, the director added.

SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY


c.c
FaizaFoxy

- Saafi sana hawa ndio wanafaa KUPEWA uraia pacha

Le Big Show
 
Sasa Huyu Bw.Kikwete Si angerudi naye ampe Fedha Afungue hiyo Biotech spinoff Hapa Bongo? VX8 40 Tu zinatosha! Tuanze kutibu Ebola badala ya kubambikiziwa na Wazungu Kila Siku!
 
The article is grossly misleading in aggrandizing Asanterabi's role as if he single-handely invented the device. Hakuvumbua hiyo makitu pekee yake. The product is a result of collaborative effort with other scholars at North Eastern including his professor. Hata hiyo kampuni waliyoanzisha wapo wasomi wote waliochangia
 
Jaman! Hii imegeukaje kuwa ya kidini? tunaitana majina mabaya, makali kwan shida n nn?
Huyo kafika huko si kwa ajil ya dini bali ni juhudi zake na uwezo wa familia. Maana kuna wengi tunao wa iman mbalmbali wakifanya ugunduzi mitaan ila hawana kiwezeshwa na serikal wala jamii inatowazunguka. Na pia kuna watoto wa viongozi ambao wako huko pamoja na kuwa na fursa hamna walilolifanya zaid ya kupiga picha.

Wanadin msituharibie thread kwa kweli, tuko watu katika nchi hii bado tunaamin inawezekana kufikia maendeleo kama vitu flanflan vitabadirika. Huyu kijana ametuthibitishia kuwa ipo hazina kubwa katika nchi yetu , swali ni tunafanyaje ili kiwawezesha wafikie malengo yao katika ubunifu na uvumbuzi?
Yani mimi nimepata mshtuko mkubwa baada ya kusoma post ya mtu anaitwa FaizaFoxy hadi nimepata tumbo la kuharisha nimetoka haja ndo nimerudi.
Sikutegema kama habari hii njema ya Dr.Malima kama ingegeuzwa kuwa sehemu ya mihemko ya maneno makali kiasi hichi.
Udini ni utumwa jamani.
 
Last edited by a moderator:
The article is grossly misleading in aggrandizing Asanterabi's role as if he single-handely invented the device. Hakuvumbua hiyo makitu pekee yake. The product is a result of collaborative effort with other scholars at North Eastern including his professor. Hata hiyo kampuni waliyoanzisha wapo wasomi wote waliochangia
Asanterabi Malima



CEO/President and Co-Founder at Biolom


Greater Boston AreaNanotechnology




Current
  1. Northeastern University,
  2. Biolom
Previous
  1. Northeastern University,
  2. Center for Highrate Nanomanufacturing,
  3. Sabanci University
Education
  1. Northeastern University
Recommendations2 people have recommended Asanterabi
asantemalima.com
 
View attachment 177081
Si ndio huyu, ngoja na mimi nianze kula madafu!
[TABLE="class: infobox biography vcard"]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Born[/TH]
[TD] 30 September 1979 (age 34)
Dar es Salaam, Tanzania[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Nationality[/TH]
[TD="class: category"]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Alma mater[/TH]
[TD]Osmangazi University (BSc)
Sabancı University (MSc)
Northeastern University (PhD)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Parents[/TH]
[TD]Kighoma Malima[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Relatives[/TH]
[TD]Adam Malima (brother)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Website[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]asantemalima.com[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Najiuliza sipati jibu hivi inakuwaje Great Thinker anaweza kuhusisha Elimu na Dini ya mtu.
Uzi huu toka ulipoletwa na mleta mada in a smart way alionyesha dalili ambazo kwa tafsiri yangu ni aina fulani ya mchezo [game] ambao unazaa question mark pale alipo mcc faizafoxy.

Tafsiri yangu binafsi ambayo kwa waerevu wanaunga dot.
Kitendo cha mleta mada kumcc Faizafoxy kwa jambo linalo husiana na mtoto wa marehem Malima ni ishara ya mambo makuu mawili.
1: Faizafoxy ni shabiki sana wa mijadala ya udini ambayo inashabiana na siasa za Taifa.
2: Ni mnazi wa kujadili ushindani wa taaluma unaoangalia sana mwenye taaluma husika ni muumini wa dini ipi.


Kijana Malima ni Mtanzania kama watanzania wengine,kitendo cha mafanikio yake kujadiliwa na kuyapa sura za kiushabiki wa udini badala ya mjadala kuangalia changamato za mafanikio yake na kuona mtanzania mwingine atapataje fursa kama aliyopata Asanterabi.

Majadliano ya mafanikio au upeo aliofika Asante yanaweza kwenda mbali kwa kuangalia historia yake, wazazi wake, shule alizosoma, marafiki zake waliomzunguka na mengineyo, lakini pale watu wanapovuka mipaka na kuangalia angle ya dini ni UFANATICISM.

Malima Yes na ndio alikuwa Muumini wa dini ya Kiislam, kama imani yake ya kumcha Mungu wake hapa duniani. Elimu na dini ya mtu vinauhusiano gani kiasi cha kusema dini yake ndio msingi wa mafanikio yake na kuwa kwa mafaniko hayo basi ubora wa dini ndio shina la kujadiliwa kweli na great thinkers hapa jukwaani.

Ukweli wwa wengine tunaumia sana kunapoibuka mijadala ya dini isiyokuwa na A wala BE. Sie wengine tumezaliwa unakuta Baba yako mdogo ni Sheikh wakati Shangazi yako ni Sister na Mjomba wako ni Pastor na wote mnakula na kulala pamoja kama familia moja, tena familia yenye mshikamano wa ajabu.

Mimi kama ni mjadala ajadiliwe kijana Malima kwa angle zenye mashiko ,nani asiyejua kuwa Marehem Malima alikuwa bright na kama alikuwa bright kizazi chake kama ni matokeo ya vipimo vya kisayansi basi hata Asanterabi anauwezo mkubwa tu kuwa bright hata zaidi ya Baba yake [Wanasayansi wanasema 80% ya akili ya mtoto ni ya Kurithi wakati 20% ni akili ya anayopata kutokana na mazingira yanayomzunguka.].Sasa udini hapa na akili ya Asanterabi vinatoka wapi hasa wale wachangiaji wahusudisha udini?


OMBI KWA MODERATORS NA THINKERS WA JF.
Tufike sehemu moderators na Great Thinkers wote kwa umoja wetu tuwe SENSITIVE na swala la UDINI kwenye mada za SIASA, SCIENCE au mada toka angle yoyote isiyoshabiana na kutokana na mjadala DINI kama Mada kwa uzito wa hoja anzishwa.

Mode ni vyema ukaibuka utamaduni wa kupigaban na mpigwaji akionekana kudumu kwenye tabia hiyo basi apigwe TOTAL BAN aludi kwa ID nyingine, na kwa kuwa jasili aachi asili atajitokeza tu ale TENA BAN.Kuna wengine humu wameshakuwa na majina makubwa kula TOTAL BAN na kuja kwa jina jipya UKWELI ITAWACOST MNO hivyo watajiheshimu na kubehave kama GREAT THINKERS.

Jukwaa linawakilishwa kada fulani kubwa ya mchanganyiko wa Watanzania wengi, wenye umri mkubwa, umri mdogo, wanawake, wanaume, vijana, wazee, walioa, ambao awajaoa, Wakristu, Waislam, Hindu, Dini za jadi, na wengineo wengi wakiwemo wasio na dini.

Sasa kuendelea kuendekeza tabia ya kuruhusu majadiliano ya UDINI kwa sura za namna hii, TUNATENGENEZA CHACHU ambayo POLEPOLE inazaa ISHARA MBAYA!!!

Nisivyo na ITIKADI ya vyama vya siasa, ndivyo vivyo vivyo mimi nisivyo penda UTUMIAJI HOJA ZA DINI. Binafsi nina IMANI ya DINI yangu, ambayo kwa malezi nimelelewa na kuzungukwa na dini zingine nikiona ni sehemu ya MAISHA yangu.Ukifika wakati wa kumsujudia MUNGU kila mmoja anamsujudia kwa IMANI YA DINI YAKE , kwenye dhehebu lake, bila bughudha wala kero toka kwa Mwanafamilia, tena wanafamilia wanatoa msaada kuona azima yake ya kumtumikia MUUMBA wake kwa IMANI yake INATIMIA kupitia mikono ya na maombi ya wanafamilia.

Siku moja nilikwenda kwenye nyumba moja ya ibada nikakuta familia moja maalufu kwenye Biashara na Medani ya Soka na Michezo ambayo kiimani ni waumini wa Dini tofauti na eneo husika lakini kwa utamduni wa malezi yao, wako pale kama wanafamilia kujumuika na MDOGO WAO ambae ni muumini wa dhehebu tofauti na wao tena akiwa ni KIONGOZI ambae alikua amekuja toka MKOANI kwa ajili ya SEMINA YA KIDINI kwenye dhehebu moja kubwa Tanzania.

Familia ile iliudhuria IBADA ile aliyokuwa anaendesha MDOGO wao na mwisho wa IBADA familia ile ya WANAMICHEZO NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA walipewa nafasi ya kujitambulisha na kusema machache na moja kubwa ni kuwa KIONGOZI huyo wa KIIMANI wa madhehebu hayo ya Kikiristo amefika pale kwa support ya wanandugu hao ambao binafsi wana DINI na wana sali dhehebu tofauti mdogo wao huyo ambae walikuja kumsupport kiimani wakati huo.

Picha ile ya Familia ya Wanamichezo hao ni Picha ya Familia nyingi sana za Kitanzania ikiwemo yangu pia.Tukikutana kama familia uwezi tambua kuwa yupi ni muumini wa dini au dhehebu fulani.

MODE, SWALA LA UDINI LIWE NA UKOMO TAFUTA JIBU.
Tusitambuane kwa UDINI humu.....
 
Asanterabi Malima



CEO/President and Co-Founder at Biolom


Greater Boston AreaNanotechnology




Current
  1. Northeastern University,
  2. Biolom
Previous
  1. Northeastern University,
  2. Center for Highrate Nanomanufacturing,
  3. Sabanci University
Education
  1. Northeastern University
Recommendations2 people have recommended Asanterabi
asantemalima.com

Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things that he's claimed to have done all by himself through superior intellectual prowess and sheer individual efforts.
 
Back
Top Bottom