Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Hii ndiyo shule yenyewe?Hello guys,
Wale wore Songea Almun tukutane tufanye Jambo kwa shule yetu,tuna Jambo la kufanya
Tunaanzisha Watsup group yetu
View attachment 2162027
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo shule yenyewe?Hello guys,
Wale wore Songea Almun tukutane tufanye Jambo kwa shule yetu,tuna Jambo la kufanya
Tunaanzisha Watsup group yetu
View attachment 2162027
Hii ndio shule?au mkweche wa Bedford?hii picha inaweza kupigwa popote,hata tandale!Hello guys,
Wale wore Songea Almun tukutane tufanye Jambo kwa shule yetu,tuna Jambo la kufanya
Tunaanzisha Watsup group yetu
View attachment 2162027
Hapana mkuu akina John Gama nadhani ni darasa la form four 2003.Kiukweli maisha ya box 2 ni ya kukumbukwaHili litakuwa darasa la akina John Gama, John Nchimbi, Afraha Yusuph na wengineo....niko sawa ndugu yangu? Ila Songea Boys tamu sana ile shule kimaisha...mwalimu wa maisha wa kupigiwa mfano
Basi kaipige wewe huko "mtongani" utuletee pichaHii ndio shule?au mkweche wa Bedford?hii picha inaweza kupigwa popote,hata tandale!
Alumni wamenielewaHii ndiyo shule yenyewe?
Ngoja nimu inboxMkuu wa Mkoa wa Dar,Makalla pia ni Alumni wa Songea Boys.
Kapige utuleteeHii ndio shule?au mkweche wa Bedford?hii picha inaweza kupigwa popote,hata tandale!
Mkuu wa Azimio 4 nami Dom langu lile Form One 1994 mpaka Form Four 1997,hatari sana[emoji1787][emoji1787]....Azimio 4... white house ndo ilikuwa Dom langu...daaa cube kibao kule ...shadooof nin ...wali wa Kwa mama mlokole ...commmoon
Ulipiga A-level?Box 2 wala mayao daah kitambo 1994-1997 bweni Azimio 4(kipindi hiko tupo na kundi la The Wailers Bangi hatari)[emoji1787]Songea Shule ya Sekondari,ni Sekondari ya Wavulana,twaipenda sana Shule yetu yatulea vyema vijana,Elimu tupatayo,iwafae na wenzetu,popote Tanzania kwa Maendeleo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji836]
Lori la zamani la Box 2 na karibu secondary schools zote ilikuwa ni Ford long base.Isuzu direct injection.
O levelUlipiga A-level?
Ilishakarabatiwa na iko vizuri mnooo.Siyo kwamba shule zote kongwe zilikarabatiwa; hii ilisahaulikaje; au picha ya zamani sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi ulimaliza lini pale Songes boys?[emoji1787]
Ilishakarabatiwa, tena ilikua ktk mpango wa kwanza. 2017Hizi shule karibia zote zilifanyiwa ukarabati...
Imekuaje hio ikasahaulika,, Shule niliyosoma miaka hio Kwiro boys nilipata taarifa imekarabatiwa inapendeza japo ni kitambo kirefu sana sijaiona...
Jengeni kwanza familia zenu,, hio shule ni jukumu la serikali... ila ikiwapendeza mkaiweke sawa tu
Kama sikosei ni 139 au 109 hivi.... P. O. Box 2, Songea? Kweli shule kongwe! Centre number yake ni S-ngapi?
Asante kwa taarifa mkuu,, nimeiona na hakika inapendeza kweli,,, zile vigae zote wametoa wameweka bati safiiii.Ilishakarabatiwa, tena ilikua ktk mpango wa kwanza. 2017
Kwiro boys washaikarabati...
Kwiro Boys kwa Headmaster George Opiyo?
Yeah,mto kilombero kuna daraja zuri sana, linaitwa daraja la magufuli...Nafurahi sana kusikia hvo mkuu,, itabidi siku nifunge safari... maana nilisikia na mto kilombero pia kuna Daraja siku hizi..Japo nililiona kwenye TV itabidi nikashuhudie live coz those days ilikuwa changamoto sana pale