Songea boys, shule kongwe iliyosahaulika

Songea boys, shule kongwe iliyosahaulika

Box 2 wala mayao daah kitambo 1994-1997 bweni Azimio 4(kipindi hiko tupo na kundi la The Wailers Bangi hatari)[emoji1787]Songea Shule ya Sekondari,ni Sekondari ya Wavulana,twaipenda sana Shule yetu yatulea vyema vijana,Elimu tupatayo,iwafae na wenzetu,popote Tanzania kwa Maendeleo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji836]
 
Box 2 wala mayao daah kitambo 1994-1997 bweni Azimio 4(kipindi hiko tupo na kundi la The Wailers Bangi hatari)[emoji1787]Songea Shule ya Sekondari,ni Sekondari ya Wavulana,twaipenda sana Shule yetu yatulea vyema vijana,Elimu tupatayo,iwafae na wenzetu,popote Tanzania kwa Maendeleo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji836]
Ulipiga A-level?
 
Hizi shule karibia zote zilifanyiwa ukarabati...

Imekuaje hio ikasahaulika,, Shule niliyosoma miaka hio Kwiro boys nilipata taarifa imekarabatiwa inapendeza japo ni kitambo kirefu sana sijaiona...

Jengeni kwanza familia zenu,, hio shule ni jukumu la serikali... ila ikiwapendeza mkaiweke sawa tu
Ilishakarabatiwa, tena ilikua ktk mpango wa kwanza. 2017
 
Ilishakarabatiwa, tena ilikua ktk mpango wa kwanza. 2017
Asante kwa taarifa mkuu,, nimeiona na hakika inapendeza kweli,,, zile vigae zote wametoa wameweka bati safiiii.

Memories back then
 
Kwiro boys washaikarabati...

Nafurahi sana kusikia hvo mkuu,, itabidi siku nifunge safari... maana nilisikia na mto kilombero pia kuna Daraja siku hizi..Japo nililiona kwenye TV itabidi nikashuhudie live coz those days ilikuwa changamoto sana pale
 
Nafurahi sana kusikia hvo mkuu,, itabidi siku nifunge safari... maana nilisikia na mto kilombero pia kuna Daraja siku hizi..Japo nililiona kwenye TV itabidi nikashuhudie live coz those days ilikuwa changamoto sana pale
Yeah,mto kilombero kuna daraja zuri sana, linaitwa daraja la magufuli...
 
Back
Top Bottom