Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lilitusadia sana kwenda TAMSALALori la zamani la Box 2 na karibu secondary schools zote ilikuwa ni Ford long base.
Na dada zenu wa jirani pale aka TAMSALA[emoji3059][emoji3059]Bwana mdogo unanijua? Nilikuwa Azimio pale pia...ha ha ha ha ha ha
Kwenye disco kucheza milimita au zero distance wakati wa blues na dadaz zenu!Lilitusadia sana kwenda TAMSALA
Huu Uzi mzuri[emoji120] ni wa kumbukumbu nzuri sana kwa wahusika.[emoji3581]Hello guys,
Wale wote Songea Almun tukutane tufanye jambo kwa shule yetu, tuna jambo la kufanya.
Tunaanzisha WhatsApp group yetu
View attachment 2162027
Nimekumbuka aina ya gari hiyo tulikuwa nayo pale Iyunga Technical secondary School miaka ya 96 tukianza form one tuliikuta na kuitumia. Shule za Serikali zilizokuwa na gari hizo ni Chache Sana enzi zile.
Unamjua Dickson Chiduo?Hizi shule karibia zote zilifanyiwa ukarabati...
Imekuaje hio ikasahaulika,, Shule niliyosoma miaka hio Kwiro boys nilipata taarifa imekarabatiwa inapendeza japo ni kitambo kirefu sana sijaiona...
Jengeni kwanza familia zenu,, hio shule ni jukumu la serikali... ila ikiwapendeza mkaiweke sawa tu
Kwani kaweka picha ya shule au ya gari?Siyo kwamba shule zote kongwe zilikarabatiwa; hii ilisahaulikaje; au picha ya zamani sana
Jina TAMSALA, kwa historia niliyoipata nikiwa Box 2, limetokana na ufupisho wa shule za sekondari walipotolewa wanafunzi wa kwanza wa shule hiyo ilipoanzishwa/ilipoanzisha kidato cha tano na sita. Yaani, wakati uanzishwaji huo ukifanyika, wanafunzi walitolewa kutoka shule mbalimbali ili kuletwa pale Songea Girls. Kwenye TAMSALA kuna Tabora Girls, Msalato na Loleza.Hivi hawa songea girls kwann tulkua tunawaita TAMSALA
Shule zote wametoa vigae wameweka bati siku hizi. Zinapendeza mnooo.Asante kwa taarifa mkuu,, nimeiona na hakika inapendeza kweli,,, zile vigae zote wametoa wameweka bati safiiii.
Memories back then
Mkuu wewe umetuacha na Mzee Mwingira 2007/2009.Mkuu pale nilimuacha head master Mwingira kama sijakosea... 2007 huko
Unamjua Dickson Chiduo?
Mimi nimemuacha Mzee Kusilawe RIPMkuu wewe umetuacha na Mzee Mwingira 2007/2009.