Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,831
Hacheni kugombea sadaka Hadi mnafikia kuchoma makanisaWazee wa kuvaa msuli wapo kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hacheni kugombea sadaka Hadi mnafikia kuchoma makanisaWazee wa kuvaa msuli wapo kazini
mpuuze chizi huyo!!Uamsho na Songea wapi na wapi?
Nini kimekufanya ufikirie hivyo?
Wazee wa kuvaa msuli wapo kazini
Wewe kama ni wa kike sio issue,ila kama ni wa kiume basi wazazi wako wana hasara kubwa sana.wavaa misuli na baibui tabu tu majini yamewatuma
naona umetiririka wakati hata taarifa haisemi nini chanzo ,unapata nguvu wapi ya kuandika bla bla nyingi wakati hata hujui chanzo ya mgogoroMakanisa karibu yote ni wachumia tumbo kwa jinsi moja ama nyingine.
Kusingekuwa na mishahara na madaraka ndani ya makanisa, neno uchumia tumbo lisingekuwa na nafasi. Ila makanisa ya sasa yana uhusiano na utwala wa nchi, vyeo na fedha kama mishahara. Watumishi wake watafanya kazi kwa msukumo wa aidha nadaraka, cheo au wadhifa katika nchi fedha au marupurupu mengine. Ni tofauti kabisa na kanisa katika karne mbili za mwanzo.
Hayo yanayo onekana ni stable na makubwa, stability yake imetokana na mambo hayo hapo juu.
Ukristo wa kweli umebaki na mkristo mmoja mmoja tu anae hamasishwa na imani, ila wafanyakazi kanisani wao wana hamasika na aidha fedha katika mfumo wowote uke Iwe mishahara au biashara, aidha wengine cheo na madaraka pamoja na umaarufu kuliko imani yenyewe ya kikristo.
Hii imepekejea kuwa na taasisi kubwakubwa hivi.
Kanisa la mwanzoni halikuwa taasisi yenye kumiliki mali na fedha nyingi kama ilivyo sasa. Makanisa haya yametumika kupata nguvu za kisiasa na sauti serikalini.
Achana nae huyo muimba taarabu,ameamua tu kukata kiuno hapa mwisho aje kukata shanga zake za kiunoni.Kina nani hao mkuu?
Kumbe unajua kua taarifa haikusema hata chanzo ni nini! sasa wewe unapokata mauno kutuhumu dini nyingine unakua upo timamu au ndio akili za usiku zinakusumbua?naona umetiririka wakati hata taarifa haisemi nini chanzo ,unapata nguvu wapi ya kuandika bla bla nyingi wakati hata hujui chanzo ya mgogoro
Achana nae huyo muimba taarabu,ameamua tu kukata kiuno hapa mwisho aje kukata shanga zake za kiunoni.
majamaa flani wavaa mabox vichwaniKina nani hao mkuu?
Ninakaa karibu na kanisa la kilokole, ikifika ijumaa usiku huwa ni lazima nitafute pa kwenda.Waumini wanakesha wakisali kwa nguvu na kufungulia mziki wa injili wenye sauti kubwaaa...kero
Wajameni tafadhaaaaaaali sana wenye mamlaka msaidie wafunguzi wa makanisa kwa maana ya wachungaji na wamiliki wa makanisa walau wawe na shahada ya theology tafadhaaaaaaali.
Kwa akili za kuzaliwa tu, kwanini hicho kipindi chote ambacho Uamsho ulikaa ndani miaka 8 hakukutokea ugomvi wa sadaka hadi makanisa yachomwe ije itokee leo hii?wavaa misuli na baibui tabu tu majini yamewatuma
Mnataka kuwaangushia jumba bovu, labda mseme nikwa namna ipi ni Hao tu sio wengine.Nina mashaka na wazee wa uamsho. Tulishayasahau haya mambo