Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Kifupi kama umetokea dar huko kwingine kote ni vijijini mwaka Jana nilienda Mbeya Dec nikiamni nitaenjoy aisee nilichoka anyway kitu pekee nilifurahia ni upishi mzuri sana wa kitimoto nje ya hapo hakuna kitu
Hapo umenene,nilivyokuwa naisikia mbeya[emoji23]

Nilijuaga ni bonge la jiji,kumbe ni itupolo tu.
 
Kwa ruvuma mji uliochangamka kidogo ni mbinga. Sio tunduru, songea ama namtumbo. Mbinga inakuwa kwa kasi sana ukifananisha na hiyo miji mingine
Wanaishiaga songea hao,mbinga hawaijui,

Waambie waje mbinga to mbamba bay wajionee,,

Wachaga/wahaya wanavyofanya maajabu,
 
Mbamba bay ndiyo kuna unafuu , hata sehemu za kutoka zipo huku ukipunga upepo ziwa Nyasa.
 
Shida hamna muingiliano wa watu yan wapo wangoni na makabila mengine ya huko ila serikali ingejenga vyuo hata vitatu pangekuwa na watu mbali mbali na mzunguko ungekuwa mkubwa na maendeleo ila itabaki hiv hivo mpka nyerere arudi viongozi wanawaza matumbo kama ilivo wilaya ya Namtumbo hovyo kabsa
Eti hakuna muingiliano wa watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbona mnachekesha sana[emoji23]
 
Kutokea Dar.
Ni kweli, ila kuna Kigoma Mara, Kagera na hata mwanza, ukikaa kwenye basi mpaka unachoka milo yote mitatu unakula safari, ila huko kwa watani zangu, ni milo miwili tu safarini.
 
Watu wa Dar bana,mnavyoina songea binafsi na mie ninavyoiona hii mikoa ilivyo haina maajabu

Dar. Kuchafu jiji linanuka kuna kila aina ya uchafu,

Mbeya ni kakijiji kalikochangamka kapo varangati,
 
Watu wa Dar bana,mnavyoina songea binafsi na mie ninavyoiona hii mikoa ilivyo haina maajabu

Dar. Kuchafu jiji linanuka kuna kila aina ya uchafu,

Mbeya ni kakijiji kalikochangamka kapo varangati,
Unachokitafuta utakipata
Tunaongelea songea, Ruvuma, sio dar Wala Mbeya! Bora ungeongelea .... Au basi
 
Hivi ni kweli kuna Mtanzania aliesoma Shule hata ya msingi tu, tena ndani ulimwengu wa Smart Phone hajui kuandi kwa usahihi jina la kila mkoa Tanzania. ingekua kutamka sishangai maana kuna makabila kutamka baadhi ya herufi ni ngumu kutokana kiluga chao. Eti N'twara ha ha.
Mmakonde chi ntu,Apo Ni mmakonde sio mtu
 
Kuachana na maendeleo ya vitu ,Ila songea wanafaidi vyakula,unaenda kula mahala wali kuku ,unaletewa bongemsosii mzito ,Tena kuku wakienyeji karibu nusu ,kwa buku jero tu
 
Kifupi kama umetokea dar huko kwingine kote ni vijijini mwaka Jana nilienda Mbeya Dec nikiamni nitaenjoy aisee nilichoka anyway kitu pekee nilifurahia ni upishi mzuri sana wa kitimoto nje ya hapo hakuna kitu
Kwan huko dar kwanzia magomeni ,manzese,mabibo,tandale,mbulahati,kigogo,temeke,kigamboni,mbagala,gongo la mboto,
Kuna mipango miji au unaongea Ili uonekane naww unachangia mada
 
Lakin mbona NBS inautaja kuwa top five ya mikoa tajiri nchini kwa GDP kuzidi mikoa maarufu kama Kilimanjaro, kagera nk

NBS inataja mkoa wa Ruvuma kama mkoa wa nane nchini kwa maisha bora[emoji23] sasa sijui wanatumia vigezo vip

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Daaaa elim n kitu Cha msingi sana
Kwaiyo ww unazan GDP ndo kipimo perfect chakupima standard of living mungu akusaidie maaana unasafali ndefu sana mpaka uje kufika
 
Back
Top Bottom