Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bana shehatiBora ya kuwa na wazee na wamama,kuliko ya kuwa na madada yansyojiuza.
Mtuache[emoji108],Sawa bana shehati
Itakuwa walimaanisha kwa uchawi.Ruvuma imeizidi kilimanjaro ?
kwa umaskini au ?
Dah 🤣🤣🤣🤣2025 songea na wilaya zote huku
Kura zote kwa ccm[emoji123],
Muendelee kukandamizwa huko mikoani kwenu,
Tunahakikisha unga mtanunua kilo sh,5000 na maharage kilo sh,8000
Hatunaga stress,tumeridhika na songea yetu.
Speaking from Experience..2025 songea na wilaya zote huku
Kura zote kwa ccm[emoji123],
Muendelee kukandamizwa huko mikoani kwenu,
Tunahakikisha unga mtanunua kilo sh,5000 na maharage kilo sh,8000
Hatunaga stress,tumeridhika na songea yetu.
tunawacha na ngunja lenuMtuache[emoji108],
Haujanielewa,,songea/mbinga mahindi kama yote,kwanza huku ukipima unga unaonekana ni mwenye maisha magumu,Speaking from Experience..
Nani kakudanganya mkoa wa Ruvuma unga ni tatizo? Kwa Mkoa wa Ruvuma tatizo la unga labda ni kwa wilaya ya Tunduru ila Songea, Namtumbo, Nyasa na Mbinga maduka yanayouza unga ni ya kutafuta.
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mnacheka[emoji23]Dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ewaaaaah mtuache,maana hatutegemei chochote kutoka mikoani mwenu[emoji108]tunawacha na ngunja lenu
MTU kaishia bombambili hata luhuwiko msamala,mfaranyaki hapajui, anakuja kushupaza shingo hapa,songea haiendelei,,,,sijui watu wajenge kwenye lami??Songea Mjini ukitaka upate refreshment utembee mida ya jioni uwe na usafiri. Kama ulifika Bombambili ukakaa Hapo Hapo utasema mji mbaya. Piga Route kutoka Shule ya Tanga,Msamala,Bombambili,Matarawe,Mjini,SeedFarm, Ruhuwiko
bombambili dah homso tamsala duh acheni tu.Mnacheka[emoji23]
Ulikichafua[emoji41]bombambili dah homso tamsala duh acheni tu.
nina historia na huo mkoa (wilaya)
Songea Mjini pametanuka sana tofauti na Zamani, Makaa ya Mawe Kitai yametoa ajira na magari makubwa mengi yanapita njia ya Njombe na Tunduru raia wameanza kujiongeza Kwa kuweka Parking za kulaza magari na Lodge njianiMTU kaishia bombambili hata luhuwiko msamala,mfaranyaki hapajui, anakuja kushupaza shingo hapa,songea haiendelei,,,,sijui watu wajenge kwenye lami??
Wanasubiri maendeleo yaletwe na serikali wakati serikali inawaza TOZO.Pa kisenge kinoma, watu wa kule kila sku kulalamika serikali imewatenga
Bado unasema hakuna mabafiriko???Boda boda zipo nyingi sana hapa mjini tofauti na wakati huo nilipoondoka, sijajua watu wanatembea kwa umakini kiasi gani maana boda boda na watu ni kama idadi sawa au ngoma droo hapa mjini.