Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Unaenda Lindi? Bora ughairi.

Mi ndio nipo hapa same kama wewe nimekuja kuzurura. Aisee. Nilikua nimejiandaa kwamba Lindi pakiwaki ila nimekuta pakiwaki zaidi tena na tena.

Nilipanga nikae 2 days niende N'twara sahivi nipo kwenye gari nasepa. Ngoja nikaone iyo Mtwara na Masasi.

Tukirudi kwenye mada: Songea tatizo ipo mbali na kila mkoa aisee. Imejitenga kinoma. Imagine Songea to Njombe.
Lindi sijafiķa ila ndugu zangu wanasema mji umepoa mno
 
Kwan huko dar kwanzia magomeni ,manzese,mabibo,tandale,mbulahati,kigogo,temeke,kigamboni,mbagala,gongo la mboto,
Kuna mipango miji au unaongea Ili uonekane naww unachangia mada
Kwanza 80% ya watu wa Dar wanaishi huko kwenye uswazi na Kuna Nuka..

Moja ya Jiji la hovyo siwezi kuishi ni Dar.
 
2025 songea na wilaya zote huku

Kura zote kwa ccm[emoji123],


Muendelee kukandamizwa huko mikoani kwenu,

Tunahakikisha unga mtanunua kilo sh,5000 na maharage kilo sh,8000

Hatunaga stress,tumeridhika na songea yetu.
Huwa nasikia raha Sana nikiona wale Boko Boko wa Dar wakilalamika 😜😜..

Tozo wanalalamika,
Chakula wanalalamika,
Stand na mwendokasi wanalalamika,

Yaani kila kitu wanalalamika 😆😆

Hayo makuku ya kisasa ni shida..yamesongamana kwenye vichumba utadhani wako zizini 😁😁
 
Sasa ushasema wasomi..halafu wasomi hao washamba[emoji23]
Mbona unajichanganya mwenyew...

Mtu aliyesoma si atakuwa anajua vitu vingi kuliko hasiye...sasa atakuwaje mshamba..

Una chuki zako wala huna hoja
Unajua maana ya ushamba wewe? Unadhani kusoma kunaondoa ushamba? Watu wa huko bukoba na kanda ya ziwa kwa ujumla muna ushamba Tena ule wa asili Yani hamubadiliki kabisa. Hata muende wapi mutajulikana tu akina nshomile ..kwenu hamupaendelezi eti munasubiri serikali ..ujuaji mwingi na kujiona ninyi Ni Bora kumbe Ni ushamba tu umewajaa ..dada zetu wamepewa Hadi mtaa apo dar kisa umalaya. Hamuna jipya ninyi ndio maana umasikini umewajaa ..Mimi Sina chuki na wahaya Ila huo ushamba wenu ndio unawacost.
 
Ni mpango wa CCM Kagera ikanyagiwe chini isiendelee. Tangu uhuru mpaka leo ni kahawa ya Kagera tu inayoitwa magendo pale mkulima anapouza kwa wafanyabiashara wa Uganda wenye bei nzuri. Sehemu nyingine magendo ni bidhaa zinazoingizwa nchini kinyemela.
Tetemeko likapiga, wahisani wakatoa mamilioni kufidia wahanga CCM ikawachinjia baharini. Mambo ni mengi ila kila mtu sasa hivi anafurahi kusikia Kagera ni masikini.
Wakati mwingine munaeza ilaumu serikali Ila wahaya wenyewe hawapataki kwao ..wasomi wahaya hawajafanya cha maana uko bukoba. Sana Sana akijitahidi atajengaa kinyumba kimoja kijijini. Maendeleo kwa ujumla yanaanza na nyie wenyeji then serikali inafuata. Kuhusu tetemeko hayo Ni majanga ya asili japo serikali ukifanya unyama Sana kuwaacha wahanga bila chochote.
 
Weka Picha na Majina ya hao Mawaziri,
Piga picha na Nyumba zao za huko kijijini ututumie
 
Wakati mwingine munaeza ilaumu serikali Ila wahaya wenyewe hawapataki kwao ..wasomi wahaya hawajafanya cha maana uko bukoba. Sana Sana akijitahidi atajengaa kinyumba kimoja kijijini. Maendeleo kwa ujumla yanaanza na nyie wenyeji then serikali inafuata. Kuhusu tetemeko hayo Ni majanga ya asili japo serikali ukifanya unyama Sana kuwaacha wahanga bila chochote.
Sina uhakika kama unapajua vizuri Kagera. Hata tukifanya bado mkuu wa mkoa anatoa matusi, Kinana akifika anajifanya kumsifia. Angalia hii kazi
Screenshot_20220904-212447.png
 
Unajua maana ya ushamba wewe? Unadhani kusoma kunaondoa ushamba? Watu wa huko bukoba na kanda ya ziwa kwa ujumla muna ushamba Tena ule wa asili Yani hamubadiliki kabisa. Hata muende wapi mutajulikana tu akina nshomile ..kwenu hamupaendelezi eti munasubiri serikali ..ujuaji mwingi na kujiona ninyi Ni Bora kumbe Ni ushamba tu umewajaa ..dada zetu wamepewa Hadi mtaa apo dar kisa umalaya. Hamuna jipya ninyi ndio maana umasikini umewajaa ..Mimi Sina chuki na wahaya Ila huo ushamba wenu ndio unawacost.
Sioni hoja hapa zaidi ya mihemuko tu...au ushavuta bangi ya chuga tayari...

So ushamba unauondoaje kama hupati ya exposure ya kujua vitu mbalimbali...
Hujui kuwa kusoma unapata exposure ambayo ndo inaondoa ushamba?...

Huoni kama wewe ndo limbukeni na mshamba kwa kuacha asili yako na kukumbatia za wenzako??


We jamaa rudi kushabikia mpira tu..mambo ya kutumia akili kufikiria huyawezi.
 
Wangoni wanafiki na wabinafsi. Wengi wakishika hela hawakai Kunyumba
 
Huwa nasikia raha Sana nikiona wale Boko Boko wa Dar wakilalamika [emoji12][emoji12]..

Tozo wanalalamika,
Chakula wanalalamika,
Stand na mwendokasi wanalalamika,

Yaani kila kitu wanalalamika [emoji38][emoji38]

Hayo makuku ya kisasa ni shida..yamesongamana kwenye vichumba utadhani wako zizini [emoji16][emoji16]
Yaani wanateseka balaa[emoji23][emoji23]
 
Huwa nasikia raha Sana nikiona wale Boko Boko wa Dar wakilalamika [emoji12][emoji12]..

Tozo wanalalamika,
Chakula wanalalamika,
Stand na mwendokasi wanalalamika,

Yaani kila kitu wanalalamika [emoji38][emoji38]

Hayo makuku ya kisasa ni shida..yamesongamana kwenye vichumba utadhani wako zizini [emoji16][emoji16]
Kwetu burudani[emoji23]
 
Unaenda Lindi? Bora ughairi.

Mi ndio nipo hapa same kama wewe nimekuja kuzurura. Aisee. Nilikua nimejiandaa kwamba Lindi pakiwaki ila nimekuta pakiwaki zaidi tena na tena.

Nilipanga nikae 2 days niende N'twara sahivi nipo kwenye gari nasepa. Ngoja nikaone iyo Mtwara na Masasi.

Tukirudi kwenye mada: Songea tatizo ipo mbali na kila mkoa aisee. Imejitenga kinoma. Imagine Songea to Njombe.
Wewe umepotea Lindi amazing hujapajulia tu sehemu za Bata zimetengwa kabisa. Na vybez mziki ruksa mpaka saa10 alfajiri, Mji wa starehe ndio huo, Shimo la Africa Hilo, Nenda contena la sababa ukapate jeans mtumba Kali grade nzuri opposite na kabla kidogo ya soko la mboga mboga
 
Songea pabovu sana zimejaa Yebo tu (bodaboda) K-vant sio haba ukitaka anytime hadi madanguro ya K-vant kama yote, Bora nikale Bata Mbamba bay, partly Mbinga japo Huo mkoa K- can't tu ndio kitu Cha maana sana
 
Mawaziri wa type ya Jenista Mhagama? wanajua kujaza matumbo yao na kusifia ili kulinda nafasi zao.
Muhagama ana jipya gani zaidi ya kutetea serikali?
Mbona kila baraza yupo na hana manufaa yoyote kwa taifa?
 
Back
Top Bottom