Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Mbona unazidi kumzalisha sehemu nyingi kuliko huyo unayemuabudu Kama mungu aliyekamatwa kichakani akiwa na kijana aliyeiweka chupi kichwani ?Je mwinyi ni raisi wa nani kati yangu mimi na wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unazidi kumzalisha sehemu nyingi kuliko huyo unayemuabudu Kama mungu aliyekamatwa kichakani akiwa na kijana aliyeiweka chupi kichwani ?Je mwinyi ni raisi wa nani kati yangu mimi na wewe?
Mbona unazidi kumzalisha sehemu nyingi kuliko huyo unayemuabudu Kama mungu aliyekamatwa kichakani akiwa na kijana aliyeiweka chupi kichwani ?Je mwinyi ni raisi wa nani kati yangu mimi na wewe?
Mungu ninaemuabudu mimi ni aliziumba mbingu na nchi na bro Muhammad anamjuaMbona unazidi kumzalisha sehemu nyingi kuliko huyo unayemuabudu Kama mungu aliyekamatwa kichakani akiwa na kijana aliyeiweka chupi kichwani ?
Alishikwa kichakani akiwa na kijana uchiMungu ninaemuabudu mimi ni aliziumba mbingu na nchi na bro Muhammad anamjua
Sijawahi hata siku moja kukusikia unawakemea Magaidi wa Kislamu,CCM na propaganda zenu mnakimbia Katiba mpya. Tokea lini gaidi kufungwa miaka 6?
Sijawahi hata siku moja kukusikia unawakemea Magaidi wa Kislamu,
We ni kuwatetea tu.
Unahisa nao nini.
Hatujakataaa ila bado hii case hai make sense, kutokana na ukubwa wake, unadhan kupindua serikali ni jambo rahisi? Afu soma maelezo yake. Utajua watu kwann wanaona bado haipo clear.
Sent using Jamii Forums mobile app
unapanga kupindua bila ya jeshi? Ajabu ilioje.
Siyo kama hawana makosa, lakini hiyo tena kidogo chumvi imezidi
Dini zote mbaya, ulevi wake unaleta matendo ya ajabu sana.Kupindua serikali hasa kwa mikakati ya kidini sio jambo rahisi ila watu wakilewa ulevi wa dini chakari wanaweza kuota ndoto na kufanya mambo ya ajabu sana.
Wasabato masalia walikita kambi karibu na uwanja wa ndege wa wakiamini watasafiri kwenda nje ya nchi bila passport au visa.
Imefanyika uko kwemu songeaHii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.
Duuuuuh hatareeee.
Nenda Tunduru mpakani mwa Msumbiji, wapo huko hao unaosema wamepitwa naHata Mbowe aliambiwa gaidi baada watu kuiba kura
Leteni katiba mpya hadithi Za kiagidi zimepitwa na wakati
Dini zote mbaya, ulevi wake unaleta matendo ya ajabu sana.
Walokole watakanyaga mafuta.
Waislam wanajilipua au kuua watu.
Mnakimbia Katiba nilikwenda huko Hao vijana wanataka demokrasia ya kweli nyinyi mnawapiga na kuwabambikizia kesi. Wekeni katiba mpya msilete upuuziNenda Tunduru mpakani mwa Msumbiji, wapo huko hao unaosema wamepitwa na
wakati.
Usitake kutuzuga kwenye Katiba huku mnataka kuchukua nchi kinguvu.
Ngoja tuwashughurikie kwanza mkiacha huo upuuzi wenu, tutaendelea na Mchakato wa Katiba.
Ndiyo wahaini wakafungwa miaka 6 , ?hikumu mkristo ,mawakili wa serikali wote wakristo .tuseme wote ALLAH AKBAR
Umeme ambao mnatumia bure..bili ya umeme inawashinda kulipa mpaka msubiri msamaha wa rais.Hangaikeni na maji na umeme kwanza,
Kati ya nchi zinazoidai Tz waajemi ndio wanadeni kubwa wanalotudai.Nani anadaiwa, Tz au Waajemi?
Kamuulize Samiakwa hiyo mbowe alianza taratibu mbona kaachiwa na alikutwa hana kesi ya kujibu
Polisi hawakoseiUshahidi wao magaidi ni upi ukute walikutwa wanasoma Quran kwa masjidi
Umeme ambao mnatumia bure..bili ya umeme inawashinda kulipa mpaka msubiri msamaha wa rais.
Ally kessy alisema hicho kisiwa ukipulizaa filimbi wote wanatoka ndani.
#MaendeleoHayanaChama