Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Polisi hawakosei
Fika Kibiti utaelewa
Acha tu..jamaa kituo chao kilikua moja ya misikiti hapo ikwiriri ndio walikua wakipata mafunzo na kuhifadhi silaha.

Ila walipoteza aseee..sahivi hali shwari na watu bado wapo kazini..hii nchi inalindwa asee.

Hao wapuuzi ukiwachekea wanajijenga wanapata nguvu na ufadhiri mwisho wasikua wanakua tatizo..hao niwakuwamaliza kimya kimya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kumbe jihad ni ugaid?
Mie nilikua sijui.
Kuna mtu alinidanganya nilipokuwa mdogo kwamba jihad ni vita takatifu ya kumpigania mungu.
 
Kumbe jihad ni ugaid?
Mie nilikua sijui.
Kuna mtu alinidanganya nilipokuwa mdogo kwamba jihad ni vita takatifu ya kumpigania mungu.

Hata kuiba kura ni ugaidi mkubwa
 
Chuki yako dhidi ya waislam ni dhahiri,pole Sana kijana,mpaka uingie kaburini kafiri wewe moyo utakua umechakaa Sana kwa chuki
 
Chuki yako dhidi ya waislam ni dhahiri,pole Sana kijana,mpaka uingie kaburini kafiri wewe moyo utakua umechakaa Sana kwa chuki
Kwani wewe hutaingia kaburini...acheni ugaidi hii dunia ni yetu sote tuishi kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sema nn wangekinukisha tu kwaNza maana nchi hii raia hatuthaminiwi kabSa

Kinukishe ndani ya familia yenu. Uko hapa unaandika Ni kwa kuwa kuna Wanaume na wanawake wanafanya kazi. Hapa tulipo bado tunakula na kinywa hata kama ni Ulanzi. Vita na fujo haviwezi kutupa hali hiyo. So hamia Somalia mkuu.
 
Mnakimbia Katiba nilikwenda huko Hao vijana wanataka demokrasia ya kweli nyinyi mnawapiga na kuwabambikizia kesi. Wekeni katiba mpya msilete upuuzi
Waambie Waunde chama cha upinzani ili wadai hiyo katiba katika mfumo sahihi.
Katiba haidaiwi msituni kwa Ufadhiri wa Nchi za Kiarabu ambazo wana wauwa watu kila siku kwa kudai haki zao.

Haki ya Katiba wangeruhusu IRAN kwanza.
Wafadhiri wakubwa wa UGAIDI.

Mwezi wa kwanza narudi Jeshini, na nataka niende kwenye kitengo cha Ugaidi.
Nitawachinja hadi wanye
 
Eeeeeh WATALEBAN Tena!yaani hiyo serikali yao Ni amri moja
 
Ulitaka kila jambo uletewe habari hapo kwenye kijiwe chako cha kahawa?

#MaendeleoHayanaChama
sasa habari kubwa kama hizo zinaendaje kimya kimya kama sio hila za makafir?

kama ni hivo wangewahukumu kimya kimya hivo hivo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…