Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Mungu hashikwi bibie,Mungu ni roho
 
watu sita wanapindua nchii?akili yamikiristo bhana imejaa matopetuuu.
 
Jibu hapa kwanza , Mimi nilitangulia kukuuliza

kwa hivyo maandiko yanasema Yesu ni nani ?
Jibu hapa kwanza , Mimi nilitangulia kukuuliza

kwa hivyo maandiko yanasema Yesu ni nani ?
Jibu hapa kwanza , Mimi nilitangulia kukuuliza

kwa hivyo maandiko yanasema Yesu ni nani ?
Mimi ndie nilianza kukuuliza kuwa je mwinyi ni raisi wa nani kati yangu mimi na wewe?
 
unapanga kupindua bila ya jeshi? Ajabu ilioje.

Siyo kama hawana makosa, lakini hiyo tena kidogo chumvi imezidi
Fanya hivi utakuja kunishukuru baadae.
Hapo nyumbani kwako, tafuta vijana kama 5 tu. Waambie unataka kupindua nchi, wape hela halafu fanya vikao 3 vinavyohusu kupindua nchi. Mdokeze jirani mbea mbea hivi akawambie polisi unafanya kikao cha kupindua nchi.
Kama haujafungwa mpaka uchakae na ndugu zako watakusahau. Fanya hivyo halafu ulete mrejesho si unasema mpaka jeshi.
Kitendo cha kukaa kikao na kupanga machafuko au kuanzisha jambo lolote ambalo litaleta uvunjifu wa amani ni kosa kishera na lazima uwajibishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…