Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Wangefungwa hata maisha hao wapuuzi,wamelishwa akili za kipuuzi ili wapindue nchi halafu waifanye ya kiislamu ili iweje?hii iwe fundisho
 
Takbiir
Yale matukio ya kuvamia vituo vya polisi, Yale matukio kule amboni tanga, Yale matukio ya kibiti, na Sasa yale matukio ya msumbiji na mtwara yote hayo wala sio kweli? Bado unaamini watu waliofanya yale matukio wanasingiziwa?

Kwa nn wavaa kobazi mnajitoa sana akili?
 
Mnatuvuruga sasa jama. Kule juu mwenzio kasema miaka 50 wewe unasema 30
 
LIST OF OFFENCES:
1.Conspiracy to commit treason.
2. Terrorism through compulsion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…