Songea: Umati mkubwa sana (haujawahi tokea) katika mkutano wa MWAMPOSA , huyu ni nabii haswa

Lofa ULIETUKUKA WEWE, kwahiyo nchi nzima hii mikutano ya dini wewe unaiona ikiwa SONGEA pekee? Pumbavu wahed!
Nilitoa maoni yangu kuhusu hiyo hoja. Nasikitishwa na maneno pia matusi uliyonitukana. Kama nilivyo lofà sina cha kukulipa kwa hayo. Asante.
 
Wiki hii alhamisi yuko Dodoma..watu wa DOM kaeni mkao wakula.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maigizo tu hapo na umbumbumbu. Nikija kwako nikakuta umeweka chaneli inamuonyesha huyu single boy msela, mjasiriamali wa mbeya naondoka!
 
Sio ujinga.
Ni vile Kila mtu ana maamuzi yake, inawezekana ww ukawa unapenda kwenda kwa mganga, au kwenda kutambika mizimu, au kwenda kwa shekhe, je huo ni ujinga?
 
Maigizo tu hapo na umbumbumbu. Nikija kwako nikakuta umeweka chaneli inamuonyesha huyu single boy msela, mjasiriamali wa mbeya naondoka!
Wivu wa kike huo..get a job.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na Lowasa Yale mafuriko yake alikuwa anauelekea unabii. Endeleeni kutafuta muujiza hivyohivyo
 
Kwahiyo huyo mwamposa mtumishi wa 'mungu' ndo anakufundisha kuita watu mbwa na ngiri?

Hizi dini za ajabu bora niendelee kuitwa mpagani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…