Go go go mtumish wa MUNGU mpk mafuga majini ya masjid na mapagan ya humu watokwe povu humu kama lote. Na wale wafata vidhehebu wanaokalilishwa hakuna mitume na manabii huku wanapngana na biblia inayosema wapo hzo ni karama kama ualimu, kunena kwa lugha, uchungaji nk. Mafuta na maji hata jiwe hata kikombe hata ardhi vina nafsi ulimwengu wa roho ukiwa na iman ukivitamkia ktu vitafanya na itakuwa liwe jema au baya ajabu machawi na maganga yanajua siri hz na yanaztumia kutesa watu ardhi ya shamba lako inatamkiwa kutokuzaa na kamwe hata upande nn huvuni. Adam mwnyw hakulaaniwa yeye ila ardhi tu ilitamkiwa na MUNGU KHS ADAM NAYO IKASKIA. Mbwa mlioko humu toen povu sasa wengne machawi mnaona MUNGU ANAMTUMIA mwamposa anaharibu michoro yenu. MNAUMIA NGIRI NYIE.