Songea: Waumini wachoma Kanisa kwa hasira baada ya Padre kukataa kwenda kumzika muumini

Songea: Waumini wachoma Kanisa kwa hasira baada ya Padre kukataa kwenda kumzika muumini

Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Unataka raia zikachome moto kiota cha huyu?👇🐒
IMG_20211119_221014.jpg
 
Kuna baadhi ya watu huku vijijin wanajuaga nyumba ya padri n kanisan
 
Duh ni hatari
Noma sana , itakuwa marehemu alikua hatoi sadaka,, sasa nduguzanguni waumini kama hamtoi sadaka mnataka mapadri wafe njaa?,
Padri yuko sahihi kugoma kumzika huyo jamaa
 
-kuchoma kanisa ni kosa
-kutegemea marehemu aombewe ndio wamzike pia ni kosa.wangeenda kuzika tu.
-wapo watakatifu maelfu waliokufa miili yao ilikatwa vipande kuchomwa moto,kutoswa majini,kuliwa na Simba,samaki baharini na hawakupata maziko Wala kuombewa lakini watafika mbinguni.
 
Mapadre wa siku hizi ni mabingwa wa nyodo na lugha za kuudhi kwa waumini wao.

Wangemchoma Padre mwenyewe kuweka kumbukumbu sawa.

Si ajabu aliwaambia," Kafukieni tu huo mzoga wenu".
 
Habari wakuu,,
Ishu iko ivi kuna mdada kafariki na alikua ni mkristo safi anahudhuria jumuiya fresh,, na michango mingi kamaliza sasa alipofariki kuna jamaa kwenye jumuiya yao kaenda kwa padre ambae ni mhagama na kusema kwamba yule hakua mkristo safi na wala alikua hatoi michango mtu yule ametoa taarifa mbovu kwa Padre na Padre moja kwa moja bila kuangalia ushahidi wowote akakaza kuendesha misa ya mazishi na utaratibu mwingine wa mazishi ya kikristu kwaiy wadau wamezika na wakaludi kanisani na hawajachoma kanisa bali wameziba milango ya kanisa kwa magogo.
Bora walivyoziba kwa magogo, maana Kama wangechoma kesi yake ingekua kubwa sana na adhabu yake huwa ni kifungo Cha maisha jela
 
Maparoko wanajiona wajukuu wa mungu, waendelee kushikishwa adabu na huku kitaa.

Mwaka jana kuna padre tulimdaka na dem wa mshikaji tukacharaza bakora na kumrekodi kwa simu yake. Na alitoa muamala wa milioni mbili kiulaini sana.
Sadaka zako mwenyewe
 
Kama huwezi kaa Roman Catholic hama kakanyage mafuta hukoo. RC ni shina so lina misingi haswa sio kama vidhehebu bushuti. Hao wajinga wa kingoni okota moja moja funga 20 years
 
Katoliki wana tabia ya kukataa kuzika muumini kwa sababu mbalimbali kama vile huyo muumini kutohudhuria shughuli za ibada zao kwa muda mrefu. Vurugu huibuka muongoza ibada anapositisha kuendelea na ibada ya mazishi. Marehemu hubidi azikwe kwa utaratibu wanaona waombolezaji unafaa kama kumwimbia nyimbo za msiba na kuweka mashada kiholela bila kufuata itifaki. Pia kumezuka tabia ya dini au dhehebu fulani kubeba jukumu la ibada ya mazishi kwa marehemu aliyesuswa na dini au dhehebu lake
 
Jamaa badala kumuadabisha padre wameenda kuchoma kanisa
Mapadri huko walipo wanakenua meno tu kwa dharau maana michango itaanza j2 ijayo na mpaka likamilike sio leo 😄😄😄
 
Bora walivyoziba kwa magogo, maana Kama wangechoma kesi yake ingekua kubwa sana na adhabu yake huwa ni kifungo Cha maisha jela
Nd ivyo ni kesi kubwa ila vijana wa pale nawafahamu vizuri nahisi hawawezi kuchoma kanisa tena la RC na inawezekana hata fujo zile zimechangiwa sana na vijana toka sehem nyingine walioenda pale kwaajili ya mazishi ila kule mpitimbi wanaheshimu sana hili kanisa na wanakijiji wengi ni RC
 
Kama huwezi kaa Roman Catholic hama kakanyage mafuta hukoo. RC ni shina so lina misingi haswa sio kama vidhehebu bushuti. Hao wajinga wa kingoni okota moja moja funga 20 years
Mkuu watake radhi wangoni pale kuna ishu zaidi ya uo utaratibu wa RC na sio kwamba aliefariki pale alikua haudhulii kanisan na michang alkua hatoi lahasha bali ni fitina za chini chini zilitembea na nd maana hadi wadau wamepanic kiasi icho
 
Pamoja na yote ....hao waumini wamekosea sana kupeleka hasira yao sehemu isiyohusika......
 
Back
Top Bottom