Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaha mkuu nimeishi hapo mpitimbi way back end za huyo katibu kata aliitwa KUZAMAJUA mwamba alikuwa mbabe haswaa
Asiee kumbeee..ndiyo wakaamua wamtungie kisong Cha kumnyima bia!!!😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaha mkuu nimeishi hapo mpitimbi way back end za huyo katibu kata aliitwa KUZAMAJUA mwamba alikuwa mbabe haswaa
😀 😀 Watakuwa magaidi wa saccos hawa.Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Ndiko tunakoelekea. Uvumilivu una kikomo kwa kiumbe yeyote aliye hai.Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Sawa sawa Mkuu ile nd mitaa yangu,,, mi nimeishi mpitimbi "B", kule makaburini kwa mbele karibu na shule ya sekondari.Ok nilidhan upo kule nimeishi pale mkuu napafahamu Sana
Nimekaa mtaa wa madukan jiran na ghala la ushirika
Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Pole pole tutaelewana, Mapadre wengi wamejipa cheo cha Yesu cha kuhukumuKhe! Wakatolik tumefika huku
Wapo tayari kuchanga ila ujumbe umewafikia mapadri waache ubaguzi, mtu kushindwa au kutoa sadaka ndogo si kigezo cha kudharauliwa!Dah ila sisi wakristo tuna vitu vya ajabu sana japo Padre kakosea lakini Kanisa ni nyumba ya ibada sio mali ya padre wao wangemshughulikia tu Padre kama Padre maana hapa naona michango ya kukarabati kanisa Jumapili ijayo lazima ianze.
Huo wimbo unaitwa je ? Unaweza ukanitumia ndugu yangu naupenda sanaNimekumbuka kawimbo fulani..wanaimba "katibu kata kumpitimbi wamnyimi bia ..genda na hella"🤣🤣
Kumbe ndio hapo mpitimbi
🤣🤣🤣Ni ujinga tu, eti wanaamini marehemu ataenda mbinguni[emoji23][emoji23][emoji134]
Hakuna faida yoyote kwa Padre au Shekhe kumzika marehemu.Sindio tunavofundiswa kwamba lazima wao washiriki
Nani ka kwambia, hilo ndio chaka lenyewe linalotumika kumficha Chatu, lazima lipigwe 🔥Jengo la Ibada halina kosa, silo lililokataa kwenda kuzika.
Kwamba wote hao kina mama na baba wawe wahuni na padri pekee ndio sio mhuni? Sio kweli! Mapadre ndio wahuni.Hao si waumini ni WAHUNI
Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Sababu inaweza kuwa ni hiyo tu , hakuna kingine , hii ishu inatambaa sana , Rc wamekuwa harsh sana kwa waumini wao linapotokea swala la kifo na sala za mwisho. Ni kama vile hua wanamsubiri marehemu ili wamkomoe .Hata mimi nimeshangaa sana wangoni kuchukua uamzi huu..lazima huyo padre atakuwa amewakwaza sana ..na nadhan sababu si tu kwamba atakuwa amegoma kuendesha misa ya maziko vali kutakiwa na sababu zingine
Hakuna faida yoyote kwa Padre au Shekhe kumzika marehemu.