Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Inahitajika Elimu ya Uraia kama aliyokuwa anaitoa Lissu Wakati ule wa Kampeni ya 2020 Watanzania kuweza kibadilika.There you are
Ila itahitajika miaka mingi zaidi kuweza kufikia huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahitajika Elimu ya Uraia kama aliyokuwa anaitoa Lissu Wakati ule wa Kampeni ya 2020 Watanzania kuweza kibadilika.There you are
Ili aje alete madhara zaidi? Haachiwi, atapelekwa taasisi akatibiwe na huchukua mda kupona.Huyo watamuachia siku si nyingi inaonekana ni Mirembe case
Hawa wapuuzi siwapendi hata kidogo samahani kwa lugha yangu kaliLazaro Adamsom mwenye miaka 40 mkazi wa Songwe, anatuhumiwa kumuua Berta Shugha mwenye miaka 69, kisha kuukata kata mwili wake na kuuchoma kama mishkaki, kisha kuila.
My Take: Tunapoelekea panatisha sana.
----
Mkuu wa wilaya hiyo Simon Simalenga amesema mtuhumiwa alidai kwamba alimuua mwanamke huyo kwa kumpiga panga kisogoni na katikati ya kichwa na kwamba alipopoteza maisha ndipo akaanza kumkata kata.
"Alisema baada ya kumuua alimkata nyayo za miguu yote, akatoa utumbo na kuukamulia kwenye beseni na yeye anadai kuwa alianza kula kwa vile alikuwa na hamu ya nyama," amesema DC Simalenga.
Aidha awali baadhi ya viungo vya marehemu havikujulikana vilipo na baadaye vilipatikana "Baadhi ya viungo ambavyo vilikuwa havionekani kama vile mapaja, hatimaye Askari wetu wa Jeshi la Polisi wamevipata vikiwa vimefichwa katika shimo la choo ambacho kilikuwa hakitumiki, viungo hivyo vimepatikana vikiwa vimechomwa na katika hali ya kushangaza mtuhumiwa alianza kula nyama hiyo mbele ya Askari," ameongeza Simalenga.
Wakizungumzia tukio hilo ambalo limetokea usiku wa Novemba 13, 2022, Baadhi ya wakazi wa kitongoji cha Chang’ombe walisema walishtukia uwepo wa mauaji hayo baada ya kuona damu nyingi zikiwa zimezagaa kwenye nyumba ya mtuhumiwa, jambo ambalo halikuwa la kawaida.
Wandali siyo POA kbsa wanaongeaa sauti ya Chini ukadhani nimepata mtu kumbeee mijitu ya kule inaroho mbya hatari bas tuWANDALI HAO
Cannibalism imeanza , maisha magumu na njaa zimewabinda watz mpaka mmekuwa cannibals , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]Lazaro Adamsom mwenye miaka 40 mkazi wa Songwe, anatuhumiwa kumuua Berta Shugha mwenye miaka 69, kisha kuukata kata mwili wake na kuuchoma kama mishkaki, kisha kuila.
My Take: Tunapoelekea panatisha sana.
----
Mkuu wa wilaya hiyo Simon Simalenga amesema mtuhumiwa alidai kwamba alimuua mwanamke huyo kwa kumpiga panga kisogoni na katikati ya kichwa na kwamba alipopoteza maisha ndipo akaanza kumkata kata.
"Alisema baada ya kumuua alimkata nyayo za miguu yote, akatoa utumbo na kuukamulia kwenye beseni na yeye anadai kuwa alianza kula kwa vile alikuwa na hamu ya nyama," amesema DC Simalenga.
Aidha awali baadhi ya viungo vya marehemu havikujulikana vilipo na baadaye vilipatikana "Baadhi ya viungo ambavyo vilikuwa havionekani kama vile mapaja, hatimaye Askari wetu wa Jeshi la Polisi wamevipata vikiwa vimefichwa katika shimo la choo ambacho kilikuwa hakitumiki, viungo hivyo vimepatikana vikiwa vimechomwa na katika hali ya kushangaza mtuhumiwa alianza kula nyama hiyo mbele ya Askari," ameongeza Simalenga.
Wakizungumzia tukio hilo ambalo limetokea usiku wa Novemba 13, 2022, Baadhi ya wakazi wa kitongoji cha Chang’ombe walisema walishtukia uwepo wa mauaji hayo baada ya kuona damu nyingi zikiwa zimezagaa kwenye nyumba ya mtuhumiwa, jambo ambalo halikuwa la kawaida.
Kuna watafiti walisema asilimia 80 ya watz wana matatizo ya akili ,sasa wewe unategemea kuna taifa hapo au mazombie tu ,hata hao wanaoongoza hili taifa ni reflection ya jamii yenyewe ilivyo .Naona siku serikali ikiamua tupimwe afya ya akili nchi nzima, sijui kama kuna atakayebaki salama....
Mwe! milembe mazima pelekeni