Songwe: Aua kisha kuula nyama mwili wa marehemu

kuna Fala mmoja amenizingua huu ni mwezi wa pili ananipiga sound na hela zangu, nafikiri hii inaweza kuwa dawa yake, kumalizana naye na kumtafuna mishikaki tu iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia za kudhulumudhulumu..
 
H
Hawa wapuuzi siwapendi hata kidogo samahani kwa lugha yangu kali
 
Atiwe gogo kwenye tundu lake la nyuma tumechoka wahuni kama hao.
 
Cannibalism imeanza , maisha magumu na njaa zimewabinda watz mpaka mmekuwa cannibals , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Naona siku serikali ikiamua tupimwe afya ya akili nchi nzima, sijui kama kuna atakayebaki salama....
Kuna watafiti walisema asilimia 80 ya watz wana matatizo ya akili ,sasa wewe unategemea kuna taifa hapo au mazombie tu ,hata hao wanaoongoza hili taifa ni reflection ya jamii yenyewe ilivyo .
 
Kumbe inawezekana inawezekana kutakuja kutokea outbreak ya mazombie kama tuonavo kwenye movie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…