mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 15, 2022 #161 Hivi bado mmiliki wa Kilimanjaro bus ni mzee mtenga Ova
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Mar 15, 2022 #162 Marytina said: Mbona Kilimanjaro dar Arusha ana huduma nzuri sana? Click to expand... Elewa. Ushaambiwa wakinga hawataki competition sijui huduma Bora wao wanataka mauza-uza tu
Marytina said: Mbona Kilimanjaro dar Arusha ana huduma nzuri sana? Click to expand... Elewa. Ushaambiwa wakinga hawataki competition sijui huduma Bora wao wanataka mauza-uza tu
Lafacha Senior Member Joined Feb 3, 2017 Posts 195 Reaction score 275 Mar 15, 2022 #163 johnthebaptist said: Mabasi ya Kilimanjaro mabovu sana! Click to expand... ripoti ya awali ya polisi inasema basi halikua na tatizo lolote la kiufundi kabla ya safari.
johnthebaptist said: Mabasi ya Kilimanjaro mabovu sana! Click to expand... ripoti ya awali ya polisi inasema basi halikua na tatizo lolote la kiufundi kabla ya safari.
lucley JF-Expert Member Joined Jun 15, 2016 Posts 727 Reaction score 1,986 Mar 17, 2022 #164 Chengshan said: Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819 Click to expand... Hizi alinunua body kutoka kwa dar lux, akatoa engine za weichai ilizokuja nazo akaweka jiko lake la scania.
Chengshan said: Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819 Click to expand... Hizi alinunua body kutoka kwa dar lux, akatoa engine za weichai ilizokuja nazo akaweka jiko lake la scania.
mgunga pori JF-Expert Member Joined Jul 23, 2016 Posts 4,092 Reaction score 4,896 Mar 17, 2022 #165 Mshana Jr said: Una ushahidi? Kwahiyo unapingana na SUMATRA? Click to expand... Kuna LATRA sikuhizi SUMATRA ilisha tenganishwa
Mshana Jr said: Una ushahidi? Kwahiyo unapingana na SUMATRA? Click to expand... Kuna LATRA sikuhizi SUMATRA ilisha tenganishwa
Mama Debora JF-Expert Member Joined Aug 30, 2018 Posts 1,482 Reaction score 2,600 Aug 11, 2022 #166 Hata hii ajali ndio naisikia leo. Sijui nilikuaga wapi.
franktemu123 JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 1,406 Reaction score 1,475 Aug 17, 2022 #167 dudus said: Mabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi. Click to expand... Usipangie watu namna ya kuendesha biashara zao
dudus said: Mabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi. Click to expand... Usipangie watu namna ya kuendesha biashara zao