Songwe: Miaka 200 jela au faini Tsh Milioni 52 kwa makosa 60 ikiwemo kughushi nyaraka

Mahakama zetu ni za kipuuzi sana ,sasa mtu ana 40+ halafu unampiga miaka 200 , are they serious?
Unamaanisha hukumu za hivi umezisikia Tanzania tu?

Siku hizi ukitaka likes wewe iseme vibaya serikali kadri unavyotumia maneno mabovu ndivyo likes zinazidi.
 
Kuna haja ya kuwapima AKILI .hawa watoa hukumu wetu.
 
Sasa ndo miaka 200?
Sheria haiangalii miaka yako mkuu. Hata kama una miaka 100 unaweza kupigwa mvua 80 nyingine kulingana na kosa ulilotenda.

Na kuna wakati unaweza kusikia mtu kafungwa vifungo viwili au vitatu vya maisha. Ndiyo sheria hiyo na siyo upuuzi wa mahakama!
 
Sasa kuna binada anayefikisha miaka 200?.
si Bora angemwambia nakufunga kifungo cha maisha
Unamaanisha hukumu za hivi umezisikia Tanzania tu?

Siku hizi ukitaka likes wewe iseme vibaya serikali kadri unavyotumia maneno mabovu ndivyo likes zinazidi.
 
Wanaotunga sheria ndiyo haohao wezi, hawawezi kutunga sheria za kujiumiza
 
Kesi imefinguliwa Leo tarehe 7/05/2021 na hukumu imetolewa leo leo. Mashauri yote mahakamani yakiendeshwa hivi malalamiko yatapungua Sana.
 
kwahyo home apasahau
 
Huyo jamaa amefungwa miaka minne tu.
Ndio maana ameona isiwe tabu akae mahabusu miaka kibao Wakati hukumu ya juu hapo ni miaka 4.
Ikumbukwe kuwa vifungo vyote vinaenda Kwa pamoja hivyo lile kosa lenye miaka mingi ndio hukumu yake halisi.

Hata ukiambiwa Una makosa 200 na kila kosa ni miaka 5=miaka1000 kimsingi hapo naenda jela miaka chini ya mitano.
 
Asante kwa elimu nzuri
 

Hapo anatumikia miaka 4,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…