Bigawas
Senior Member
- Feb 19, 2021
- 124
- 84
Hesabu iko wazi kabisa mkuu, hawa wanaosema atatumikia miaka 4 au 3 wamefanya hesabu gani? Labda watupigie hesabu ya wazi kama ulivyoonyesha hapa ili tuelewe.3*40=120 yrs plus 4*20=80
120+80=200
Miaka 3 makosa 40
Miaka 4 makosa 20