Songwe: Raia wampiga anayedaiwa kuwa mlinzi wa JKT aliyejificha kukamata magendo

Safi sana
 
Sasa mkibana kila mahali watu watapumulia wapiiii...

Acheni watu wapumue.
Unaona Mfano JW,POLICE, Na Sehemu Nyingi Wale Viongozi Wa Juu Hutupwa Sehemu Nyingine Huko Ili Taasisi, Idara, Vitengo
Vipumue Vizuri
 
Mwenyekiti wa Kijiji anahitaji kuelimishwa namna ya kuimarisha kamati yake ya ulinzi na usalama wa Kijiji ili kupunguza magendo kukatiza eneo lake....
 
Kwa Comment hizi ndo maana Police hana Damiss kwa Raia wakikamata ni kipigo nyokoleee kwa raia.

Na Raia wakinasa nikipigo...[emoji23]

Ila poa hakuna kumaindiana atakae jaa kwa mwenzie basi avumilie kupigwa bomba na mijebu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…