Songwe: Raia wampiga anayedaiwa kuwa mlinzi wa JKT aliyejificha kukamata magendo

Ni Jambo la heri kuona wananchi wanashirikiana vizur kiasi hcho!

Kama mikoa yote tungekuwa na ushirikiano wa namna hii, Basi tungeheshimiana Sana mitaani!

Hivi machimbo ya jemedari Hamza hayakuwa Songwe? Kama jibu ni "affirmative" - Shikamoo Songwe 😁😁.
 
Safi sana hawa huwa saidia ccm kuiba nyakati za chaguzi !!! Piga kabisa
 
Kwani SumaJKT wameanza kufanya kazi ya polisi au ndo kujipendekeza tu.
 
Kwa nini walimuacha hai kenge huyo ? Yaani saaa hv nimekua na roho ngumu sijui kwa nini aise ...
 
Mtu anarisk maisha yake
 
Kwa comments hiz zinaonesha jins gan watu walivyo jaa chuki mioyoni mwao juu ya vikosi vya ulinzi na usalama
 
Hata hivyo, mmoja wao aliyebaki alikimbilia iliyo jirani na kujifungia, lakini wananchi kwa hasira walivunja dirisha la nyumba hiyo na kumtoa nje na kuanza kumshushia kipigo kikali kabla ya Polisi kufika na kumuokoa.
 
Hata hivyo, mmoja wao aliyebaki alikimbilia iliyo jirani na kujifungia, lakini wananchi kwa hasira walivunja dirisha la nyumba hiyo na kumtoa nje na kuanza kumshushia kipigo kikali kabla ya Polisi kufika na kumuokoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…