TrioNeTwork
JF-Expert Member
- Aug 7, 2022
- 444
- 382
Ni mchapa kazi Sana, Songwe tunasema Asante kwa mama Samia kutupatia huyu mkuu wa mkoa anayejuwa kazi iliyomfanya aletwe huku mkoani Songwe, hasa ukizingatia kuwa mkoa huu Ni mchanga tangia kuanzishwa kwake, Naiona Songwe ikipaa Sana kimaendeleo, Tunaomba mh Rais amuache hapa Hapa Kama mkuu wa mkoa