Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visionary Prediction, to a young hastler and visionary leader 💪👍Taarifa za ndani Ali Hapi Anaaga kitaa na shambani kuwa mwezi wa 12 yeye ni Naibu kAtibu mkuu ccm
Visionary Prediction, to a young hastler and visionary leader [emoji123][emoji106]
Yaani atapanic kwa kusikia muhalifu mwingine anarudishwa kwenye madaraka?......umepaniki!
he was removed technically and without fear of contradiction he will be right back in place soon, technically politically speaking....Visionary? How did he get removed at the first place?
Mkuu naomba nifungulie code mla mtama ni yule nanihii wa habari? Au?Asiyegusika abakie hapo hapo,wasimwamishe
Huyo mla mtama hana nyota yoyote ile kisiasa
Isingekuwa jina la babake...
NDiyoMkuu naomba nifungulie code mla mtama ni yule nanihii wa habari? Au?
hustler?Visionary Prediction, to a young hastler and visionary leader 💪👍
Hamna,hata Mwenezi alitabiriwa na ikawa.Ally akatoe sadaka tu sasa.Basi ameshaukosa
Kwahiyo mafuriko yataisha Dar..!?Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Vipi mstaafu wa chamani (II kwa sasa) aliyekoswakoswa kukong'otwa anasemaje?Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Hapi atulie kwanza ishu yake ya kuchukua rushwa kwa wachimbaji wa madini mama bado ana mzoom.Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Yeye alikuwa kimya hadi ikatokea, huyu kaanza kuhangaika kabla ya kutangazwa, hana kaba... Hafai.. kuna siku atasema yasiyosemwaHamna,hata Mwenezi alitabiriwa na ikawa.Ally akatoe sadaka tu sasa.
Na SABAYA ni MAKAMU MWENYEKITI CCM BARATaarifa za ndani Ali Hapi Anaaga kitaa na shambani kuwa mwezi wa 12 yeye ni Naibu Katibu Mkuu CCM