Mwakani ulete mrejesho, maisha yenu yakoje.....kila laheri new step
Hapo nimekuelewa. NashukuruBasi kama ni hivo huna cha kuhofia yaani kiufupi aishi kama wenzie na ukiwatreat sawa wote hamna atayekupangia malezi reward na punishment ziwe kwa wote
mom in town.
Thank you!He/ She is just a little child. Achana na suala la bond. Litakuja tu.
Love wins over everything, even the hardest of hearts.
Let the child be a child,know that he is a different human being with different upbringing but also know that his addition into your family can make you a happier one. The more the merrier they say.
Acceptance is key, take him in as you would have another woman take in your kids and slowly mould him into a responsible, moral and upright young man.
About discipline, be fair and just.
Let God lead and all the best.
Mrejesho utakuwepo.Mwakani ulete mrejesho, maisha yenu yakoje.....kila laheri new step mom in town.
Your enemy is only your enemy because you have made him or her neno mama wa kambo that's your enemy
Embu jiulize usinge olewa wewe nani angeishi na huyo mtoto.
Hahaha! hamjaomba ushauri.Vipi na sisi baba wa kambo hamtupi ushauri?
Aya mama poleMimi siogopi wajameni. Taarifa nilipewa ndio na hata taarifa yenyewe mimi nilihoji kama ana watoto au mtoto? Sio yeye alianza kusema. Huenda nisingeuliza labda nisingeambiwa ! i dont know. Basi akasema yupo but sijawahi mfuatilia. Mimi hapa nikasema kama yupo basi kamtafute umlete maana staki uje uniletee mtoto mkubwa sijui amelelewaje, amepata elimu gani etc. Kama atakuwa part ya maisha yako kamtafute. Akatafutwa lakini sasa hakuletwa nyumbani. So nashangaa wanaosema roho mbaya blah blah. Am not that kind of a person. Kwa sababu zake anazojua mwenyewe hakumleta wakati huo na kwa sababu zake anamleta wakati huu. Mimi niko peace tu.Maisha yanaendelea. Nachofanya ni maandalizi ambayo yanaambatana na kujifunza basi.
Msamiati 'mama wa kambo' nimeukuta hapa kwa hii dunia. Hata nikiukataa obviously nitakuwa labled hivyo tu. Si bora niukubali mapema. Siku hizi kuna mwingine 'mama mlezi' hata kwenye sherehe za harusi pale kama umelea mtoto MC anasema kuna mama mlezi na mama mzazi.Your enemy is only your enemy because you have made him or her neno mama wa kambo that's your enemy
Embu jiulize usinge olewa wewe nani angeishi na huyo mtoto.
Your enemy is only your enemy because you have made him or her neno mama wa kambo that's your enemy
Embu jiulize usinge olewa wewe nani angeishi na huyo mtoto.
Na home una wangapi? Taarifa ulitoa mapema kabla ya ndoa? au home hiyo ni ipi. Kama hujaoa basi taarifa ya watoto utoe mapema kwa mke mtarajiwa.Kila la heriDah....hapa nilipo nina watoto 9 nje....najipanga jinsi ya kuwaleta home [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Hahahaha....mi ningemuambia kamuambie mama ako...maji ya jioni[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!Bro ni single father [emoji23]
Sasa kaja kuoa, ila huyu mtoto na mama wa kambo haziivi, mtoto kishalishwa sumu na mamake huko hamuheshimu kabisa step mom sometimes huwa anasema"baba angu ana wake wawili, huyu na mama angu"
Wifi angu huwa anasema kabisa mi simpendi huyu mtoto, wala familia hatumuoni ana roho mbaya wote tunamuelewa
Kwa jinsi ulivyochangia utaona kujiandaa kisaikolojia ni muhimu.Huhitaji kujiandaa kisaikoloji,ni kumpokea na kumkubali kama mtoto wako.Changamoto ni kama mama yake wa kumzaa yupo,sina hakika kama utaweza kumlea vizuri.Ukimkaripia au kumuonya ni rahisi kumkumbuka mama yake na kutamani kurudi.
Bro ni single father [emoji23]
Sasa kaja kuoa, ila huyu mtoto na mama wa kambo haziivi, mtoto kishalishwa sumu na mamake huko hamuheshimu kabisa step mom sometimes huwa anasema"baba angu ana wake wawili, huyu na mama angu"
Wifi angu huwa anasema kabisa mi simpendi huyu mtoto, wala familia hatumuoni ana roho mbaya wote tunamuelewa
πππ Haya mambo sio marahisi kwa familia zote, na sio marahisi wakati woteHahahaha....mi ningemuambia kamuambie mama ako...maji ya jioni[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
Maana km mama ake kichaa Mimi namtibia sasa!
Unaweza kuishi na mtoto wa mkeo?.nina mtoto wa kambo, wife hataki nimlete. hiyo imeniletea shida sana kwasababu inabidi mara nyingi niwe nawasiliana na mama wa mtoto huyo na kujikuta tumesharudisha majeshi hadi kuogopa kupata mtoto mwingine wa pili. ila angekubali kuishi nami hiyo chain angeshaikata. wanawake kuweni na akili, kuna vitu vingine sio lazima uende shule cha pili, nakushauri usije kumtesa, utafungwa, pia usimbague kwasababu hata ufanyeje watoto wako wanajua hiyo ni damu yao wakiwa wazima utajikuta umelaumiwa, pia watoto wote wa kambo wanaoishi kwa kuteswa na mama wa kambo huwa wanafanikiwa kimaisha kuliko watoto wa ndani ya ndoa. amini usiamini.
Hahaaa dahHuyo kma mimi 100% tunaendeleza game,sijui kubagua atakae nizika simjui
Acha roho mbaya mpokee tu kwani nae alipenda kuwa mtoto wa kambo.Nakushauri ni kheri mchukie mumeo kwa UMALAYA wake ila sio huyo mtoto hana hatia.
Mimi nimchukie kwa lipi sasa. Roho mbaya sina labda wewe ndio usomi ukaelewa umekalia kuhukumu wengine.Acha roho mbaya mpokee tu kwani nae alipenda kuwa mtoto wa kambo.Nakushauri ni kheri mchukie mumeo kwa UMALAYA wake ila sio huyo mtoto hana hatia.
Umeona eeh! mtoto kaja kajikoki kama kote. Hahaha . Sasa ikawaje. Mtoto karudi kwa mamake auπππ Haya mambo sio marahisi kwa familia zote, na sio marahisi wakati wote
Mama mtu alikuja kumuiba, kaja bila taarifa kamchukua wenyewe hawapo.... kampiga tu chura teke kwa kifupiUmeona eeh! mtoto kaja kajikoki kama kote. Hahaha . Sasa ikawaje. Mtoto karudi kwa mamake au