nina mtoto wa kambo, wife hataki nimlete. hiyo imeniletea shida sana kwasababu inabidi mara nyingi niwe nawasiliana na mama wa mtoto huyo na kujikuta tumesharudisha majeshi hadi kuogopa kupata mtoto mwingine wa pili. ila angekubali kuishi nami hiyo chain angeshaikata. wanawake kuweni na akili, kuna vitu vingine sio lazima uende shule cha pili, nakushauri usije kumtesa, utafungwa, pia usimbague kwasababu hata ufanyeje watoto wako wanajua hiyo ni damu yao wakiwa wazima utajikuta umelaumiwa, pia watoto wote wa kambo wanaoishi kwa kuteswa na mama wa kambo huwa wanafanikiwa kimaisha kuliko watoto wa ndani ya ndoa. amini usiamini.