Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Watajuana wenyewe.
Personally namfahamu dada Sophia Mjema ana roho nzuri sana kama walivyo waislam wengi.
Chadema iitishe maandamano nchi iuzwe kila mtu apewe chake akafie mbele.
 


Shaka Anashushwa Kwenye V8,Halafu Mjema Anaipanda Chap

Sijui Naye Atalalia Kitanda Futi Mbili Kama Yule Mwenezi Wa Malawi
 
Naona chawa wa shaka ukisikitika
 
Naongelea katibu mwenezi kwa mfano tu.
Ingawa hata katibu mkuu ndio Router ya hoja za chama,napo pia oamepwaya!

Naongelea katibu mwenezi kwa mfano tu.
Ingawa hata katibu mkuu ndio Router ya hoja za chama,napo pia oamepwaya!
Kwa siasa zetu mgombea ndiye mwenye athari kwa watu,lini watu walikikubali chama kisa katibu mwenezi!?
 
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Mwenezi wa chama ni zaidi ya RC!. Ila Sofia Mjema yuko vizuri maana ni mashallah!, mimi ningekuwa kiongozi, kusema la ukweli ningeishia tuu kufukuzwa kazi kwa kosa la kuishiwa uvumilivu!, kuna vitu kiukweli yataka moyo kuvumilia...
P
 
kwa kweli kwa bi sophy,wa upanga mwenzio, mungu kambariki
 
Shaka Hamdu Shaka ni "mpwa" wa Samia. Baada ya watu kupiga kelele za nepotism hasa hapa JF, chama kimeamua kumuondoa.
 
Mwenyekiti angekuwa mwanaume ingesemwa mjema ni WA mwenyekiti
 
Hakika kwenye uchumi ni sifuri yenye masikio
 
Hii tabia uliyoionesha ni umalaya.Eleza jambo kwa ufupi na utuo.Ukurasa mzima umeandika.Unamlipa msomaji?
KiLaza wewe Una akili ndogo na ni mchagga na ni Chadema! Kaa pembeni nyie ndo wale farasi aliowatukana Nyerere na mkampigia makofi! ( Chama kushika hatamu)
chama = Nyerere ,
hatamu = kamba za kuongozea farasi (polisi, jwtz, magereza)!

Farasi = raia wajinga kama wewe wasiosoma wasioelewa comments, wasiotaka ujamaa, mafisadi nk

Nafurahi Dawa imekuingia vizuri Sasa ukiniambia issue iliyokuchoma zaidi nitaenjoy!

Humo kwa my comment Kuna mada kumi za moto kwa akili yako ndogo na kisirani kama mbuzi hataki safari ya kwenda kuchinjwa sidhani umeelewa hata mada moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…