Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Ccm Huwa wanashangaza sana au pengine Kwa kuwa wanajua wataiba kura au?

Unawezaje kuwatoa watu wenye ushawishi na wanaojua kujenga hoja kama kina Shaka na Bulembo ukawela hao wengine wasiojua kujieleza?
Kama Shaka na Bulembo ndio wajenga hoja wako na wenye ushawishi,basi wewe ni empty kichwani.
 
KiLaza wewe Una akili ndogo na ni mchagga na ni Chadema! Kaa pembeni nyie ndo wale farasi aliowatukana Nyerere na mkampigia makofi! ( Chama kushika hatamu)
chama = Nyerere ,
hatamu = kamba za kuongozea farasi (polisi, jwtz, magereza)!

Farasi = raia wajinga kama wewe wasiosoma wasioelewa comments, wasiotaka ujamaa, mafisadi nk

Nafurahi Dawa imekuingia vizuri Sasa ukiniambia issue iliyokuchoma zaidi nitaenjoy!

Humo kwa my comment Kuna mada kumi za moto kwa akili yako ndogo na kisirani kama mbuzi hataki safari ya kwenda kuchinjwa sidhani umeelewa hata mada moja!
Bado unaonesha tabia yako.Spana yenye matundu mengi.
 
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu

Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.

===

Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar

---

Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,

====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu

2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara

3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa

4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi

5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha

6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa

7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Team ya ulaji.
 
Shaka alikua mwepesi speech zake zilikua za kichawa sana.hata uyo Sophia sidhani kama ataimudu hiyo nafasi ni kubwa.kipindi hiki cha fungulia mbwa kuna spana zitaachiwa atajuta kuteuliwa.
 
Jk kafaidi sana Toka Yuko DC Hadi akagombana na Mama WAMA
 
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu

Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.

===

Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar

---

Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,

====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu

2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara

3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa

4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi

5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha

6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa

7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Nawatakia kila la kheri wateule wote kwenye majukumu yao ya ujenzi wa chama.

Ni matumaini ya Wana CCM na Watanzania wote kwamba Komredi Chongolo atashirikiana na wajumbe wenzake wa sekretarieti ya chama taifa kukisemea chama na kuisimamia serikali katika kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi...!!!

Mungu Ibariki TANZANIA...!!!

Kazi Iendelee
 
Vyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Kwa uteuzi huo, maana yake nafasi zao tayari zinakuwa wazi.

Mheshimiwa Rais ataziba kwa kufanya teuzi za RC Shinyanga na DC Kahama ili kuziba nafasi za wateule hao wanaoenda kuanza majukumu yao kwenye chama.
 
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu

Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.

===

Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar

---

Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,

====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu

2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara

3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa

4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi

5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha

6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa

7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Ccm ya Sasa inakufa KWa kasi ya ajabu , nafasi ya Shaka inaiyaji mtu yule mkuu wa mkoa wa Mara ,
 
Back
Top Bottom