residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kama Shaka na Bulembo ndio wajenga hoja wako na wenye ushawishi,basi wewe ni empty kichwani.Ccm Huwa wanashangaza sana au pengine Kwa kuwa wanajua wataiba kura au?
Unawezaje kuwatoa watu wenye ushawishi na wanaojua kujenga hoja kama kina Shaka na Bulembo ukawela hao wengine wasiojua kujieleza?
Kwani mwanamke haliki? Unaijua dunia ya siasa na dhambi zake?Mwenyekiti angekuwa mwanaume ingesemwa mjema ni WA mwenyekiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mwanamke haliki? Unaijua dunia ya siasa na dhambi zake?
Hahahaha una pua pana sana... ushanusa kitu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado unaonesha tabia yako.Spana yenye matundu mengi.KiLaza wewe Una akili ndogo na ni mchagga na ni Chadema! Kaa pembeni nyie ndo wale farasi aliowatukana Nyerere na mkampigia makofi! ( Chama kushika hatamu)
chama = Nyerere ,
hatamu = kamba za kuongozea farasi (polisi, jwtz, magereza)!
Farasi = raia wajinga kama wewe wasiosoma wasioelewa comments, wasiotaka ujamaa, mafisadi nk
Nafurahi Dawa imekuingia vizuri Sasa ukiniambia issue iliyokuchoma zaidi nitaenjoy!
Humo kwa my comment Kuna mada kumi za moto kwa akili yako ndogo na kisirani kama mbuzi hataki safari ya kwenda kuchinjwa sidhani umeelewa hata mada moja!
Watu wanamiliki watuKama Shaka na Bulembo ndio wajenga hoja wako na wenye ushawishi,basi wewe ni empty kichwani.
Wewe unalika?Kwani mwanamke haliki? Unaijua dunia ya siasa na dhambi zake?
Kunya bogaSijapenda kabisa Kwa Shaka kutolewa
Ndio nalika unataka?Wewe unalika?
Situmii hiyo njia. Mm mbele tuNdio nalika unataka?
We si una mashimo mawili mbele na nyuma sasa njia nyingine ipi?Situmii hiyo njia. Mm mbele tu
Team ya ulaji.Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Nawatakia kila la kheri wateule wote kwenye majukumu yao ya ujenzi wa chama.Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Kwa uteuzi huo, maana yake nafasi zao tayari zinakuwa wazi.Vyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Ccm ya Sasa inakufa KWa kasi ya ajabu , nafasi ya Shaka inaiyaji mtu yule mkuu wa mkoa wa Mara ,Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni