TANZIA Sophia Nyerere, Mjukuu wa Baba wa Taifa afariki Dunia

Apumzike kwa amani. Nakumbuka mwaka jana alipost picha akiwa hospitali akasema amepata changamoto ya upumuaji lakini anaendelea vzr, akapona kabisa. Mwaka huu ameugua tena na kuondoka. Mwenyezi Mungu amrehemu.
Aliegundua huu ugonjwa alituweza hata upone,usijiamini sana,,rejea yule mama wa kilimanjaro
 
Sofia alikuwa kwenye oksijeni, RIP.

ambayo inapatikana Mzena wanakotibiwa VIP wa nchi hii

lakini ni kawaida ya hii familia, babu alikimbilia kutibiwa London, mtoto Rose alipelekwa Mzena na mjukuu nae Mzena

sisi tutafia Sinza Palestina na vituo vingine vya afya tunavyojengewa kwa tozo zetu
 
Tatizo nini sasa hapa
 
Reactions: Cyb
Tatizo nini sasa hapa

tatizo ni wao na watoto wao na wajukuu zao kujiwekea ventilators kwenye ma hospitali yao ya ma VIP kwa kutumia tozo za miamala yetu sisi

huku Nanyumbu dispensary hatuna oxygen ventilator

Nyerere alikaa madarakani miaka 29 yuko busy kujijengea sifa kwenye medani za kimataifa badala ya kujenga hospitali na kujenga uwezo wa wataalam…..

….siku yamemkuta yeye madhila ya afya eti katuacha kakimbilia London, Mungu akamwambia Weee! Usintanie!
 
Khaaa
 
anafanana na Makongoro Nyerere na pia sura ya mama Maria ipo RIP dada yetu wa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…