macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nimekupata. Nakubaliana na wewe na hata hapa nimeona. Au niseme baada ya kusoma comments nyingi ndiyo nimegundua hii imani ni janga jingine.Haujui arguments za watu. Sisi ambao tuko hospitali tunayaona haya. Baadhi ya ndugu wa wagonjwa wanalazimisha oksijeni itolewe kwa wagonjwa wao eti inawaua!!