Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Nimekubali nimekubali mkuu... Gitaa analipiga vema kabisa.. mpaka moyo unashangiliaUsikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.