Tungeuliza sababu za kuwafukuza kama umefatilia ni kwamba walichunguza mienendo yao inawezekana hao waliotolewa walikua taxi bubu mchana CCM usiku kwengine!.Alisaliti kivipi? Usaliti ni nini? Kuwa na maoni tofauti ni usaliti. Kupenda mtu asiyependwa na wenye madaraka ni usaliti? Mtu aliyetoka hadharani kulikosoa chama chake kwa kukiuka kanuni za uchaguzi, je ni msaliti? Yupi bora, msaliti au mnafiki?
Kuishi na msaliti ni hatar bora Mchawi, Heko CCM 2020 njia nyeupeeeeeSafi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
hivi upinzani uki lost ni nani anaye umia ni mbowe au??? Shida sio upinzani shida ni watanzania wengi bado ni wajingaBora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Bashe anavutiwa Pumzi tu na yule Msukuma waende wakaijenge chadema walioitumikia wakat wa uchaguzi MkuuBado Bashe
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Nimecheka sanaHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
Angekuwa anakosoa pasi na kutumika sawa ila katumika na anatumika sanabashe is a good guy...
au mnataka watu wanaosifu kila kitu?
Kwani Mtanzania akifukuzwa CCM kwa kuipenda Chadema akienda huko ni makapi kwa Chadema? The same kama akifukuzwa Chadema kwa mapenzi na ccm huko ccm ni makapi?Mbowe kama namuona vile akipiga jalamba kwa ajili ya usajili wa ghafla wa dirisha dogo.
Kama uchafu huo umekaa nao miaka arobaini huoni ulisha haribu kila kitu hata leo ukiutoa vileunadhani ni visafi navyo vimabakia vinanuka uvundo. Sasa bhasi kabla haujaingia sehemu safi huku utachujwa kwanza kisha usnaingia ukiwa safi.aje chadema...awe kamanda bila kozi
Hana lolote.Lowassa ataitafuna ccm mpaka mfupa wa mwisho
Nilidhani wataka kuleta u "call me jay" maana huyu mtu file lake nalifahamu kinaga ubaga hasa ukikaribia maeneo ya pale karibia na IFM .
Ila ulivyosalimu amri ikabifi Yale madude yangu ya Intercontinental Ballistic Missile (IBM ) niliyarudishe kama nungu nungu afanyavyo.
Tungeuliza sababu za kuwafukuza kama umefatilia ni kwamba walichunguza mienendo yao inawezekana hao waliotolewa walikua taxi bubu mchana CCM usiku kwengine!.
Usaliti upo kwa kila chama unabisha na hilo?
Chadema walisha fanya haya zamaaaaani,sasa hivi chama kusafi ni kupiga kazi ya kukiimarisha kwa kushika dola.Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...
Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..
CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?
Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Jibu swala acha kujinyea
Mzee atauza ng'ombe mpaka waisheLowassa ataitafuna ccm mpaka mfupa wa mwisho