Lizaboni bhana... eti anauliza "wako wapi waliokuwa wanametea Nchimbi" wakati kila mmoja anafahamu Nchimbi bado anapeta!!
Yaani huyu jamaa anaipenda sana CCM lakini sijui kwanini CCM wanapenda kumpuuza!!
Kawafanyia fitina Emmanuel Nchimbi, Ali Hapi, Bernard Membe, William Lukuvi, Nape Nnauye, Rajabu Luhwavi lakini wote hao bado wanapeta na kinyume chake wametumbuliwa wengine!! Hii inaonesha kumbe hata CCM yenyewe haijui!!!
Yaani huyu jamaa anaipenda sana CCM lakini sijui kwanini CCM wanapenda kumpuuza!!
Kawafanyia fitina Emmanuel Nchimbi, Ali Hapi, Bernard Membe, William Lukuvi, Nape Nnauye, Rajabu Luhwavi lakini wote hao bado wanapeta na kinyume chake wametumbuliwa wengine!! Hii inaonesha kumbe hata CCM yenyewe haijui!!!