Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Richard Ndio umerudi bongo mazima? Nilidhan bado hupo skendinevia
 
Waende chadema maana chadema ni kama yule myama sijui anaitwaje yeye anakula marudio ya simba
 
Uyoo madabida. Alivyo. Kuwa. Akiipenda. Ccm. Imenibidi. Ni. Cheke. Ngoja. Niendelee. Kutazana. Chakorii
 
Hiyo lema na lissu kwa mbowe hwana cha kuhoji ije kwa magu
 
MAY THE PARTY THAT BEARS THE GREEN COLOUR FLY HIGH. LET IT TO WHERE THE SKY. MAY IT BE SEEN ON ALL REGIONS. MAY WE END THE DARK DARK DAYS. TOGETHER. WE CAN.
 
Huwezi kuniambia myu aliyepinga maamuzi ya chama mbele ya vyombo vya habari kama Sofia Simba ni msaliti nikakuamini! Tayari najua sisi nchi hizi kupingana na viongozi ni dhambi kubwa.
Una uhakika gani kile ndo kilichofanya afukuzwe?..na kwanini muda wote hadi leo waje wafanye hivo!...naweza amini wamewachunguza hadi kuja fanya hayo maamuzi wana ushahidi wa usaliti wao ni kwanini Nchimbi kapewa onyo na Sophia afukuzwe
 
Eti tunaimani na .......Kuleni jeuri yenu sasa. Tunahitaji mwanaccm kwa imani yake na si kwa kuvutwa na mtu au madaraka fulani.
Waende wakajifunze kwa mwanaccm kindakindaki Dr john Samwel Malechela. Huyu gwiji kwenye kichwa chake hakuna msamiati wa kurudisha kadi ya ccm.
 
Wewe unasema cha nini sisi tunasema tutakipataje? Wait and see
 
CHADEMA tunawakarbisha kwa Mikono Miwili,hao ni Mtaji Mkubwa sana kwa chama chetu
 
Msidhani waliofukuzwa ni kwasababu ya kuonesha mapenzi yao kwa lowasa waziwazi kipindi cha kampeni la hasha! Baada ya Kampeni mienendo yao ilikuwaje? Vitu gani walikuwa wakivifanya chinichini ili kuhujumu chama? Vikao vya siri na mipango ya siri je? Hatuna shida na waliokuwa wakimsupport lowasa kama mgombea na baada ya hapo wakarudia misingi na itikadi za chama. Tunatatizo na wasaliti, mnajua maana ya usaliti? Btw kama CCM Inakufa nafikiri mnatakiwa mshangilie badala ya kulalamika. Eti CCM inaendeshwa kidikteta, udikteta wa wa huko kwenu msinidanganye hamuuoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…