Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Wataenda CHADEMA kumwaongezea nguvu kina Lowasa ya kuififisha CHADEMA ili CCM 2020 ipite kwa kishindo, kwa akili ya haraka utaona wametimuliwa lakini kuna baadhi yao wametumwa kwenda kuvuruga upinzani, CHADEMA tuamke tunaletewa maluki bao la mkono linaandaliwa sasa hivi Hawa ccm sio watu wazuri kabisa
 

Hahahahahahahaha, leo nimecheka kama kichaaaa.
Bruv rangi tutaziona kibao tu, na huu ni mwanzo kabisa.
 
kiukweli chadema wakishindwa kuchukua nchi 2020 basi hawatoweza tena.

hakuna kipindi kitakuwa kirahisi kama hiki.

magufuli kwa staili ya uongozi wake hata msipopiga kampeni, Whitehouse mnayo.

let us wait,
CCM wataiba kura, kumbuka mkuu wa uchakachuaji January makamba yupo ccm bado, wangemfukuza huyo ndipo Wapinzani wangepata ahueni.
 
....maajabu gani haya!.. Anawafukuza waliokipigania chama na kuwakumbatia wenye vyeti feki....double standards na unafiki wa ajabu huu....
 
Unauliza jibu. Kwani hukuliona lile gari aina ya Ford Ranger lililoenda kuwachukua kutoka mkutanoni lilikuwa limeandikwaje ubavuni? Bahati mbaya likapata mkong'oto.
 
kwaiyo waliokuwa wanaimba nyimbo wanaimani na lowasa walikuwa akina nani?
 
Ikiwa chama kimeamua kukufukuza na unataka kuendelea kuwa ndani ya chama huku ukishikilia nafasi yako\zako, mfate msajiri wa vyama ili akurudishe kwenye chama na undelee kushika nafasi zako kama alivofanya kwa Lipumba.

Sofia Simba usipaniki, fata huo utaratibu, ni rahisi sana.
 
Inavyoonekana yale matokeo ya kamati kuu yalichakachuliwa hakushinda, sasa anajua next time matokeo yatakuwa yaleyale.
 
Hujielewi wewe!

Kwa sasa viroba vimekatazwa wewe umevipata wapi?
 
Wakuu ni wazi kwamba hiki chama sasa kinakufa , tena kinakufa kirahisi kuliko tulivyotarajia , cha kufurahisha ni kwamba wanaoiua hawajui hata ilikotokea .

Taarifa zinadokeza kwamba Mwenyekiti wake anayesimamia " Mauaji " hayo , hakuwahi hata kuwa mjumbe wa shina , msaidizi wake aitwaye Humphrey Pole Pole haifahamiki hata alikotokea , bali kumbukumbu zinaonyesha ni mpinzani wa serikali mbili .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…