Tangu linivulisikia kauli ya Mh. Majaliwa kumuunga mkono Lowasa??? Ulisikia akilalamika kuwa hakuridhika na maamuzi yaliyochukuliwa kumuengua Lowasa???Ficha upumbavu wako wewe kibwenye!Mapenzi hayalazimishwi,mbona Waziri mkuu Majaliwa alikuwa ni miongoni mwa walioimba wimbo wa imani na Lowassa na hajachukuliwa hatua?Huo ni uonevu wa dhahiri kwa mama Sophia Simba.
Hahaha shilawadu shilawaduMbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
Hapo ndipo unapoelewa kuwa Ngoyai ni mwanaume.Yule mupe yule muruke
Kwani mama simba anashutuma gani za kuhitaji kusafishwa mkuu?Akija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
Vipi mlishazichukua burungutu alizokuja nazo Bashe? Tupia tupicha basi kuweka mambo mubasharaHakuna atakayepinga mabadiliko hayo
Bashe na Nchimbi wataendelea kuwatesa hadi mnyaukeAhamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Ha ha ha! Sikujua kama ccm imekuwa mdebwedo namna hii! Yaani jamaa katoka bara hata kiswahili chenyewe bado hakija kaa sawa, kwenye chama hata balozi wa mtaa hajawahi lakini Leo anakuja na vitisho na amri wote wanaufyata! Kweli ccm mdebwedo!Zidumu fikra potofu za Mwenyekiti wa chama! ZIDUMU! CCM oyee CCM oyee.
Una hasira naeBado Bashe
Aliwamwagia maneno ya shombo "Mwanaume ni Lowassa". Hayo mengine siyafahamu.Kwani mama simba anashutuma gani za kuhitaji kusafishwa mkuu?
Hhahaah...wanamuonea mama bure...masikini msukuma kajitwalia ccm kilahisi....Hahaha wacha nicheke mie yaani watoto wa mjini akina January mwigulu...mtaibukia wapi tena chamani...Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
Mods tafadhari pandisheni hiyo video ili jf iwasaidie hao viongozi kutendeana haki,wawafukeze wote walioonesha mapenzi/imani kwa mh.Lowassa.
Naona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.