Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kuna wanaosaliti upinzani na wanafukuzwa upinzani na wanaenda CCMBora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Duh....fisi lazima wajinyakulie kimzoga....
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Bado Nape , Mwigulu na January .mbona hata onyo hajapewa?
kama ana tatizo kweli?
Mchukueni chademahongera mama teke la baradhuli laweza likamsaidia chura kuingia kwenye dimbwi !
Hata PM nakumbuka alimsapoti Lowasa kipindi kilewangepotezwa wote...ila kwani kum support Lowassa si ilikuwa imeshaisha? au walikuwa wana msupport chini kwa chini?
Hahahahahaaaaa. Nasikia tayari wameshatuma ndege Dodoma ili kumsafirisha kamanda mpyaDuh....fisi lazima wajinyakulie kimzoga....
Naomba Invisible na Wahusika waithibitisheNimeiona kwny JF twitter
Kivipi Mkuu?Hata PM nakumbuka alimsapoti Lowasa kipindi kile
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Kwani walioileta si wenyewe JF?Naomba Invisible na Wahusika waithibitishe
Hahahahahahaaaaaaa! Subirini soon mtaona wananyakua mzogaCHADEMA wanaenda waliohama CCM kwa hiari yao.