Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Acha kujitoa ufahamu wewe!! In short pamoja na majungu yako; CCM wanakupuuza kwa sababu inaonekana wameshakufahamu kwamba wewe ni mtu wa majungu, fitina na ushakubimbi!!!

Ambao umewapiga majungu hapa JF ni:
  • Emmanuel Nchimbi
  • Benard Membe
  • William Lukuvi
  • Rajabu Luhwavi
  • Ali Hapi
  • Nape Nnauye!!!
Usijitoe akili; hao ndio uliokuwa unawatilia fitina!!

Na kwa mujibu wa hiyo, waliofukuzwa ni:

1. Sophia Simba
2. Ramadhan Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga

Hakuna hata mmoja miongoni mwa wale uliopigia fitina!!! Na wote hao ni wale ambao walikuwa na tuhuma za kumsaidia Lowassa wakati wa uchaguzi mkuu...!!!

Kwahiyo usijifanye eti wako wapi waliokuwa wamtetea Nchimbi!! Sana sana ninachokiona hapo Magufuli amemwogopa Nchimbi kwa sababu Nchimbi pamoja na wote hao including Kimbisa, walikuwa kambi ya Lowassa lakini wameshindwa kumtimua!! Hata huyo Nchimbi atakuwa ameonywa kwa sababu hiyo hiyo ya Lowassa na si kutokana na fitina zako!!

In short; HAKUNA ANAYEKUTILIA MAANANI!!!
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Unachangia mambo kama mtoto mdogo
 
~~>>Uamuzi uliofanyika leo ni wa ngazi ya mwisho....... Hivyo kina Sophia hawana pahala pa kwenda kukata rufaa..



Nawashauri waungane na Wema... Chadema hawana hiyana na mtu
 
Hivi dust bin ya ccm (cdm) haijatangaza kuwasafisha?
 
Mabadiliko ya ccm yanakuumiza?
Hakuna kinachobadilika, ni kiini macho tu. CCM imeshafikia maturity level katika siasa za nchi, it started with "party-state" (1961-64), ikashindwa, ikahamia kwenye "developmental state" (1965-1984), ikashindwa, ikahamia kwenye "contracting state" (1985-2015), ikashindwa, sasa chini ya Populist Magufuli inarudi back to "party state" era, na mbaya zaidi without any practical ideology. CCM kwa sasa ni genge tu waiting for the populist personality to do anything that helps the party make to the next day.

Hakuna kitu hapo.

Kama huyaelewi niliyojadili, Nina uzi nauandaa wenye lengo la kuelimisha wana JF jinsi gani CCM is running out tricks, and how Magufuli has defined its down fall.

Nitakukaribisha.
 
Kuwa na mawazo tofauti sio kosa ila kukihujumu chama ni kosa.
Wewe uko CCM mchana usiku uko Chama kingine huko sio kutofautina mawazo hiyo ni Hujuma kwa Chama.
Hivyo vitendo kama ni kweli, maana ukweli wanaujua wanaochukua maamuzi, hata kama ingekuwa wapi duniani mtu wa namna hiyo hafai. naunga mkono mkuu...
Juhudi zozote njema zikibainika kuwa ni njema na kwa manufaa chanya ya chama lazima zipongezwe,
 
Tokea juzi nimejikaza sana kukuuliza maana mabadiliko niyaonayo kwako sio bure [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Pole broh,everything will be alright.
Fight [emoji123]

BTW kama wewe mtoto wa kishua unalia sisi ngumbaru can you imagine?
Hali ni mbaya sana.
mmmmmhh hali mbaya kwa kila mtu aisee... Hata JK huko aliko atakuwa analalama tu maana deals zake nyingi zimepigwa kapuni.

Mambo mtaani hayaendi tunaambiwa hatufanyi kazi ndio maana ngawira mfukoni hazikai, ila Daaaah after 10 years jamaa atatuacha na miundombinu mizuri kabisa kila wilaya ya nchi hii itakuwa imeunganishwa kwa rami na mambo mengine makubwa yaweza kufanyika ila sasa mpaka tufike huko hakuna rangi tutaacha kuona..
 
Hakuna kinachobadilika, ni kiini macho tu. CCM imeshafikia maturity level katika siasa za nchi, it started with "party-state" (1961-64), ikashindwa, ikahamia kwenye "developmental state" (1965-1984), ikashindwa, ikahamia kwenye "contracting state" (1985-2015), ikashindwa, sasa chini ya Populist Magufuli inarudi back to "party state" era, na mbaya zaidi without any practical ideology. CCM kwa sasa ni genge tu waiting for the populist personality to do anything that helps the party make to the next day.

Hakuna kitu hapo.

Kama huyaelewi niliyojadili, Nina uzi nauandaa wenye lengo la kuelimisha wana JF jinsi gani CCM is running out tricks, and how Magufuli has defined its down fall.

Nitakukaribisha.

CCM ukweli huo hawautaki kuusikia
 
Chuki binafsi siyo demokrasia. Bashe mpiga kazi na msema kweli na hajapewa post yeyote.
 
Naona sasa hivi watu wataogopa hadi kuongea na Lowasa ukionekana na Lowasa umetengenezewa zegwe unafukuzwa,oohhh mama Sofia pole hiyo ndo shukurani ya mwenyekiti wako mpya,mama ulipigana ndani ya jumuiya ili ashinda lkn sasa huna samani mama.
 
Back
Top Bottom