Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Mkuu issue ya Katiba mpya si issue ya Chama ....Chadema hawawezi kushinikiza na kushinda issue ya Katiba mpya bila kupata support kutoka CCM..... Ajenda ya katiba mpya ilibebwa na akina Warioba (wana CCM) na pia ilipingwa na watu ambao ndio wengine waliokuja kukimbilia Chadema na kupewa fursa ya kugombea Urais ....hivyo kwa Chadema ya sasa hiyo si ajenda tena (kama ilivyo ufisadi) ....Chadema inaishi kwa matukio na kwasasa haieleweki inasimamia nini (labda Bashite saga) ....na huwezi kusikia nyie manguli wa kuikosoa CCM mkitoa ushauri wa kisera huko Chadema hata wafanye makosa gani ....au chadema hawakosei? Au Chadema si muhimu kwavile hawana dola? ....
Siasa ni matukio na kusahihisha, mawazo ya kimakonda zaidi. Sasa hakuna kuwana mawazo mbadala ccm uoga, kuwa na watu wenye mawazo mbadala wanatakiwa kuwepo
 
Husika na Kichwa cha uzi hapo juu, unafikiri wasaliti hawa waliofungashiwa virago CCM mwisho wao / wataangukia chama gani cha siasa hasa ukizingatia kwasasa tuna vyama vingi vya siasa vyenye ushawishi mkubwa. Karibu utiririke, kejeli hazitakiwi.

Kumbuka siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.

Nashukuru naanza sasa kupata Warithi wangu a.k.a Team Gentamycine kwa kuigwa kila kitu changu. Safi sana!
 
Kama waliomsupport Lowassa wanafanyiwa udhalimu ya namna hii.Sipati picha ya chuki ya Sizonje kwa Lowassa.
 
Wacha wapalulane sio tunatega ndoano tu, mtu asiporidhika na mgombea kawa msaliti [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nyie ndio mnawafanya hawa vilaza wajione ma Don humu, sasa kuna haja gani ya kumuanzishia uzi huyo mbulula.
 
Nimekuelewa mkuu ila nilipata jina la Joyce Msavatavangu kutoka katika mtandao wa Hakingowi na chanzokingine cha wakimtaja huyo mama kwa jina la Joyce lakini kwa mara ingine tena vyanzo hivyo haviko sahihi.

Nimethibitisha pia jina hilo kutoka katika tovuti ya CCM Iringa hivyo hakuna matata.

Wewe si wa kijiweni wala sina shaka nawe kabisa.

Kwa kiingereza twasema, "no bad feelings".

CCM oyeeee!!

Uungwana ni vitendo....nimerudisha makombora yangu kapuni.
Pia hiyo imekufunza kuwa siyo kila unachokiona mtandaoni ni sahihi, fanyia tafiti kwanza. Pamoja tuendelee kutirirsha utirio wa GT hapa jukwaani.
 
Wakienda Chadema ni mtaji tosha. Kama walimpoke wema basi hawa ni watakatifu ndani ya chadema
 
Husika na Kichwa cha uzi hapo juu, unafikiri wasaliti hawa waliofungashiwa virago CCM mwisho wao / wataangukia chama gani cha siasa hasa ukizingatia kwasasa tuna vyama vingi vya siasa vyenye ushawishi mkubwa. Karibu utiririke, kejeli hazitakiwi.

Kumbuka siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.
Wataenda chama cha wahalifu na mateja.
 
Hakuna tofauti kwenye demokrasia ndani ya vyama vya siasa Tanzania,wote wanafanana
 
Back
Top Bottom