Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Hivi wale republican waliompiga trump wanafukuzwa lini?
 
Kuna mmoja sijamsikia wanamtaja na kwenye hao wasaliti alikuwepo ila sasa hivi anakula kuku kwa mrija
 
Bora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....


Mkuu jaribu kuangalia big picture ya mambo. Inawezekana kabisa ikawa siyo CCM wameamua kujivua unafiki; bali ikawa ni mbinu ya kuwaogopesha wengine waliopanga kupinga mambo kadhaa ndani ya chama, mengine kwa nia nzuri tu. Kwani mbinu hii si ilitumiwa na upinzani pia dhidi ya wakina Zitto, Kafulila na wengine? This is an old trick my friend. Mimi bado sijashawishika mpaka nijue sababu za CCM kuwaadhibu hawa.
 
Hata kwenye gari oil safi ikichafuka hutolewa so chadema ndo sehemu ya kuweka oil chafu ambayo haihitajiki tena
Hao sidhani kama wataenda chadema labda wataanzisha chama chao
 
Acheni kujihami kwani huko walokotoka wameuwa mtu? Si mmeamua wenyewe kuwaondoa kisa hawakumuunga mkono malaika wenu, wanayohaki yakujiunga na chama chochote watakachopenda kama vile nyie mazombi mlivyoamua kubaki ili muendelee kunyonya damu zetu.
 
Sasa wamemuacha Amani Karume mbona ? Huyu yeye na Mwanawe Fatma ni ma Cuf, na walimsaliti Sheni mpaka akashindwa uchaguzi ikabidi tufanye faulo .
Naye huyu hastahili kuwamo ...tumfukuze tu..
Hahahaaaa, watu wanakata roho wewe unawaongezea sumu ili wafweee
 
CCM haina tofauti na chama cha kikomunisti cha Korea kaskazini
 
Jamani tutashangaa kama waliotimuliwa ccm watakimbilia chadema na kupokelewa. Hapo tutaendlea kutambua kuwa chadema ni Chama cha kupokea mabaki.
Badili hiyo ID yako tafadhali. Yesu Kristo ambaye ni Mwokozi wa ulimwengu alikuja kuokoa wale tuliopotea. Anatusisitiza tupendane,wewe una chuki na kisasi,hustahili kutumia hiyo ID. Mfano wewe kesho ukiolewa halafu ukaachika,kweli ni haki kwa mume aliyekuacha kukupangia nani wa kukuoa? Mwendelezo wa chuki na visasi utakupeleka pabaya wewe na the likes.
 
Back
Top Bottom