Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Chama kinaelekea kwenye umafia nyie mnapongeza, mwisho kitakuwa kama chama cha kina Putin kubadilishana uongozi watu wawili leo waziri mkuu kesho rais kesho kutwa anarudi kuwa waziri mkuu.
.............au kama chadema, unabadilisha Katiba ili uwe Mwenyekiti milele kisa na cha Babamkwe na anaye jaribu kugombea unampa kesi ya usaliti ....halafu wachaga wote wanaitikia ameeeen t
 
Madabida si alikuwa kwenye conference ya Daudi Bashite juzi juzi. Inaonyesha hakujua kama hili linakuja, alikula hela ya Lowassa nini?
 
Nasubiri kuona uamuzi wa msajili wa vyama vya siasa je atabariki kufukuzwa kwao au ataendelea kuwatambua kama anavyomtambua Ibrahim Lipumba na wengine waliofukuzwa vyama vya upinzani, double standard!!!
 
kama wewe "huna" chama mbona povu linakutoka hivyo? kwani hao wanachama waliofukuzwa ni wa CHADEMA? unaacha kujadili hoja iliyopo mezani unabwabwaja tu kama teja aliyeshiba unga au umbwa jike mwenye nye.ge? acha hizo ndugu yangu.
Sijui hizi ndio siasa za Kisasa... haya ngoja tuone! nadhani wazazi kuna mahali tumekosea, vijana hamjui lugha gani inatumika mahali gani, mkiadhibiwa na vyombo vya sheria mnailaumu serikali kwa utovu wenu wa nidhamu, liko tatizo. Sasa ukiwa mwanachama wa chama fulani lazima tutaamini hicho chama ndio tabia yake hiyo unayoionyesha hapa...
 
Kufuatia maamuzi hayo, Sophia Simba amepoteza rasmi nafasi yake ya Ubunge wa Viti maalumu na Uenyekiti wa UWT kwani nafasi hizo zinahitaji mtu ambaye ni mwanachama wa chama aweze kuzishika. Hivyo, CCM italazimika kupeleka jina jingine Tume ya Uchaguzi kuteua mbunge wa kuziba nafasi ya Sophia, huku nafasi yake ya Uenyekiti UWT ikisubiri uchaguzi baadae mwaka huu.

TUNAWASUBIRI NEC ENDAPO KAMA WATAUTAMBUA UAMUZI WA CCM KUMUENGUA UANACHAMA NA UBUNGE SOPHIA SIMBA????

TUME NDIO WALIOPINGA KUENGULIWA KWA PROF. LIPUMBA KWA KISIINGIZIO KUWA WAO WANAMTAMBUA KUWA NDIYE MWENYEKITI WA CUF. SASA WATASEMAJE KUHUSU HILI NALO????
 

CCM Hama.jpg


CCM Mpasuko.jpg


M4C.jpg


Sina Usingizi !!!!!! - LOWASA.jpg


CDM vs CCM bus.jpg


 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.

Hoja kuu ilikua mabadiliko ndani ya ccm na impact yake kwa siasa za tz. Labda nikuulize swali, mlifanya mabadiliko kwa ajili ya cdm au ccm? Kama ni kwa ajili ya ccm hakukua na sababu yoyote ya kufanya comparision Mkuu! Ila kama ni kwa ajili ya cdm, ni sahihi kabisa. CCM inasimama yenyewe na ubora au ubovu wake hautegemei vya ma vingine, vivyo hivyo kwa vyama vingine!!

La msingi kama kuna mabadiliko yamefanyika, tunategemea yalete tija maana kuna mambo mengi ya kufanya hasa ujenzi Wa viwanda vilivyo kwenye mioyo ya viongozi, wanalala navyo na kuamka navyo! Ni wakati muafaka sasa kuvitoa nasi tuanze kuuza bidhaa nje.

Mwisho niseme haya mabadiliko ndani ya ccm ni hitimisho la "ndio mzee". Ni mtazamo wangu tu, sii lazima uukubali.
 
Kwani umeambiwa hiyo adhabu ina uhusiano na timu Fulani?!! Acha kiherehere

Wewe jina lako tu ni brand ya CONDOM ,hukuona majina mengine mfano RALPHRYDER ....anyaway usipende kuita wanaume wenzako wana KIHEREHERE sio vizuri ,kama umetahiriwa na kufundwa utakuwa umenielewa !!
 
Tatizo waliendeleza makundi hata baada ya mgombea wa mwisho kupatikana, kifupi walikuwa wasaliti.
Huyo Membe alisimama lini na watu wake kumpigia kampeni Magufuli ....??? magufuli kupata kwake urais ni kutokana na watu wa Lowassa kumpa kura ....na wakaendelea kumpigia kampeni ..kwanini wasingeanza upya ...
kama makosa walifanya wote kwa uwiano huo kwanini wengine wameachwa ...watu wa haki za wanawake wanauliza hilo ..KIMBISA,NCHIMBI NA SOPHIA walifanya kosa moja ....iweje Sophia tu ndio afukuzwe .
Kuna wagombea walimkandia rais kuwa hawezi hata kuwa Balozi baada ya kuteuliwa ..mbona wameachwa hata kuulizwa ??
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Eti makombo! Vipi Juliana Shonza, Mtela Mwampamba, Machali, n.k, hao mnawaitaje huko CCM au mnaona makombo CDM tu?
 
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Mheshimiwa yesu hakuja duniani kuwakomboa watakatifu bali wenye dhambi vile vile upinzani haukuanzishwa ili kutetea wanyonyaji/maharamia/mazandiki... ila ulianzishwa kutetea wanyonge, wanaoonewa, wanaodhulumiwa haki yao na hawana pa kusemea.

hivi wewe kwakili utalazimisha mtu mzima asimpende mtu akupende wewe, haiji akilini.
 
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
duh kwahyo sofia simba ni uchafu??? mbona miaka yote akiwa serikalini hukusema mpaka leo hii katimuliwa????? kwakuwa katimuliwa kwa kusimamia mabadiliko sioni tatizo akichukuliwa upinzani
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Sasa chadem mbona wakitimuaga watu kwa makosa ya usaliti kma kina shonza au mwampamba mlisema hakuna demokrasia?? na bado ccm mkawachukua ???? Mnataka upinzani ufanye nni hasa??? mnataka tumtimue nani wakati uchaguzi 2015 ulikuwa success kwa upinzani!! nyie mnajua mlianguka ndo maana mnatimuana bila ivo msingeendeleza chuki za team lowassa ad leo
 
Mkuu labda ungetoa ushauri wako unataka waende wapi badala ya chadema?
Naona nawasiliana na mtu asiyeelewa,hivi nimekwambia napinga wasije?.au kusoma hujui au una kichwa kigumu kuelewa? Mbona unakuwa mzito kuelewa namna hii? nimeshakwambia sipingi wao wasije CHADEMA,bali sipendi aina ya upokeaji,tunawashangilia sana,inabidi tuwapokee kama tu wanachama wengine na sio kushangilia ujio wao
 
Back
Top Bottom