Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

.............au kama chadema, unabadilisha Katiba ili uwe Mwenyekiti milele kisa na cha Babamkwe na anaye jaribu kugombea unampa kesi ya usaliti ....halafu wachaga wote wanaitikia ameeeen t
wanaxhama wote walihusika kutunga katiba mpya ambayo haina ukomo wa muhula wa mwenyekiti sasa mbowe anaingiaje hapo?? kamati ilikuwa chini ya baregu na mnyika na ilikuwa 2006 kipindi hata mbowe hajamaliza miaka 2 kwenye kiti ssa ulifkiri alikuwa amejizatiti kiasi cha kudictate katiba???

zitto hajaitwa msaliti kisa kugombea uenyekiti ila matendo yake yalimfanya asiaminike ukaribu na kikwete pia kuwa na mismamo tofauti nje ya chama ndo kulimfanya aonekane na walakini na msumari wa mwisho ilikuwa WARAKA bila waraka sioni jinsi gani angetolewa maana angeonekana kaonewa ila waraka ulionyesha dhahiri nia yake ovu ya kutaka kugawa chama maana alitaka aweke pandikizi kwanzia makao makuu hadi kwenye shina je hyo ni halali???

mimi sio mchagga mbona huku kigoma ujijitunaisupport chadema miaka mingi tu? dar mbeya iringa hiyo miji mikubwa yenye wapiga kura wengi sana mbona sio wachagga wote ila wamesupport chadema???

acheni propaganda ccm kma mnaona waliomtaka lowasa walikuwa wengi si mngefanya maridhiano tu maadam uchaguzi umepita ssa ya kufukuzana ya nni???
 
Madabida si alikuwa kwenye conference ya Daudi Bashite juzi juzi. Inaonyesha hakujua kama hili linakuja, alikula hela ya Lowassa nini?
alishindwa kuiba kura hadi jiji likaangukia Ukawa hivyo wanaamini aliachia maksudi so anahesabika msaliti..... kaz kwelikweli
 
Naona nawasiliana na mtu asiyeelewa,hivi nimekwambia napinga wasije?.au kusoma hujui au una kichwa kigumu kuelewa? Mbona unakuwa mzito kuelewa namna hii? nimeshakwambia sipingi wao wasije CHADEMA,bali sipendi aina ya upokeaji,tunawashangilia sana,inabidi tuwapokee kama tu wanachama wengine na sio kushangilia ujio wao
Unapenda upokeaji wa aina gani?
 
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Haya huko kwa wasafi .... Lugumi ,escrow dowans mmefikia wapi ... mnapoteza pesa za walipa kodi na kulinda mafisadi ... na hata hao kina lowasa mnasema fisadi ..mbona hamajampeleka mahakamani ...mahakama ya mafisadi imekosa wateja .. sababu wengi mmewakombatia ...cheap politics
 
wanaxhama wote walihusika kutunga katiba mpya ambayo haina ukomo wa muhula wa mwenyekiti sasa mbowe anaingiaje hapo?? kamati ilikuwa chini ya baregu na mnyika na ilikuwa 2006 kipindi hata mbowe hajamaliza miaka 2 kwenye kiti ssa ulifkiri alikuwa amejizatiti kiasi cha kudictate katiba???

zitto hajaitwa msaliti kisa kugombea uenyekiti ila matendo yake yalimfanya asiaminike ukaribu na kikwete pia kuwa na mismamo tofauti nje ya chama ndo kulimfanya aonekane na walakini na msumari wa mwisho ilikuwa WARAKA bila waraka sioni jinsi gani angetolewa maana angeonekana kaonewa ila waraka ulionyesha dhahiri nia yake ovu ya kutaka kugawa chama maana alitaka aweke pandikizi kwanzia makao makuu hadi kwenye shina je hyo ni halali???

mimi sio mchagga mbona huku kigoma ujijitunaisupport chadema miaka mingi tu? dar mbeya iringa hiyo miji mikubwa yenye wapiga kura wengi sana mbona sio wachagga wote ila wamesupport chadema???

acheni propaganda ccm kma mnaona waliomtaka lowasa walikuwa wengi si mngefanya maridhiano tu maadam uchaguzi umepita ssa ya kufukuzana ya nni???

hahahahhahaa....mkuu...kuna kitu kizuri sana inabidi ujifunze kuhusu hao CHADEMA...Bado hujui aiseee

Pole sana
 
Sophia simba ni mwanachama halali wa ccm anayetambuliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa hivyo ccm haina haki ya kumfukuza uanachama bila taarifa ya msajili
 
Sophia simba ni mwanachama halali wa ccm anayetambuliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa hivyo ccm haina haki ya kumfukuza uanachama bila taarifa ya msajili
68bb295bf93f664124697fab5a8c3358.jpg
 
Nawaza tu hapa.

Mtu anapotimuliwa na CCM, je kadi ya chama na sare zake wanapokonya na kuzichoma moto au mhusika anabaki navyo?

Madabida kafanye zako biashara ya ARVs, mama yangu Sophia Simba kapumzike zako ucheze na wajukuu maana umri umeshasogea sana.
 
Back
Top Bottom