Sound engineering 10 bora muda wote Tanzania

Sound engineering 10 bora muda wote Tanzania

Tena sio producer ni beat maker tu Aka wapiga keyboard.
Mtoa post hajitambui eti masound engineer bora Tanzania.
Mtoa post hao uliowatajwa ni ma music producer
 
Tena sio producer ni beat maker tu Aka wapiga keyboard.
Kabisa mkuu hiyo list aliyotaja ni music production jamaa wamekaa wamechanganyachanganya beats , wengine wameokoteza beats kwenye kompyuta wakaziunganisha wakawapa wanamziki waingize sauti zao.
Sound engineering sio ishu ya mchezo mchezo lazima ukae darasani si chini ya aka 4
 
Ni kweli aisee, ila nategemea siku moja kuingia kwenye hiyo list na kuleta mageuzi makubwa kwenye field ya sound engineering hapa Tanzania
I are you currently pursuing sound engineering course or just having wishful fantasy thinking
 
Umeona my current occupation mkuu?
Hapana mkuu, Kama una taka kupursue hiyo career ni dili Sanaa ila inahitaji shule ya maaana Sana ( bongo hakuna ) na sio ubabaishaji .
Mfano niliklcordinate function flani hivi mwanza tulicolaborate na TBL,
TBL walileta sound engineer kufunga sound systems kwenye eneo la function, jamaaa alifanya kazi Kama ya masaa sita hivi akavuta Kama 8m ndio nikafuatilia hiyo fani ndio nikagundua hiyo fani is very marketable na Tanzania ma sound engineer ni wachache Sana.
Na maanisha sound engineer wa kweli sio waunganishaunganisha speakers zikatoa sauti
 
1.P-funky majani
2.Mika Mwamba Kali
3.Master jay
4.Enrico
5.Allan Mapigo
6.Roy Bukuku
7.Marco challi
8.Saidy Commorien
9.Tudd Thomas
10.Man water

Addtion
Lamar
Bony luv
Marijan rajabu
Bizzman

Narud kuonyesha kila mtu na nyimbo zake 10 bora
Dah,

Umenikumbusha mbali sana namba 6 Roy Bukuku mchizi wangu.

Kuna siku mwaka 1999 tume chill internet cafe Raha Towers tuna browse internet na Roy.

Roy mtundu sana, wakati wengine tunabrowse kusoma habari, yeye kaunganisha computer kwenye website gani sijui huko, sasa ile keyboard ya computer, yeye kaifanya imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Siku hizo mitandao haijashamiri nikamuona Roy anatuzingua sana.

Res In Eternal Peace Roy Bukuku.
 
Hapana mkuu, Kama una taka kupursue hiyo career ni dili Sanaa ila inahitaji shule ya maaana Sana ( bongo hakuna ) na sio ubabaishaji .
Mfano niliklcordinate function flani hivi mwanza tulicolaborate na TBL,
TBL walileta sound engineer kufunga sound systems kwenye eneo la function, jamaaa alifanya kazi Kama ya masaa sita hivi akavuta Kama 8m ndio nikafuatilia hiyo fani ndio nikagundua hiyo fani is very marketable na Tanzania ma sound engineer ni wachache Sana.
Na maanisha sound engineer wa kweli sio waunganishaunganisha speakers zikatoa sauti
I value my work mkuu ndio maana naenda extra miles kuhakikisha nipo competent na ninachofanya
 
Dah,

Umenikumbusha mbali sana namba 6 Roy Bukuku mchizi wangu.

Kuna siku mwaka 1999 tume chill internet cafe Raha Towers tuna browse internet na Roy.

Roy mtundu sana, wakati wengine tunabrowse kusoma habari, yeye kaunganisha computer kwenye website gani sijui huko, sasa ile keyboard ya computer, yeye kaifanya imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Siku hizo mitandao haijashamiri nikamuona Roy anatuzingua sana.

Res In Eternal Peace Roy Bukuku.
Hiyo ilikuwa kabla hajaenda uingereza?
 
Kwangu mm Mika mwamba ni bora kuliko wotee! Jamaa alikuwa akitengeneza wimbo lazima uwe hit!
Ndio aliotengeneza wimbo wa Tunda wa muumin mwinjuma, na hit aong zote za daz nundaz ila hawa daz nundaz baada ya kwenda tu kwa majani wakaanza kupotea
Hebu angalia ile beat ya salome ya dully sykes!
Saida karoli zote yeye
Sikia biti kama ya embe dodo ama hip hop mdundiko
 
1.P-funky majani
2.Mika Mwamba Kali
3.Master jay
4.Enrico
5.Allan Mapigo
6.Roy Bukuku
7.Marco challi
8.Saidy Commorien
9.Tudd Thomas
10.Man water

Addtion
Lamar
Bony luv
Marijan rajabu
Bizzman

Narud kuonyesha kila mtu na nyimbo zake 10 bora
acha nikukosea kidogo, ktk hao uliowataja labda watatu tu ndio nawafamu kuwa ni sound engineers by profession. wengine wote ni beat makers, na music record producers. kazi yao ni kusimamia process yote ya kurecord miziki au audio, kumix na kufanya mastering.

kwa hapa tz ukitaka kukutana na real sound engineers, hudhuria matamasha makubwa ya mziki halafu chunguza watu wanaosimamia sound nzima inayotoka hapo stegini, wale ndio sound engineers sio hao wa kujifungia kwenye kachumba kenye AC.
 
Hiyo ilikuwa kabla hajaenda uingereza?
Nafikiri hapo alishapita Uingereza na Belgium kipindi tu akasema anataka kutulia Bongo.

Yani kuna wale machizi roho safi wacheshi hawana noma na mtu halafu wako very talented ukikaa nao poa sana huyu alikuwa hivyo.
 
Nafikiri hapo alishapita Uingereza na Belgium kipindi tu akasema anataka kutulia Bongo.

Yani kuna wale machizi roho safi wacheshi hawana noma na mtu halafu wako very talented ukikaa nao poa sana huyu alikuwa hivyo.
R.I.P roy ugomvi wake G lover ukasababisha akaanzisha album yake ya G2 mara ghafla akafariki
Pia familia yako wako talented sana karibia wote
 
1.P-funky majani
2.Mika Mwamba Kali
3.Master jay
4.Enrico
5.Allan Mapigo
6.Roy Bukuku
7.Marco challi
8.Saidy Commorien
9.Tudd Thomas
10.Man water

Addtion
Lamar
Bony luv
Marijan rajabu
Bizzman

Narud kuonyesha kila mtu na nyimbo zake 10 bora
lamar hamna kitu
 
Saida karoli zote yeye
Sikia biti kama ya embe dodo ama hip hop mdundiko
Kuna siku nilikuwa naangalia movie moja inaitwa "Peeples", inahusu mapenzi ya watu weusi matawi ya juu wanaoishi Long Island New York.

Mara kuna scene moja nikashtukia tu mtu anacheza "Yooooooo, yoyo yoo, yoooo yoyoyoyooo, Maria Salome"

Nikasema natumaini watakuwa wamemlipa Saida Karoli.

Yani sikutegemea kabisa kusikia wimbo wa Saida Karoli kwenye movie ya Mnyamwezi Tyler Perry!

Naona kuna thread ilikuwepo hapa https://www.jamiiforums.com/threads...ka-kwenye-movie-ya-kimarekani-peeples.545495/
 
Mkuu hii story nadhani hutokaa uisahau maishani, maana nakumbuka ushatuahadithia miaka kadhaa iliyopita.. Apumzike panapo stahili Roy Bukuku.
Dah,

Umenikumbusha mbali sana namba 6 Roy Bukuku mchizi wangu.

Kuna siku mwaka 1999 tume chill internet cafe Raha Towers tuna browse internet na Roy.

Roy mtundu sana, wakati wengine tunabrowse kusoma habari, yeye kaunganisha computer kwenye website gani sijui huko, sasa ile keyboard ya computer, yeye kaifanya imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Siku hizo mitandao haijashamiri nikamuona Roy anatuzingua sana.

Res In Eternal Peace Roy Bukuku.
 
Mkuu hii story nadhani hutokaa uisahau maishani, maana nakumbuka ushatuahadithia miaka kadhaa iliyopita.. Apumzike panapo stahili Roy Bukuku.
For some reason mtu akinitajia Roy nakumbuka siku ile kama jana vile, halafu kama namuona.

Jamaa alikuwa mtundu mpaka basi, yani wenzake ndiyo kwanza tunajifunza ku browse internet, yeye kashaenda kuunganisha computer na online music website, anapigia keyboard muziki kwenye computer.

Jamaa alinipa challenge sana kwenye utundu wa kujua vitu tofauti.
 
Back
Top Bottom