Sound engineering 10 bora muda wote Tanzania

Sound engineering 10 bora muda wote Tanzania

Mkuu samahani na wewe kama ntakua nimekukwaza, ila siungi mkono hoja yako ya kwamba sound engineers hawezi kua producer aliyestudio chumbani..

Sound Engineer ni mtu yeyote aliesomea + kua na kipaji (sikio la muziki) atayeweza kumix sound instruments, kubalance levels za sauti tofauti kusikika pamoja bila kuumiza maskio ya msikilizaji, kuweka effects kuongeza ladha na vionjo kwa msikilizaji kwa sauti yenye kiwango kinachostahili (sauti isiwe ndogo sana, wala isiwe kubwa sana).

Kwahiyo Kazi huanzia kwanza kwenye hicho chumba chenye AC itoke perfect maana akizingua producer na sound engineer wake (anaweza kua mtu mmoja pia eg. P Funk) hiyo Kazi ikifika kupigwa kwenye mziki mkubwa wa nje bado ita sound vibaya tu maana mwanzo haukuwa mzuri..

Mwisho na hitimisha kwa kusema sound engineers wa kwanza wenye kipengele kigumu ni hawa wa vyumba vyenye AC (Studio) unless hiyo show iwe ya live performance.

Ndo maana baadhi ya watu wamelist ikiwemo Mimi pia watu kama kina Lamar, Chizan Brain, Dunga, P. Funk hawa ni maproducer (BeatMakers) na pia ni ma engineer kwa ufupi ni jeshi la mtu mmoja anapiga beat ana mix na ku master peke yake ndo maana tumewaweka hapa.

Napenda kukosolewa kama kuna mahali siko sahihi hayo ndo masahihisho yangu.

Tuko hapa kujifunza zaidi.
acha nikukosea kidogo, ktk hao uliowataja labda watatu tu ndio nawafamu kuwa ni sound engineers by profession. wengine wote ni beat makers, na music record producers. kazi yao ni kusimamia process yote ya kurecord miziki au audio, kumix na kufanya mastering.

kwa hapa tz ukitaka kukutana na real sound engineers, hudhuria matamasha makubwa ya mziki halafu chunguza watu wanaosimamia sound nzima inayotoka hapo stegini, wale ndio sound engineers sio hao wa kujifungia kwenye kachumba kenye AC.
 
Hivi tunaongelea sound engineers au music producers?!!
Hata hivyo Bony ana vyote hivyo. Ni DJ,song producer na pia ni sound engineer. Kwa maana anao uwezo wa kufunga vyombo kwenye matamasha na kucheck na Ku tune sauti mpaka ikakaa sawa tayari kwa onyesho.
Na sauti ikasikika note bila ya shida yoyote.
Sasa aina hakika kama hawa wengine sana uwezo huo nje ya studio.
Matamasha mengi ya Clouds ni Bony ndiye anaye simamia ufungaji wa vyombo vya music.
Nafikiri wengi hawamjui vizuri Boniluv lakini pia Clouds wamemjenga sana kwa namna nyingi ila ni the best.
 
Nafikiri wengi hawamjui vizuri Boniluv lakini pia Clouds wamemjenga sana kwa namna nyingi ila ni the best.
Nakunaliana na wewe. Wengi wao ni vijana wadogo hawamfahamu kabisa.
 
Mkuu wapi

Hermy B & Pancho (B Hits)
Chizan Brain (B records)
Lamar (Fish Crab Audio Station)
Dunga & Lufunyo (41 Records)

Mwisho kabisa nasubiria nione ni vigezo gani Umetumia kupata top ten yako.
Hapo kwa Hermy B nilitaka kushangaa na mimi anakosekana vipi
 
Mkuu samahani na wewe kama ntakua nimekukwaza, ila siungi mkono hoja yako ya kwamba sound engineers hawezi kua producer aliyestudio chumbani..

Sound Engineer ni mtu yeyote aliesomea + kua na kipaji (sikio la muziki) atayeweza kumix sound instruments, kubalance levels za sauti tofauti kusikika pamoja bila kuumiza maskio ya msikilizaji, kuweka effects kuongeza ladha na vionjo kwa msikilizaji kwa sauti yenye kiwango kinachostahili (sauti isiwe ndogo sana, wala isiwe kubwa sana).

Kwahiyo Kazi huanzia kwanza kwenye hicho chumba chenye AC itoke perfect maana akizingua producer na sound engineer wake (anaweza kua mtu mmoja pia eg. P Funk) hiyo Kazi ikifika kupigwa kwenye mziki mkubwa wa nje bado ita sound vibaya tu maana mwanzo haukuwa mzuri..

Mwisho na hitimisha kwa kusema sound engineers wa kwanza wenye kipengele kigumu ni hawa wa vyumba vyenye AC (Studio) unless hiyo show iwe ya live performance.

Ndo maana baadhi ya watu wamelist ikiwemo Mimi pia watu kama kina Lamar, Chizan Brain, Dunga, P. Funk hawa ni maproducer (BeatMakers) na pia ni ma engineer kwa ufupi ni jeshi la mtu mmoja anapiga beat ana mix na ku master peke yake ndo maana tumewaweka hapa.

Napenda kukosolewa kama kuna mahali siko sahihi hayo ndo masahihisho yangu.

Tuko hapa kujifunza zaidi.

Sound Engineering na music production ni vitu viwili tofauti kama ulivyogusia.

Zaidi ya ulivyosema hapo juu:-
Sio tu si kweli kwamba "sound engineer hawezi kuwa producer", bali pia, producer mzuri yeyote ni muhimu sana ajue sound engineering.

Kwa nini? Kwa sababu producer anavyofanya production anatakiwa ajue sound levels, distortions, modulation etc, anatakiwa ajue vyombo tofauti na sifa zake, anatakiwa ajue ku experiment na vyombo, ma synthesizers kwa mfano yalivyoanza miaka ya 80 producers walicheza nayo sana technically ili kupata sound mpya.

Sasa producer asiyejua sound engineering hata experimentation yake inakuwa hafifu.

Ukiangalia ma producer maarufu kama DJ Premier, wameanzia kwenye U DJ na Sound engineering huko.

In fact, wenzetu hata mtu kuwa katika bendi unatakiwa ujue namna fulani ya sound engineering, sio kupiga tu muziki.

Leo mood ya ma story ya kitambo tu.

Inanikumbusha mwaka 1998 kuna bendi moja ilikuja kutoka Jamaica. Tulikuwa tumewaalika, sasa katika mpango mzima wa kupata vyombo, tukawa tumechelewa sana, hatimaye King Kiki Double O akatusaidia tukapata vyombo mwisho kabisa, hatukupata muda wa kufanya sound check vizuri.

Basi wale jamaa wa Jamaica wakataka waje kufanya sound chek yao.

Tumekaa Diamond Jubilee, wabongo wanajaribu kufanya sound check, vyombo vinalia vibaya kweli kama vibovu. Nikasema leo tunaaibika hapa.

Mara wakaja wale Wajamaica, wakaangalia ile sound system, wakasema tupeni vyombo.

Jamaa walicheza na vile vyombo kama dakika hata kumi hazijafika, vyombo vile vile vikatoa bonge la sound ya kufa mtu.

Pale pale nikajua kumbe vile vyombo si vibovu, ni sisi wabongo tu wageni wa kuvifanyia setup na kupata levels zinazotakiwa.

Sasa producer amekaa studio anapewa vyombo vipya, anaweza kumtegemea sound engineer amfanyie setup, lakini kama sound engineer hayupo je? Au kama anataka ku experiment na vitu tofauti? Inambidi ajue sound engineering.
 
Mkuu samahani na wewe kama ntakua nimekukwaza, ila siungi mkono hoja yako ya kwamba sound engineers hawezi kua producer aliyestudio chumbani..

Sound Engineer ni mtu yeyote aliesomea + kua na kipaji (sikio la muziki) atayeweza kumix sound instruments, kubalance levels za sauti tofauti kusikika pamoja bila kuumiza maskio ya msikilizaji, kuweka effects kuongeza ladha na vionjo kwa msikilizaji kwa sauti yenye kiwango kinachostahili (sauti isiwe ndogo sana, wala isiwe kubwa sana).

Kwahiyo Kazi huanzia kwanza kwenye hicho chumba chenye AC itoke perfect maana akizingua producer na sound engineer wake (anaweza kua mtu mmoja pia eg. P Funk) hiyo Kazi ikifika kupigwa kwenye mziki mkubwa wa nje bado ita sound vibaya tu maana mwanzo haukuwa mzuri..

Mwisho na hitimisha kwa kusema sound engineers wa kwanza wenye kipengele kigumu ni hawa wa vyumba vyenye AC (Studio) unless hiyo show iwe ya live performance.

Ndo maana baadhi ya watu wamelist ikiwemo Mimi pia watu kama kina Lamar, Chizan Brain, Dunga, P. Funk hawa ni maproducer (BeatMakers) na pia ni ma engineer kwa ufupi ni jeshi la mtu mmoja anapiga beat ana mix na ku master peke yake ndo maana tumewaweka hapa.

Napenda kukosolewa kama kuna mahali siko sahihi hayo ndo masahihisho yangu.

Tuko hapa kujifunza zaidi.
kwa mukutadha huo, vip kuhusu kale kaproducer S2kizzy?, na kenyewe ni ka sound engineer?.
 
1.P-funky majani
2.Mika Mwamba Kali
3.Master jay
4.Enrico
5.Allan Mapigo
6.Roy Bukuku
7.Marco challi
8.Saidy Commorien
9.Tudd Thomas
10.Man water

Addtion
Lamar
Bony luv
Marijan rajabu
Bizzman

Narud kuonyesha kila mtu na nyimbo zake 10 bora
Mensen Selector
 
1. Holly trinity production

2. Tanganyika production

3. Rajo production

4. Jays production

5. St. Joseph production

6.MTZ production

7.Jolin production

8.Dady production
 
Sound Engineering na music production ni vitu viwili tofauti kama ulivyogusia.

Zaidi ya ulivyosema hapo juu:-
Sio tu si kweli kwamba "sound engineer hawezi kuwa producer", bali pia, producer mzuri yeyote ni muhimu sana ajue sound engineering.

Kwa nini? Kwa sababu producer anavyofanya production anatakiwa ajue sound levels, distortions, modulation etc, anatakiwa ajue vyombo tofauti na sifa zake, anatakiwa ajue ku experiment na vyombo, ma synthesizers kwa mfano yalivyoanza miaka ya 80 producers walicheza nayo sana technically ili kupata sound mpya.

Sasa producer asiyejua sound engineering hata experimentation yake inakuwa hafifu.

Ukiangalia ma producer maarufu kama DJ Premier, wameanzia kwenye U DJ na Sound engineering huko.

In fact, wenzetu hata mtu kuwa katika bendi unatakiwa ujue namna fulani ya sound engineering, sio kupiga tu muziki.

Leo mood ya ma story ya kitambo tu.

Inanikumbusha mwaka 1998 kuna bendi moja ilikuja kutoka Jamaica. Tulikuwa tumewaalika, sasa katika mpango mzima wa kupata vyombo, tukawa tumechelewa sana, hatimaye King Kiki Double O akatusaidia tukapata vyombo mwisho kabisa, hatukupata muda wa kufanya sound check vizuri.

Basi wale jamaa wa Jamaica wakataka waje kufanya sound chek yao.

Tumekaa Diamond Jubilee, wabongo wanajaribu kufanya sound check, vyombo vinalia vibaya kweli kama vibovu. Nikasema leo tunaaibika hapa.

Mara wakaja wale Wajamaica, wakaangalia ile sound system, wakasema tupeni vyombo.

Jamaa walicheza na vile vyombo kama dakika hata kumi hazijafika, vyombo vile vile vikatoa bonge la sound ya kufa mtu.

Pale pale nikajua kumbe vile vyombo si vibovu, ni sisi wabongo tu wageni wa kuvifanyia setup na kupata levels zinazotakiwa.

Sasa producer amekaa studio anapewa vyombo vipya, anaweza kumtegemea sound engineer amfanyie setup, lakini kama sound engineer hayupo je? Au kama anataka ku experiment na vitu tofauti? Inambidi ajue sound engineering.
Mkuu umemaliza kila kitu hapa, pongezi kwako.

Ila nimecheka sana hii siku mpo "Diamond Jubilee"...
 
Elezea maana ya Sound Engineering wengine hawajui chaliangu asee.!!
 
Exactly mkuu
Mkuu samahani na wewe kama ntakua nimekukwaza, ila siungi mkono hoja yako ya kwamba sound engineers hawezi kua producer aliyestudio chumbani..

Sound Engineer ni mtu yeyote aliesomea + kua na kipaji (sikio la muziki) atayeweza kumix sound instruments, kubalance levels za sauti tofauti kusikika pamoja bila kuumiza maskio ya msikilizaji, kuweka effects kuongeza ladha na vionjo kwa msikilizaji kwa sauti yenye kiwango kinachostahili (sauti isiwe ndogo sana, wala isiwe kubwa sana).

Kwahiyo Kazi huanzia kwanza kwenye hicho chumba chenye AC itoke perfect maana akizingua producer na sound engineer wake (anaweza kua mtu mmoja pia eg. P Funk) hiyo Kazi ikifika kupigwa kwenye mziki mkubwa wa nje bado ita sound vibaya tu maana mwanzo haukuwa mzuri..

Mwisho na hitimisha kwa kusema sound engineers wa kwanza wenye kipengele kigumu ni hawa wa vyumba vyenye AC (Studio) unless hiyo show iwe ya live performance.

Ndo maana baadhi ya watu wamelist ikiwemo Mimi pia watu kama kina Lamar, Chizan Brain, Dunga, P. Funk hawa ni maproducer (BeatMakers) na pia ni ma engineer kwa ufupi ni jeshi la mtu mmoja anapiga beat ana mix na ku master peke yake ndo maana tumewaweka hapa.

Napenda kukosolewa kama kuna mahali siko sahihi hayo ndo masahihisho yangu.

Tuko hapa kujifunza zaidi.
 
Mkuu wapi

Hermy B & Pancho (B Hits)
Chizan Brain (B records)
Lamar (Fish Crab Audio Station)
Dunga & Lufunyo (41 Records)

Mwisho kabisa nasubiria nione ni vigezo gani Umetumia kupata top ten yako.
Kamsahau Chizain namkubali sana
 
Chizain Brain Jamaa yupo Safi Sana sijui yupo kwenye studio gani ila yuko vizuri
 
Back
Top Bottom