South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona

South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona

Mkuu, mafanikio ya lockdown kama nilivyoainisha kwenye mada itaanza kuonekana baada ya siku 14 za kwanza.

Ndiyo kwanza lockdown inaanza, kwa hiyo kudai kuwa wenye lockdown wana namba hii ya wagonjwa nadhani ni irrelevant kabisa. Au siyo mkuu?
SA kutangaza lockdown ndiyo umewaona wako serious?
Wangezuia isiingie
 
Ni sahihi hatujajiandaa na kuwaandaa watu vya kutosha.

Lakini nchi ulizozitaja hapo juu mkuu zina wagonjwa wengi.

Moja ina zaidi ya 40.

Nyingine inayozaidi ya 1 000.

SA walikuwa hawana namna....angalia kabla ya lockdown walichokuwa wakikifanya hapa chini




Nimejikuta nacheka wakati natazama hiyo video, jameni Afrika...mama yangu.
 
SA kutangaza lockdown ndiyo umewaona wako serious?
Wangezuia isiingie

Mkuu kuna mambo mawili ambavyo dhahiri:

1. Kuzuia Corona isiingie. Nini cha kufanya Corona isiingie kama haipo hili limejadiliwa sana kabla ya corona kuingia Afrika. Hakuna anayesifiwa wala kuonekana serious kwa kuruhusu ugonjwa huu kuingia hali nafasi ya kuuzuia ilikuwepo.

2. Kuzuia Corona isisambae na hatimaye kuifuta kabisa. Hili nalo limejadiliwa sana. Nini cha kufanya katika hili inafahamika. Yeyote anayekuja kwenye senses na kuchukua hatua stahiki anastahili kupata kongole zake na kutambulika jitihada zake.

Rwanda na South Africa hawakuthubutu #1 lakini wamethubutu #2.

Wengine wote si #1 wala #2.

Umeona essence ya uzi? Mnyonge mnyongeni.
 
Tested Negative on Novel Covid-19
 

Attachments

  • VID-20200329-WA0024.mp4
    13.3 MB
Fanya kazi acha kuangalia wakenya piga kaz, hao wanaiga mataifa ya magharibi 1

TWAWEZA mkuje huku yupo mtanzania mwingine anawahusu kama ushahidi kwenye ule utafiti wenu pendwa.

Alipo yeye anajidhania yupo vizuri. Wengine wote wajinga isipokuwa yeye. Hajawahi kusikia ajidhaniaye amesimama aangalie asije kuanguka. Wala hatokaa aje kusikia wala kuelewa maana yake.

Yale yale ya kenge na kuweza kusikia.
 
Acha, kujilinganisha na wazungu maisha walioishi na wewe ni tofauti sana hebu piga kazi

TWAWEZA mkuje. Yupo mwingine huku bila ya ushahidi wowote anadhani kwa kutambua malkia Elizabeth kuugua huu ugonjwa ni kujilinganisha na wazungu.

Huku kunaitwa kudandia treni kwa mbele. Kama lengo la bandiko limeshindwa kueleweka, waungwana huuliza si kurukia treni kwa mbele na kujifanya '..ch know'.
 
TWAWEZA mkuje huku yupo mtanzania mwingine anawahusu kama ushahidi kwenye ule utafiti wenu pendwa.

Alipo yeye anajidhania yupo vizuri. Wengine wote wajinga isipokuwa yeye. Hajawahi kusikia ajidhaniaye amesimama aangalie asije kuanguka. Wala hatokaa aje kusikia wala kuelewa maana yake.

Yale yale ya kenge na kuweza kusikia.
Acha ngonjera zako mkuu, kama unahitaji kukaa ndani wewe jifungie ndani kaa, nunua vyakula vyako weka ndani kaa, jifungie hata mwaka mzima
 
Acha ngonjera zako mkuu, kama unahitaji kukaa ndani wewe jifungie ndani kaa, nunua vyakula vyako weka ndani kaa, jifungie hata mwaka mzima

Imeelezwa sana hii. Lakini kama kawaida yenu hamuwezi kuelewa. Corona si ukimwi. Ndiyo maana hauna cha malkia, prince, waziri au waziri mkuu.

Ugonjwa huu unataka total solution katika nchi si ufumbuzi nusu nusu katika nchi husika. Ndiyo maana kwa wanaoelewa mikwaju na hata risasi za moto zinatumika kushurutisha ufumbuzi kamili.

Si nia yangu kukushawishi kuelewa kwani hata TWAWEZA akikusajili kwake mbona inatosha tu kuja kuwa reference kwa vizazi vijavyo vitakavyo pata bahati kupenya dhahama hili lililo dhahiri mbele yetu.

Pia kwa vile akili ndogo na kubwa zote ni maumbile ya maulana si nia yangu kuingia katika majibizano wala mabishano nawe. Inafahamika wazi kuwa, "wise men never argue with fools".

Tukimbizane wakati umekwapua suruali niliyokuwa nimeivaa? Mwehu atakuwa nani basi?
 
TWAWEZA mkuje huku yupo mtanzania mwingine anawahusu kama ushahidi kwenye ule utafiti wenu pendwa.

Alipo yeye anajidhania yupo vizuri. Wengine wote wajinga isipokuwa yeye. Hajawahi kusikia ajidhaniaye amesimama aangalie asije kuanguka. Wala hatokaa aje kusikia wala kuelewa maana yake.

Yale yale ya kenge na kuweza kusikia.
Sijui unaongelea nini mkuu, kama corona, ingeamua kuenea Africa ingeenea tangia mwezi wa 12 maana, ndio kulikua na mwingiliano mkubwa wawasafiri hivyo acha,kulialia biga kazi
 
Imeelezwa sana hii. Lakini kama kawaida yenu hamuwezi kuelewa. Corona si ukimwi. Ndiyo maana hauna cha malkia, prince, waziri au waziri mkuu.

Ugonjwa huu unataka total solution katika nchi si ufumbuzi nusu nusu katika nchi husika. Ndiyo maana kwa wanaoelewa mikwaju na hata risasi za moto zinatumika kushurutisha ufumbuzi kamili.

Si nia yangu kukushawishi kuelewa hata TWAWEZA akikusajili kwake inatosha kuja kuwa reference kwa vizazi vijavyo vitakavyo pata bahati kupenya dhahama hili kuliko dhahiri mbele yetu.

Pia kwa vile akili ndogo na kubwa zote ni maumbile ya maulana si nia yangu kuingia katika majibizano wala maishana nawe. Infahamika "wise men never argue with fools".

Tukimbizane wakati umekwapua suruali niliyokuwa nimevaa? Mwehu atakuwa nani?
Unajidai unaelewa sana mkuu,
 
Imeelezwa sana hii. Lakini kama kawaida yenu hamuwezi kuelewa. Corona si ukimwi. Ndiyo maana hauna cha malkia, prince, waziri au waziri mkuu.

Ugonjwa huu unataka total solution katika nchi si ufumbuzi nusu nusu katika nchi husika. Ndiyo maana kwa wanaoelewa mikwaju na hata risasi za moto zinatumika kushurutisha ufumbuzi kamili.

Si nia yangu kukushawishi kuelewa kwani hata TWAWEZA akikusajili kwake mbona inatosha tu kuja kuwa reference kwa vizazi vijavyo vitakavyo pata bahati kupenya dhahama hili lililo dhahiri mbele yetu.

Pia kwa vile akili ndogo na kubwa zote ni maumbile ya maulana si nia yangu kuingia katika majibizano wala maishana nawe. Inafahamika wazi kuwa, "wise men never argue with fools".

Tukimbizane wakati umekwapua suruali niliyokuwa nimevaa? Mwehu atakuwa nani basi?
Corona ilianza, mwezi wa, 12 mkuu, baadaye ndio madaktari wakashituka lkn ilikua ni baadaye sana, na ukumbuke kipindi hicho ndio kilikua,kipindi cha rikizo hivyo kama ni wanafunzi nina, imani warirudi bongo tokea, masomoni kutoka, nchi mbalimbali.pia usisahau wafanya biashara, na wana dipromasia, safari za,hapa na pale. Huko kweny mataifa ya, kubadirisha, ndege ndio usiseme lazima, mwingiliano ulikuwa mkubwa sana, lkn mpaka, leo waafrika wanadunda
 
Back
Top Bottom