South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona

South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona

Ni sahihi hatujajiandaa na kuwaandaa watu vya kutosha.

Lakini nchi ulizozitaja hapo juu mkuu zina wagonjwa wengi.

Moja ina zaidi ya 40.

Nyingine inayozaidi ya 1 000.

SA walikuwa hawana namna....angalia kabla ya lockdown walichokuwa wakikifanya hapa chini



Na haya ndio mawazo ya watawala wetu, nahisi wewe unaweza kuwa moja ya washauri wao!!

Ni lazima tuache ujinga na siasa kwenye mambo serious, nikiangalia yaliyotokea china na yanayotokea itally na USA tukiendeleza mwazo ya kijinga hakuna rangi tutaacha ona!!
 
Corona ilianza, mwezi wa, 12 mkuu, baadaye ndio madaktari wakashituka lkn ilikua ni baadaye sana, na ukumbuke kipindi hicho ndio kilikua,kipindi cha rikizo hivyo kama ni wanafunzi nina, imani warirudi bongo tokea, masomoni kutoka, nchi mbalimbali.pia usisahau wafanya biashara, na wana dipromasia, safari za,hapa na pale. Huko kweny mataifa ya, kubadirisha, ndege ndio usiseme lazima, mwingiliano ulikuwa mkubwa sana, lkn mpaka, leo waafrika wanadunda

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
 
Na haya ndio mawazo ya watawala wetu, nahisi wewe unaweza kuwa moja ya washauri wao!!

Ni lazima tuache ujinga na siasa kwenye mambo serious, nikiangalia yaliyotokea china na yanayotokea itally na USA tukiendeleza mwazo ya kijinga hakuna rangi tutaacha ona!!

Mkuu inasikitisha sana. Tunaelekea shimoni tukijiona. Washauri wakiendekeza njaa za matumbo yao kwa kukumbatia siasa uchwara hali hatari ni dhahiri mno na wala haiko mbali:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
 
Hakuna ki
Hakuna kitu hapo mkuu, corona haimpati mtu kiurahisi kama unavyo dhani hebu acha kutishia watu piga kazi. Hivi unaifahamu corona mkuu au unasimuliwa tu. Hapo walio tabiri hivyo ndio walio sema US itapanda kiuchumi lkn ikawa vise versa
 
Mkuu inasikitisha sana. Tunaelekea shimoni tukijiona. Washauri wakiendekeza njaa za matumbo yao kwa kukumbatia siasa uchwara, hali ya hatari ni dhahiri mno na wala haiko mbali:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
Hiyo ni sawa na hii, iliyo tabiriwa kipindi corona inaanza
US commerce secretary Wilbur Ross has said the deadly coronavirus outbreak in China could be positive for the American economy.

During a TV interview Mr Ross said: "I think it will help to accelerate the return of jobs to North America".

The rapid spread of the disease has raised fears about its impact on the Chinese economy and global growth.

The comments have come under fire from critics of President Trump's administration.

In response to a question on Fox Business News about whether the outbreak is a risk to the US economy Mr Ross said: "I don't want to talk about a victory lap over a very unfortunate, very malignant disease."

"The fact is, it does give business yet another thing to consider when they go through their review of their supply chain... So I think it will help to accelerate the return of jobs to North America," he went on to say.
 
Niliandika uzi hapa kwa nia njema kabisa two days ago title:

"Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown in April".

Pamoja na maudhui yake kutokuwa tofauti sana na maudhui yaliyopo kwenye uzi huu hapa chini, 'mods' mliufuta:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

No ill feelings.

Tunaamini jukwaa hili ni huru kuliko tunavyojaribu kuaminishwa kwa nguvu nyingi za misuli (badala ya nguvu za hoja) kuwa:

1. Taarifa na takwimu za ugonjwa huu zinazotolewa ni za wakati husika, huru, halisi na sahihi.
2. Nk nk

MODs uangalieni tena uzi ule kwa bahati mbaya yaonekana hamkuuelewa mantiki yake ambao pia, ni jambo la kheri tu.
 
Niliandika uzi hapa kwa nia njema kabisa two days ago title:

"Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown in April".

Pamoja na maudhui yake kutokuwa tofauti sana na maudhui yaliyopo kwenye uzi huu hapa chini, 'mods' mliufuta:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

No ill feelings.

Tunaamini jukwaa hili ni huru kuliko tunavyojaribu kuaminishwa kwa nguvu nyingi za misuli (badala ya nguvu za hoja) kuwa:

1. Taarifa na takwimu za ugonjwa huu zinazotolewa ni za wakati husika, huru, halisi na sahihi.
2. Nk nk

MODs uangalieni tena uzi ule kwa bahati mbaya yaonekana hamku uelewa mantiki yake - jambo la kheri tu.
We jamaa acha, kutishia watu piga kazi, acha kutia watu hofu
 
Mkuu usihadaishwe na taarifa za kupikwa.

Kagera kuna dereva wa lori toka Burundi impounded in Tanzania ana Corona. Kaipata wapi kama si Burundi wanakosema hawana corona?

Hizi taarifa nani yupo kuzi verify?

Uliwahi kusikia matango pori hulishwa?
Huyo dereva ulimpima wewe?
 
Huyo dereva ulimpima wewe?

Mkuu miye siyo maabara inayothibitisha uathirika wa Corona. Wala si no katika wale wanne watoa taarifa rasmi wa Serikali.

Mkuu swali lako lenye viashiria za kale ka unasaba ketu kaliko wahi kuhusishwa kwenye tafiti tafiti napenda kulisajili kunako husika:

TWAWEZA kuna mwingine hapa naambiwa jina lake ni 'ngokongosha' = 'kukudume' tokea ule ukanda wetu pendwa ambao Chatto ni sehemu (part).

Mkuu vipi na wewe ulikuwapo kwenye kijiwe kile cha tangawizi? Vipi kikombe chako wewe walikujazia?

Hiiiii bagosha!
 
Niliandika uzi hapa kwa nia njema kabisa two days ago title:

"Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown in April".

Pamoja na maudhui yake kutokuwa tofauti sana na maudhui yaliyopo kwenye uzi huu hapa chini, 'mods' mliufuta:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

No ill feelings.

Tunaamini jukwaa hili ni huru kuliko tunavyojaribu kuaminishwa kwa nguvu nyingi za misuli (badala ya nguvu za hoja) kuwa:

1. Taarifa na takwimu za ugonjwa huu zinazotolewa ni za wakati husika, huru, halisi na sahihi.
2. Nk nk

MODs uangalieni tena uzi ule kwa bahati mbaya yaonekana hamkuuelewa mantiki yake ambao pia, ni jambo la kheri tu.
Sio kila anachokifanya mzungu basi na ww unafanya,hebu kabla ya kufanya chochote angalia maisha ya watu wako.

Tanzania na nchi nyingi za Africa wananchi walio wengi zaidi ya 70% ni kama deiwaka hawana kipato kile cha uhakika maisha yenyewe ya kuunga unga wanaishi kwa msaada wa mkopo kutoka kiduka cha Mangi,wapo kwenye kila ukurasa wa daftari la Mangi,sasa pata picha unawaambia "total lockdown" ,bila shaka utawaua kwa njaa tu.

Kenya ,Uganda na India wameingia total Lockdown lkn wananchi walio wengi wamekataa sababu hata wakikaa ndani pia watakufa na njaa.

Alafu unajisikia vibaya Tanzania kutokuwa na waathirika wengi wa Corona mpaka sasa?
 
Niliandika uzi hapa kwa nia njema kabisa two days ago title:

"Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown in April".

Pamoja na maudhui yake kutokuwa tofauti sana na maudhui yaliyopo kwenye uzi huu hapa chini, 'mods' mliufuta:

Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

No ill feelings.

Tunaamini jukwaa hili ni huru kuliko tunavyojaribu kuaminishwa kwa nguvu nyingi za misuli (badala ya nguvu za hoja) kuwa:

1. Taarifa na takwimu za ugonjwa huu zinazotolewa ni za wakati husika, huru, halisi na sahihi.
2. Nk nk

MODs uangalieni tena uzi ule kwa bahati mbaya yaonekana hamkuuelewa mantiki yake ambao pia, ni jambo la kheri tu.
Tunasubiri hiyo April
 
Sio kila anachokifanya mzungu basi na ww unafanya,hebu kabla ya kufanya chochote angalia maisha ya watu wako.

Tanzania na nchi nyingi za Africa wananchi walio wengi zaidi ya 70% ni kama deiwaka hawana kipato kile cha uhakika maisha yenyewe ya kuunga unga wanaishi kwa msaada wa mkopo kutoka kiduka cha Mangi,wapo kwenye kila ukurasa wa daftari la Mangi,sasa pata picha unawaambia "total lockdown" ,bila shaka utawaua kwa njaa tu.

Kenya ,Uganda na India wameingia total Lockdown lkn wananchi walio wengi wamekataa sababu hata wakikaa ndani pia watakufa na njaa.

Alafu unajisikia vibaya Tanzania kutokuwa na waathirika wengi wa Corona mpaka sasa?

Mkuu mbona hili limejadiliwa sana?

Hakuna atakaye kufa njaa. Ziko njia nyingi kuzuia njaa kuliko Corona.

Njia mojawapo ni pamoja na michango ya wasamaria wema. Mbona kina Mashinji, Msigwa na wenzi wao 350,000,000/= zilipatikana katika siku 3 tu?

Uzima ni muhimu zaidi.

Kwingine ni kama hivi:

Kenyans Mock Uhuru After The President Of Rwanda Orders Door-Door Food Distribution Amid COVID-19

Tuwe tayari kushindia hata uji kuiunga mkono serikali kusaidiana nasi kuutokomeza huu ugonjwa.
 
Mkuu mbona hili limejadiliwa sana?

Hakuna atakaye kufa njaa. Ziko njia nyingi kuzuia njaa kuliko Corona.

Njia mojawapo ni pamoja na michango ya wasamaria wema. Mbona kina Mashinji, Msigwa na wenzi wao 350,000,000/= zilipatikana katika siku 3 tu?

Uzima ni muhimu zaidi.

Tuwe tayari kushindia hata uji kuiunga mkono serikali kusaidiana nasi kuutokomeza huu ugonjwa.
Hivi njaa unaijua wewe? Yaani kumbe na ww unafuatiliaga maigizo ya wanasiasa ,yaani unafanya comparison ya real na fake,usilinganishe siasa na maisha ya watu.

Hebu angalia hii India.
 

Attachments

  • VID-20200328-WA0021.mp4
    5.1 MB
Visa vya maambukizi Afrika kusini na Rwanda vimepungua. Matokeo chanya ya total lockdown.

Kupungua kwa kasi ya maambukizi imeshuhudiwa pia Italy.

Lockdown is certainly working.
 
Kama wamejiandaa inakuaje maambukizi yafikie 40+ rwanda?
ww ungesema wanatumia nguvu kubwa mno kujihami mpka polisi wanapiga watu risasi ,inatisha na kuogopesha
 
Kama wamejiandaa inakuaje maambukizi yafikie 40+ rwanda?
ww ungesema wanatumia nguvu kubwa mno kujihami mpka polisi wanapiga watu risasi ,inatisha na kuogopesha
 
Back
Top Bottom